PumbafNimeandika hicho ulichokisoma
Njaa unayo wewe Mmawia
Pia unaweza ongezea kazalisha vijana wa kubeti / gamblers pamoja na kudhalilisha wasomi , wanaonekana hamna kitu na wasoweza kutumia elimu yao kwa sababu kampuni zao zimekufa.Tuache unafiki, ametuachia Ukabila, ametuchia chuki, ametuachia deni kubwa sana la Haifa, ametuachia umaskini uliotamalaki. Alikua na mema machache
Kwahiyo sisi ambao hatukupanfishiwa mishahara, hatukupanfishiwa mafaraja kazini ndio wababe?
Vipi graduates ambao wanazagaa tu mitaani?
Ulitaka amalizie Sukuma empowerment badala ya Taifa empowerment.Baba aliethubutu kufanya vilivyoshindikana! Laiti Mungu angetuuliza Watanzania tungelia mpaka sauti ya mwisho atuachie JPM ili amalizie alichoanzisha. Tuombee kwa Mungi ili tuweze kukamilisha kazi yako
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Hamna ubaya lakini usitumie nguvu sana. Maisha yaendelee.Kipi sasa hicho kibaya
Endelea kuandaa misosi hapo katoroSikufikii, ulivyokosa staha sasa[emoji849][emoji849]
Umeandika upotoloKipi sasa hicho kibaya
RIP Country Bumpkin.Kama movie...tukana sana Corona....dhihaki wavaa barakoa...mdogo mdogo puuza ushauri wa kutokusanyika...tokea Chato chanja mbuga mpaka Dodoma...pita Morogoro...Dar es Salaam....badae kidogo kimya...wiki 2 kimya...kuelekea wiki ya 3 msiba.
Sio wivu, nadhani nyie watu mnahitaji reality check.Nimetumia nguvu zipi?
Wacha wivu weweeee tuko kwenye maombolezo
Usiumie hivyo hata wewe zamu yako ikifika watakaokuwepo watakuomboleza
Wamejisahau, waache sisi tuendelee kuchinja mbuzi tu, wasitupangie namna ya kihuzunikaMbn mnatumia Nguvu kubwa ?
The passed one he had did nothing the issue of an assassination attempt it unforgettably , Lissu is prophet Alive.