Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

sorry nikiwa mdogo niliishi sehemu ambapo hawatumii kiswahili so r na l sometimes zinanichanganya
Kawaida sana kwenye uandishi...kubwa ni content.
Ulichokilenga kimeeleweka...subiri pm.
Mwenyezimungu akujaalie...kigezo cha dini na ndoa vinakufanya unikose.Ulistahili uwe mke wangu wa pili na usingejutia hata mara moja.
Karibu sana...!
 
Hapo naona umeweka mwenye miaka 34+ ila kwasifa hizi unazotaka utaweka bandiko lingine hapa mwaka 2020 ukihitaji mwenye 45+ Trust me
 
asante najiamini sijaamua kufanya hili peke yangu haswaaaaaa nimemuhusisha mungu najitambua dia usiwe na shaka mm sio cheap kiasi
kuwa na amani sijafanya peke yangu nimemuhusisha mwenye uwezo kuzidi binadamu. najiamini. asante nishamehe pale ambapo nimekosea hasa kwenye maandishi yangu
 
Sifa yako ya 12 Mimi siiwezi, yaani hutaki mumeo azidiwe maendeleo na mtu? Utasubiri sana.
 
Duuh!aisee!hiii ni zaidi ya hatariii!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…