Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

Hujagusia suala LA KIBAMIA,,, tuanzie hapo kuna kwnz.. Ili pia wasijisumbuwe
 
Tangazo lako lina mapungufu kdg bibie...weka japo kapicha tuone jee chura yupoo???
 
Mkuu ungepitia kwanza wenzio waliofanya hivo walifanyeje na uzoefu unasemaje??

Hapa nadhani ungetoka na mawazo m badala sana kuliko hivi ulivoongea kwa hasira.

Angalizo:-
Mpaka unamaliza digrii mwanaume aliyemaliza digrii kashakushusha kwenye cv zake.
Hawa nao waliomaliza digrii amini usi amini kigezo cha wewe kuwa na digrii kinakushusha cv binti yangu.

Ningependa kuliko kutanguliza vigezo vingi kama unatangaza kazi TRA, ni bora ungemtanguliza Mungu kwanza.


Kujiamini kwa mwanamke kuliko pitiliza, mwisho wa siku humletea majuto maishani, kwani humjengea kiburi na jeuri.


Usifikirie kuwa wale walio masingo mama kuwa hawakuwa na akili na malezi kama uliyo nayo,
Naamini wengine watakuwa wanakuzidi kwa kila kitu mpaka kipato.

Kwa hiyo upunguze dharau wewe hujawahi sema kweli hata kidogo.

Bali muda ndio msema kweli.

Naamini ukikazana hivi kwa kumwacha Mungu nyuma itakuwa ni chanzo cha masingo mama na watu waliopitwa na muda wa ndoa.

Mtangulize Mungu kwanza kwa kila jambo.
 
Hahah alafu ww unasifa zote ujue nilikuaga nakumezeaga mate zamaniii nkiwa na id nyingine...tatizo lako we ni mojaa kuchepukaaa..
Namwonea huruma mama A sijui hajakushtukizia bado
 
Ok! But umri wako sijauona mamy please notify!
 
Okay me sina sifa hata moja hapo,yaani kila sifa uliyohitaji mimi ni kinyume chake mkuu,unajuaje we ni msafi?okay ume miss kukiss,ulishakiss?umemiss kukumbatiwa?je umewahi kufanya hivyo?kwa sifa ulizoweka naomba unitoe khofu kwamba kwa vile ni mcha mungu hujawahi kugegedwa.Malizia sifa zako kama upo sealed?
 
Kwa vigezo ulivyo vitaja hakuna mwanaume mwenye navyo vyote hapa dunia, labda angalia sayari nyingine zilizobaki tofauti na dunia.
 
Sifa zako ulizotaja ni basic sana.so taja zingine kama unazo kumfanya mtu wa aina unayemtaka ajisumbue kukutafuta.

Otherwise sifa zako ni za kwaida sana wako wengi wenye sifa kama hizo.

Lakini pia hongera kwa kujaribu kujipambanua vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…