Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

Umri wako tafadhali.
wewe umri unataka wa nini, ulishawahi kuona mwanamke anamzidi mwanaume umri? kama nina tala mwanaume 34 jua mimi niko chini. usipanic kanywe chai bado ni asubuhi
 
Wewe ni kapuuzi kamoja tu ivi ambako kalivyokua chuo kameshushwa injim Mara kadhaa
dia relax wacha kutukana hili uonekane unanijua,mimi sijasababisha vyuma vikaze na vile huna kazi bas tukana upewe cheti. tafuta pesa najua stress zinakusumbua.
 
dia relax wacha kutukana hili uonekane unanijua,mimi sijasababisha vyuma vikaze na vile huna kazi bas tukana upewe cheti. tafuta pesa najua stress zinakusumbua.
Stress ndo nini ?? Vyuma vikaze ,vianzie wapi na vipitie wapi ??? Au kadegree kako uchwara tena Ka Sanaa ndo kanakupa Bichwa ?? Wee nikajinga Ka viwango vya juu !!.
 
Duuh umejinad vizuri lakini umri wako hujaweka. Kila la heri
 
bikra mmetumwa na m,ganga baada ya kukosa kuku mweupe?
Umetumika weee sasa hivi ndiyo unajifanya smart na bwawa lako.,

Mwenyezimungu anasema mzinzi ataowa/kuolewa na mzinzi mwenzake. Kwa hiyo jiandae tu kisaikologia.
 
hahaha ninazo aisee ila atleast wewe ungekuwa na masters ya electronics ungenipendeza sema hapo ndo tumetofautiana
 
s
Umetumika weee sasa hivi ndiyo unajifanya smart na bwawa lako.,

Mwenyezimungu anasema mzinzi ataowa/kuolewa na mzinzi mwenzake. Kwa hiyo jiandae tu kisaikologia.
tress za kukosa kazi hivi magufuri si uajiri hawa watoto? maan sasa inakuwa kero wanashinda wanazunguka na bahasha akifika nyumbani hana hata mia anaamua kuleta strees jf pole mdogo wangu, najua hali unayoipitia ndo inakufanya uropoke pole
 
Nimekukosa, ila wenzagu wapo humu wakukupata..
 
Unataka mume au shamba?

Utapata mrefu lakini jambazi

Utapata mfupi lakini malaya

Hakuna mwenye ukamilifu wa sifa zote hizo, hata wewe mwenyewe unamapungufu yako.

Pole sana.
tulia unyolewe
 
Mhhhh il tangazo lakaz ofisi ya rais..nimesoma nusu ntamalizia bdae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…