Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

Kigezo cha miaka 34+ ndio kimefanya nikukose..
Punguza kidogo..
 
Acha ubanguzi wa ukabila ,kidini, kiumbo ,kielimu, Rejea 1kor13:1-13 Hakuna mkatolic anayetafuta Mme/Mme mtandaoni mbali kufunga kusali na kuomba Ebu kabla hujatoka kanisani Mwambie yesu wa Ekaristi naomba nipatie Mme w mapenzi yako ee Mungu wangu katika roho na kweli nakwambia haitapita mwezi
 
Hahaha kitu cha ajabu sana!

Happy birtbday hommie Asprin

Cc Sky Eclat Miss Natafuta na baby espy

Bcc Daby
hata mimi sijaelewa hapo .hivi tukipanga kuonana si utaoga utavaa nguo safi mkuu? si utakuwa msafi? huo usafi wako au uchafu wako nitaujua vipi? maana mleta mada kapiga mkwara hapo eti akikuona tu atajua wewe msafi au vipi au ana darubini? ahahaaa
 
MMEO nipo hapa...nimekuwa nikikusubiri kwa muda sasa 'mama' angu...karibu sana

1.Mama angu mzazi 'mkweo' yupo...atafurahi sana kukuona.
Anaitwa Magreth binti yetu wa kwanza kashapata na jina kabisa.

2.Sitaki kukudanganya...inawezekana sio kwa kiwango unachokitaka ila mimi najitahidi usafi...ukiachana na anayofanya mdada wa kazi Ila chumbani kwangu hapatokukera

3.Sasa hii usipate taabu...kitanda 6×6 inabidi nilale kimshazari...kiurefu miguu inabidi niikunje

4.hako ka uweusi ukatakapo kapo hapa...karibu sana

5.nadhani mitupio haitokukera pia...hii hapa ni kama hanger kila nguo inakaa na kufit

6. Hapa ndo inakuja shida...sitishi kihivo Ila nadhani itabidi nianze kula(kula) nadhani itasaidia kuongeza tu nyama

7. Upendo utakukera...nauzaga mwingine extra

8. Mwanaume yeyote gentle anayo hii...karibu sana

9.Nina kipaimara...komunyo ya kwanza na nilibatizwa nikiwa mdogo kidogo

10. Janga jingine hili...I'm 28

11. Kiwanda kidogo cha kufyatua mikate sidhani kama itakuwa kikwazo

12. Ahahahaha...nakutafutia nail cutter muda huu hapa supermarket

13. Kwenye cheti changu cha ukatoriki kuna nafasi ii wazi...najua unajua nini namaanisha

14. M.A Literature ina mgogoro?

Karibu kwangu 'mke wangu mtarajiwa'
 
Aisee..........[emoji1549][emoji1549][emoji1549]
 
wa ovyo? niombe samahani mm sio malaya yote uloyaandika nimekubali ila kuniita malaya imeniuma sana ungejua nina mda gani sijakutana na mwanaume usingeropoka hapa. anyway nisamehe tu nilivyokujibu.
Tatizo dada umetaja sifa nyingi zaidi ukapitiliza, matokeo yake sio kutafuta mume zaidi za kudhalilisha utu wa mwanaume. Eti asiwe anamiliki smartphone na P.umb.u lugha gani hii sasa, alafu unasema mcha Mungu. Pia unasema awe na wazazi wote kuna mtu anaependa kufiwa na mzazi?? Tena mama.

Nakwambia we dada utazekea nyumbani bila kupata huyo mume, muombe Mungu akupe maarifa na hekima. Acha majivuno na sifa za kijinga.
 
Wonders shall never end wanajisemeaga wapopo[emoji2] [emoji2]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…