Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

Tatizo dada umetaja sifa nyingi zaidi ukapitiliza, matokeo yake sio kutafuta mume zaidi za kudhalilisha utu wa mwanaume. Eti asiwe anamiliki smartphone na P.umb.u lugha gani hii sasa, alafu unasema mcha Mungu. Pia unasema awe na wazazi wote kuna mtu anaependa kufiwa na mzazi?? Tena mama.

Nakwambia we dada utazekea nyumbani bila kupata huyo mume, muombe Mungu akupe maarifa na hekima. Acha majivuno na sifa za kijinga.
fanya kunisamee tu maama nina feeling fulani, wenda nimekosea jinsi ya kuandika nisamehe
 
Kwanza hiyo sifa ya usafi ulio pitiliza imekuangusha pesa zote zitaishia kwenye vipodozi na mwanaume atashindwa kutafuta pesa maana mda wote itabidi awe bafuni na kwenye kioo
 
34+ kisha hajawahi kuoa wala kuwa na mtoto!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wapo lkn wachache kama ni wanaume waliokamilika
 
Mkuu Deo kisandu na @beira baby boy wanahusika hapa
 
Dah! Kweli uko vizuri kwa uandishi.
1. Umri
2. Mradi Wa pembeni tofauti na ajira.
3. Kuvaa Pensi, kama siko mazoezini/mpirani siwezi.
4.Roman Catholic

Vimenikosesha mke.
Ipo siku wangu atanilegezea masharti.
 
Mi naenjoy kuona umejitunza....labda mumeo ulipishana nae ulivyokua secondary kisa ulikua utak mapenzi
 
Umekosea mara 2 hapa:
Kigezo no. 1 umetutenga na kututonesha donda sie tuliokwishapoteza mama zetu tuliowapenda sana. Mungu anakuona!

Kigezo no. 13 unamtaka mwanaume mwenye miaka 34+ (na umesema umri huo ni lazima) ila asiwe aliwahi kuoa wala kuzaa mtoto. Kwa umri huo kama utampata ujue basi huyo sio rizki...
nisamehe nimekosea jinsi ya kuiweka sana nisamehe sawa??
 
huyo unayemtaka anapatikana mbinguni tu hivyo nakushauri umpigie Mungu simu
 
Aisee! Dada mimi nadhani labda unatania tu! Isitoshe unakitu kitaalamu kinaitwa * msongo wa mawazo uliozalishwa na usingo maza*
Wachache sana watanielewa.hayo maelezo yako yote naweza kuya summurize kama " defensive mechanism against human ego"
 
KAMA WEWE UNA SIFA HZO KWELI BAS TAFADHALI

1. TUMIA ID YAKO YA KILA SIKU
2. HATA KUTAJA 'PUMB.U' HUJAONA UZITO, INAELEKEA UNA MATUSI NA MSHARI
3. HAYO MATUMIZI YA R HATARI.
4. WANAUME WA SIFA UNAZOTAKA WAMEJENGWA NA WACHUMBA ZAO WAKAWA HVYO.. WALIKUWA WACHAFU SASA NI WASAFI, WALIKUWA HAWANA KITU NW WANA KITU..
5. KAMA UNATAKA MWANAUME ALYETIMIA VIGEZO VYOTE, BAS NENDA KIWANDA CHA SEX DOLLS WAKUTENGENEZEE.

KILA LA HERI, UKIFIKA MIAKA 35 RUDI HAPA UKIWA NA VGEZO VIPYA.

SWALI LA KIZUSHI.
JE, WEWE NI BIKRA?
 
Sina cha kukusamehe maana hujanikosea kitu, ukweli upo hivi binafsi God blessed me with karibu na kila kitu ulichoandika, ingawa mchumba wangu ni mdada wa kawaida mno, ila ana IQ kubwa mno, me the same ila sikuwahi kufikiria kuwachagua wanawake kwa sura, maumbo yao, akili zao, zaidi nilimwomba Mungu akanipa moyo wa kutowapenda wanawake wahuni, malaya, wenye majivuno na wenye dharau hakika Mungu siyo John wala Abdarallah nashukru ameniepusha na wadada kama wewe.

Nasikitika kuwa unadai kuwa na IQ kubwa but sina uhakika, mwisho mke/mume bora utoka kwa Mungu. katubu...!
hii ni dunia ukisoma uzi wangu hakuna sehemu nilipo weka umbo wala sura wala shape ila ninachoamini mungu kanipa kichwa kizuri hilo ndo nalijua na ninajua kukitumia. kwa nini uko selefish? yaan yote niliyoyaandika neno IQ ndo limekuboa? once again am sory tuishie hapa.
 
umeelezea vizuri japo kuna maeneo umekosea ila umejitahidi... safi..!!!!
 
KAMA WEWE UNA SIFA HZO KWELI BAS TAFADHALI

1. TUMIA ID YAKO YA KILA SIKU
2. HATA KUTAJA 'PUMB.U' HUJAONA UZITO, INAELEKEA UNA MATUSI NA MSHARI
3. HAYO MATUMIZI YA R HATARI.
4. WANAUME WA SIFA UNAZOTAKA WAMEJENGWA NA WACHUMBA ZAO WAKAWA HVYO.. WALIKUWA WACHAFU SASA NI WASAFI, WALIKUWA HAWANA KITU NW WANA KITU..
5. KAMA UNATAKA MWANAUME ALYETIMIA VIGEZO VYOTE, BAS NENDA KIWANDA CHA SEX DOLLS WAKUTENGENEZEE.

KILA LA HERI, UKIFIKA MIAKA 35 RUDI HAPA UKIWA NA VGEZO VIPYA.

SWALI LA KIZUSHI.
JE, WEWE NI BIKRA?
bikra imefanyaje? kula ugali ulale
Ushawahi toa mimba ngapi??
 
Back
Top Bottom