Sina cha kukusamehe maana hujanikosea kitu, ukweli upo hivi binafsi God blessed me with karibu na kila kitu ulichoandika, ingawa mchumba wangu ni mdada wa kawaida mno, ila ana IQ kubwa mno, me the same ila sikuwahi kufikiria kuwachagua wanawake kwa sura, maumbo yao, akili zao, zaidi nilimwomba Mungu akanipa moyo wa kutowapenda wanawake wahuni, malaya, wenye majivuno na wenye dharau hakika Mungu siyo John wala Abdarallah nashukru ameniepusha na wadada kama wewe.
Nasikitika kuwa unadai kuwa na IQ kubwa but sina uhakika, mwisho mke/mume bora utoka kwa Mungu. katubu...!