Inna morata
JF-Expert Member
- Jan 20, 2018
- 370
- 268
- Thread starter
- #441
kuwa
na adabu soma vizuri uziNenda kinondoni pale makaburini wapo wengi ukazoe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na adabu soma vizuri uziNenda kinondoni pale makaburini wapo wengi ukazoe
Naww ni strong woman kama Joyce Kiria?!kuwa
na adabu soma vizuri uzi
Wapo...tatizo ni baadhi ya vigezo vimekaa kipekee kwa kuwa viko biased.Huku jf sidhani kama yupo
Kawaida sana kwenye uandishi...kubwa ni content.sorry nikiwa mdogo niliishi sehemu ambapo hawatumii kiswahili so r na l sometimes zinanichanganya
asante najiamini sijaamua kufanya hili peke yangu haswaaaaaa nimemuhusisha mungu najitambua dia usiwe na shaka mm sio cheap kiasiMkuu ungepitia kwanza wenzio waliofanya hivo walifanyeje na uzoefu unasemaje??
Hapa nadhani ungetoka na mawazo m badala sana kuliko hivi ulivoongea kwa hasira.
Angalizo:-
Mpaka unamaliza digrii mwanaume aliyemaliza digrii kashakushusha kwenye cv zake.
Hawa nao waliomaliza digrii amini usi amini kigezo cha wewe kuwa na digrii kinakushusha cv binti yangu.
Ningependa kuliko kutanguliza vigezo vingi kama unatangaza kazi TRA, ni bora ungemtanguliza Mungu kwanza.
Kujiamini kwa mwanamke kuliko pitiliza, mwisho wa siku humletea majuto maishani, kwani humjengea kiburi na jeuri.
Usifikirie kuwa wale walio masingo mama kuwa hawakuwa na akili na malezi kama uliyo nayo,
Naamini wengine watakuwa wanakuzidi kwa kila kitu mpaka kipato.
Kwa hiyo upunguze dharau wewe hujawahi sema kweli hata kidogo.
Bali muda ndio msema kweli.
Naamini ukikazana hivi kwa kumwacha Mungu nyuma itakuwa ni chanzo cha masingo mama na watu waliopitwa na muda wa ndoa.
Mtangulize Mungu kwanza kwa kila jambo.
kuwa na amani sijafanya peke yangu nimemuhusisha mwenye uwezo kuzidi binadamu. najiamini. asante nishamehe pale ambapo nimekosea hasa kwenye maandishi yanguMkuu ungepitia kwanza wenzio waliofanya hivo walifanyeje na uzoefu unasemaje??
Hapa nadhani ungetoka na mawazo m badala sana kuliko hivi ulivoongea kwa hasira.
Angalizo:-
Mpaka unamaliza digrii mwanaume aliyemaliza digrii kashakushusha kwenye cv zake.
Hawa nao waliomaliza digrii amini usi amini kigezo cha wewe kuwa na digrii kinakushusha cv binti yangu.
Ningependa kuliko kutanguliza vigezo vingi kama unatangaza kazi TRA, ni bora ungemtanguliza Mungu kwanza.
Kujiamini kwa mwanamke kuliko pitiliza, mwisho wa siku humletea majuto maishani, kwani humjengea kiburi na jeuri.
Usifikirie kuwa wale walio masingo mama kuwa hawakuwa na akili na malezi kama uliyo nayo,
Naamini wengine watakuwa wanakuzidi kwa kila kitu mpaka kipato.
Kwa hiyo upunguze dharau wewe hujawahi sema kweli hata kidogo.
Bali muda ndio msema kweli.
Naamini ukikazana hivi kwa kumwacha Mungu nyuma itakuwa ni chanzo cha masingo mama na watu waliopitwa na muda wa ndoa.
Mtangulize Mungu kwanza kwa kila jambo.
chochote atakachojaliwaKiba100 au hogo ujasema mana nasikia mna chaguo lenu cku izi
umeenda mbali sana ichukulie kwa standard ya kawaida sina nia mbayaSifa yako ya 12 Mimi siiwezi, yaani hutaki mumeo azidiwe maendeleo na mtu? Utasubiri sana.
byeeeeeAISEE UNGEKUWA NA CHURA NINGEKUJA PM, NNACHITAKA HUNA
mzigua ndo nn tumia kiswahili chepesiSory dada are you mzigua?
Kama hujui kabila linaitwa wazigua basi kila la heri katika kumpata mwanaume bora mwenye sifa kedekede hizo hapo ulizoainishamzigua ndo nn tumia kiswahili chepesi