Huyu ndio Shujaa wetu hayati John Pombe Magufuli - Rais wa Watanzania na kimbilio la wanyonge

Huyu ndio Shujaa wetu hayati John Pombe Magufuli - Rais wa Watanzania na kimbilio la wanyonge

Alichapa kazi na aliijua kazi

Mimi binafsi nimemsamehe huyu mzee wangu makosa aliyonifanyia na namtakia pumziko jema. Kuna watanzania wa kawaida ambao aliwasaidia sana sanaaa na kuna wengine alituumiza mno mnoo. Lakini leo nimekaaa nimefikiria na kujisemea kwamba yaliyopita si ndwele, tugange yajayo: Tuna taifa la watu milioni 60 ambalo tunatakiwa kulijenga kwa mshikamano mkubwa sana.

Hizi tabia za U-CCM na U-CHADEMA za kujihisi kwamba kuna watu wamezaliwa kutawala wengine na ni haki yao ya kuzaliwa hazitatufikisha popote. Ushabiki usio na msingi wa uvunjaji wa utawala wa sheria siyo jambo jema hata kidogo.

Rest in Peace Magufuli, tutakukumbuka kwa uthubutu wako usio na mfano.
 
Yaan kugawa maburungutu hadharani?????
Lala salama mwamba


Kiongozi wa watanzania na kimbilio la wanyonge


Alikomesha uonevu - wewe mzazi mwanao analawitiwa na ukifuatilia unawekwa ndani


Baada ya rais kujua ndio mlawiti anashughulikiwa
 
Wanyonge wote tunamlilia Ila liwe kundi ambalo liliifanya TANZANIA shamba la Bibi wanafurahia akiwepo na mtoto wa Sarungi,Maria
 
Mods Moderator naomba msiunganishe huu uzi[emoji120]

Tumshukuru sana Mungu kwa zawadi ya uhai wa John Pombe Joseph Magufuli kwa nchi yetu. Ametutoa pagumu sana, ametuthubitishia yaliyoambiwa hayawezekani yanawezekana kwa vitendo

Ametuachia viongozi makini aliowapika kuwa wazalendo kama yeye mwenyewe na ameacha wananchi wengi walio maskini wakiwa na cha kujivunia kwa nchi yao

Ameiheshimisha Tanzania duniani kote kwa kuondoa uhuru wa bendera na kurudisha misingi ya uhuru halisi

Ametuachia serikali makini chini ya aliyekua msaidizi wake makini Rais Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wote

Ametuachia jamhuri ya muungano wa Tanzania iliyo imara, bunge imara, mahakama imara na jeshi imara.

Hotuba ya Samia siku ya kuapishwa waziri mkuu, waziri wa fedha na waziri wa mambo ya nje. Hii ni baada ya Samia kuteiliwa na Magufuli kuwa makamu wa rais kwa mara ya pili. Samia alimhakikishia rais amenyooka na kumshukuru sana. Aliahidi kufanya kazi na rais apumzike akifanya mambo makubwa


Hotuba ya rais Magufuli siku ya kuapishwa waziri mkuu, waziri wa fedha na waziri wa mambo ya nje.



[emoji120][emoji120][emoji120]


Pole tanzania yangu



Tumuombe Rais wetu Samia Suluhu Hassan aendeleze yale waliyoyaanza pamoja, na Mungu aendelee kumjaza hekma, ampe afya ya mwili, roho na akili katika kulitumikia taifa hili

Rest well our hero President John Pombe Magufuli [emoji174][emoji24][emoji120]
Ndiyo umeandika nini sasa?
Kweli njaa kitu kibaya sana
 
Back
Top Bottom