Huyu ndio Shujaa wetu hayati John Pombe Magufuli - Rais wa Watanzania na kimbilio la wanyonge

Huyu ndio Shujaa wetu hayati John Pombe Magufuli - Rais wa Watanzania na kimbilio la wanyonge

mama D

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2010
Posts
19,981
Reaction score
35,581
Mods Moderator naomba msiunganishe huu uzi🙏

Tumshukuru sana Mungu kwa zawadi ya uhai wa John Pombe Joseph Magufuli kwa nchi yetu. Ametutoa pagumu sana, ametuthubitishia yaliyoambiwa hayawezekani yanawezekana kwa vitendo

Ametuachia viongozi makini aliowapika kuwa wazalendo kama yeye mwenyewe na ameacha wananchi wengi walio maskini wakiwa na cha kujivunia kwa nchi yao

Ameiheshimisha Tanzania duniani kote kwa kuondoa uhuru wa bendera na kurudisha misingi ya uhuru halisi

Ametuachia serikali makini chini ya aliyekua msaidizi wake makini Rais Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wote

Ametuachia jamhuri ya muungano wa Tanzania iliyo imara, bunge imara, mahakama imara na jeshi imara.

Hotuba ya Samia siku ya kuapishwa waziri mkuu, waziri wa fedha na waziri wa mambo ya nje. Hii ni baada ya Samia kuteiliwa na Magufuli kuwa makamu wa rais kwa mara ya pili. Samia alimhakikishia Rais amenyooka na kumshukuru sana. Aliahidi kufanya kazi na rais apumzike akifanya mambo makubwa


Hotuba ya rais Magufuli siku ya kuapishwa waziri mkuu, waziri wa fedha na waziri wa mambo ya nje.



🙏🙏🙏


Pole tanzania yangu



Tumuombe Rais wetu Samia Suluhu Hassan aendeleze yale waliyoyaanza pamoja, na Mungu aendelee kumjaza hekma, ampe afya ya mwili, roho na akili katika kulitumikia taifa hili

Rest well our hero President John Pombe Magufuli 💔😭🙏






 
Mods naomba msiunganishe huu uzi🙏

Tumshukuru sana Mungu kwa zawadi ya uhai wa John Pombe Joseph Magufuli kwa nchi yetu. Ametutoa pagumu sana, ametuthubitishia yaliyoambiwa hayawezekani yanawezekana kwa vitendo

Ametuachia viongozi makini aliowapika kuwa wazalendo kama yeye mwenyewe na ameacha wananchi wengi walio maskini wakiwa na cha kujivunia kwa nchi yao

Ameiheshimisha Tanzania duniani kote kwa kuondoa uhuru wa bendera na kurudisha misingi ya uhuru halisi

Ametuachia serikali makini chini ya aliyekua msaidizi wake makini Rais Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wote

Ametuachia jamhuri ya muungano wa Tanzania iliyo imara, bunge imara, mahakama imara na jeshi imara.



Pole tanzania yangu



Tumuombe Rais wetu Samia Suluhu Hassan aendeleze yale waliyoyaanza pamoja, na Mungu aendelee kumjaza hekma, ampe afya ya mwili, roho na akili katika kulitumikia taifa hili

Rest well our hero President John Pombe Magufuli 💔😭🙏

Mbn mnatumia Nguvu kubwa ?
The passed one he had did nothing the issue of an assassination attempt it unforgettably , Lissu is prophet Alive.
 
Mods naomba msiunganishe huu uzi🙏

Tumshukuru sana Mungu kwa zawadi ya uhai wa John Pombe Joseph Magufuli kwa nchi yetu. Ametutoa pagumu sana, ametuthubitishia yaliyoambiwa hayawezekani yanawezekana kwa vitendo

Ametuachia viongozi makini aliowapika kuwa wazalendo kama yeye mwenyewe na ameacha wananchi wengi walio maskini wakiwa na cha kujivunia kwa nchi yao

Ameiheshimisha Tanzania duniani kote kwa kuondoa uhuru wa bendera na kurudisha misingi ya uhuru halisi

Ametuachia serikali makini chini ya aliyekua msaidizi wake makini Rais Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wote

Ametuachia jamhuri ya muungano wa Tanzania iliyo imara, bunge imara, mahakama imara na jeshi imara.



Pole tanzania yangu



Tumuombe Rais wetu Samia Suluhu Hassan aendeleze yale waliyoyaanza pamoja, na Mungu aendelee kumjaza hekma, ampe afya ya mwili, roho na akili katika kulitumikia taifa hili

Rest well our hero President John Pombe Magufuli 💔😭🙏

Shujaa kwa lipi au kwa kuifuta Chadema na vyama vingine vya upinzani vyenye nguvu Tanzania?
 
Kama movie...tukana sana Corona....dhihaki wavaa barakoa...mdogo mdogo puuza ushauri wa kutokusanyika...tokea Chato chanja mbuga mpaka Dodoma...pita Morogoro...Dar es Salaam....badae kidogo kimya...wiki 2 kimya...kuelekea wiki ya 3 msiba.
 
Kama movie...tukana sana Corona....dhihaki wavaa barakoa...mdogo mdogo puuza ushauri wa kutokusanyika...tokea Chato chanja mbuga mpaka Dodoma...pita Morogoro...Dar es Salaam....badae kidogo kimya...wiki 2 kimya...kuelekea wiki ya 3 msiba.
Duh! Ndugu Okwi Boban Sunzu umewaza mbali sana ila umenena ukweli. Wacha mzee wetu apumzike "he was waging a war with many fronts and this Corona front distracted his focus and he ended up fighting the preventive measures rather than the disease.
 
Acha kupost ujinga naomba Moderator mumpe life ban huyu mama D anamchosha the late Jpm kwa kumpa sifa za uongo.
Tuko kwenye maombolezo ya Jpm Haya_Land, kuna shida nikimkumbuka? acha chuki basi

 
Back
Top Bottom