Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

Mbona Miaka yako hujataja?? Ila unataka 34+...Taja na ya kwako kwanza
 
Kumpenda mtu ni kuzipotezea kasoro zake na kuangalia mazuri yake sasa bi dada umesahau kwamba maisha ni mtihani sasa ikiwa ni mtihani kwanini achague maswali ya kuulizwa , we subiri watu waje ukija kumkuta ana madhaifu kama ka uchafu au hana baadhi ya vitu ni kupambana na hali lakini hayo mengine yote unayoyataka ni ya kwenye tamthilia sio uhalisia , ukimpata wa hivyo njoo nikupe zawadi
 
We kaka mi naomba kukutana na wewe
 
Wanaume mtandaoni siku hz hakuna ...ww tembelea daladalani huko na vibanda vya mpira utampata mwenye sifa hzo [HASHTAG]#amini[/HASHTAG]
 
Wanaume hawavuwi na maneno mengi, kwa vigezo hivyo utasubiri Sana. Zaidi sana utamegwa na kukimbiwa kama ilivyokua ada. Maana wanaume hakuna mbinu wasiyoijua.
Kua na maneno machache yenye mvuto. Utapata haraka
 
Ukimbaumbau na umri umenikosesha mke...Nina 28 Dada...kama unaweza nifikiria
 
Chura ya kupiga makofi wakati wa mambo yetu yale ipo au umekuja tu kutusumbua hapa?![emoji32][emoji32][emoji32]
 
Naomba kujua Umri wako kwanza.
 
nisamehe tuuu nakuomba
Sina cha kukusamehe maana hujanikosea kitu, ukweli upo hivi binafsi God blessed me with karibu na kila kitu ulichoandika, ingawa mchumba wangu ni mdada wa kawaida mno, ila ana IQ kubwa mno, me the same ila sikuwahi kufikiria kuwachagua wanawake kwa sura, maumbo yao, akili zao, zaidi nilimwomba Mungu akanipa moyo wa kutowapenda wanawake wahuni, malaya, wenye majivuno na wenye dharau hakika Mungu siyo John wala Abdarallah nashukru ameniepusha na wadada kama wewe.

Nasikitika kuwa unadai kuwa na IQ kubwa but sina uhakika, mwisho mke/mume bora utoka kwa Mungu. katubu...!
 
wewe ni kenge... alafu unaonekana umri umeshaenda ndio maana unataka kuolewa, nkwambie kitu ? finyanga mwanaume wako umpe sifa zote unazozihitaji, .... i bet wewe ni 30plus, utazeekea kwenu ukichagua
 
Eti P.U.M.B.U na Smartphone. Halafu unasema wewe ni una mcha Mungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…