Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

Umekosea mara 2 hapa:
Kigezo no. 1 umetutenga na kututonesha donda sie tuliokwishapoteza mama zetu tuliowapenda sana. Mungu anakuona!

Kigezo no. 13 unamtaka mwanaume mwenye miaka 34+ (na umesema umri huo ni lazima) ila asiwe aliwahi kuoa wala kuzaa mtoto. Kwa umri huo kama utampata ujue basi huyo sio rizki...
 
Dah! Pole sana bi dada, mwanaume wa vigezo vyote 15 hutampata popote pale duniani trust me. Labda YESU ndo atakuwa na vigezo vyote hvyo na nyongeza juu!


Ushauri: omba MUNGU upate mwanaume mwenye kujielewa, mwajibikaji, mchapa kazi na mwenye hofu ya MUNGU, pia mwenye UPENDO wa dhati. Vingine hvyo unatengeneza mwenyewe ukishampata.

Kila la kheri katika utafutaji wako mwaya
 
Pamoja na vigezo viiingi ambavyo vingi more idealistic than realistic, mwanaume hawi msafi kupitiliza, usafi utaenda kumfanyia wewe, ukipata huyo msafi kupitiliza halafu baadae ukagundua kitu cha ajabu sana usirudi kutulilia hapa.
Hahaha kitu cha ajabu sana!

Happy birtbday hommie Asprin

Cc Sky Eclat Miss Natafuta na baby espy

Bcc Daby
 
Dah kwa Hiyo sisi akina che nkapa tuwaoe kina nani na ufupi wetu kama nyundo ? na vidole kama Tangawizi ?

Masharti haya ni rahisi sana kufundisha Harvard's na cheti changu cha veta kuliko kuwa mme wako

Kila la kheri lakini
 
Mi nimemeet kigezo kimoja tu cha Dini...eeh na cha umri...sijui mwenzangu Asprin
 
Utasubiri sana mwisho wa siku utakuwa single mother hakuna mwanaume kafika 34 hajaoa na kama yupo hawezi kuwa husband material very sory ushaur wa bure tafuta vbenten under 25 umlee na umpakate utakavyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…