Huyu ndio surprise au bonus artist anaewakilisha bongo

Huyu ndio surprise au bonus artist anaewakilisha bongo

Mbn sioni cha ajabu hapo? Yes, lazima ushangae, jitihada za mwingine haziwezi kulisha familia ya mwingine. Kama kiba ni mzuri angetumika kwenye matangazo, sasa msanii anapitia njia za panya kupanda jukwaani huko ni kujipeleka karibu na mwingine kilazima wakati unajua siyo level zako.

Hili si jambo jema kibiashara, halafu mashabiki wake nanyi mmeshakuwa kama yeye, eti mnaona ndo sawa. Kweli kazi ipo
Wanasema surprise,yaani mimi nione tangazo la.show inaonyesha diamond atakuwepo then niende kule kwenye show nikute diamond anapiga mziki,kisha anatokea ali kiba,hata kama ntamshsngilia kiba,lakin tambua alienitoa nyumbani kuja kwenye show ni diamond,na hata ingekuwa ni malipo tafsir yake nimelipa kiingilio kwa ajili ya show ya diamond.
Alichofanya kiba mi kujishusha na mwenyew moyoni analitambua hilo.
 
Wanasema surprise,yaani mimi nione tangazo la.show inaonyesha diamond atakuwepo then niende kule kwenye show nikute diamond anapiga mziki,kisha anatokea ali kiba,hata kama ntamshsngilia kiba,lakin tambua alienitoa nyumbani kuja kwenye show ni diamond,na hata ingekuwa ni malipo tafsir yake nimelipa kiingilio kwa ajili ya show ya diamond.
Alichofanya kiba mi kujishusha na mwenyew moyoni analitambua hilo.
Exactly mkuu...

Kiufupi, diamond anamlisha Alikiba kwa sasa.
 
1473751556213.jpg
 
Mkuu salama lakini..?
Hivi ikitokea umepewa 5 mil tshs na nyuma yako kuna watu 19 kwenye mgao wa hiyo pesa, Na wakati huo huo ukapewa 3 mil tshs na nyuma kuna watu 9 kwenye mgao wa hiyo pesa.
Utachukua mil 3 ugawane na wenzako 9 au mil 5 ukagawane na wenzako 19..?
Kiba ndio mwenye watu wengi kwa taarifa yako,maana yeye yupo chini ya MENEJIMENTI kwa maana ya kampuni,anapangiwa apewe sh'ngapi (kama Harmo alivyo WCB) Wakati DIAMOND yeye ndio anawa meneji. Ambao wengi wao wapo kwa kulipwa mwisho wa mwezi na hategemei shoo kuwalipa hao watu wengi unaowaona.
 
Akiendelea kuwapotezea mtazoea sana, uyo promota km alitaka kumuaibisha Mondi amefeli maan huwez kumleta mtu na mshindani wake then mmoj unampa taarifa mwingine unamficha, alikuw na malengo gani ata ningekuw mm nisingependa kbs
Hahahaaa halaf kamueka king amalize mchezo[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Kumpandisha Diamond na ally kiba jukwaa moja ilibidi Dai alipwe zaidi ys hizo 5mil... ni kama uwaweke mayweather na pacquiao...

Salaam atakuwa kamind sana maana anajua walitakiwa wapige mpunga zaidi ..ila meneja kafanya janja janja
 
Hii ni fursa ya kupiga mkwanja wa maana kupitia hawa watu. Wacha niwashe pc yangu niandae proposal moja matata
Sitanii
 
Ally kiba nyimbo zake nzuri na diamond nyimbo zake nzuri.wote wanaitangaza nchi yetu nzuri Tanzania
Tatizo hao mameneja hawaki kuona wengine wanapanda juu wanaona wao ndio kila kitu kwenye huu mziki kwamba ni wa kwao.wanataka kila msanii akawapigie magoti ndio watoke
 
Exactly mkuu...

Kiufupi, diamond anamlisha Alikiba kwa sasa.
Alafu mond kala 5M ambazo kama 110m iv za kibongo akiwa na watu 20 buku kiba akila 3M kama 66M za kibongo akiwa na watu 10 piga calculation kama kila mtu atamgeia alienda nae m2 nani atabaki na mkwanja mrefu ukishamaliza apo ndo utaona nani anamkimbiza mwenzie
 
Wanasema surprise,yaani mimi nione tangazo la.show inaonyesha diamond atakuwepo then niende kule kwenye show nikute diamond anapiga mziki,kisha anatokea ali kiba,hata kama ntamshsngilia kiba,lakin tambua alienitoa nyumbani kuja kwenye show ni diamond,na hata ingekuwa ni malipo tafsir yake nimelipa kiingilio kwa ajili ya show ya diamond.
Alichofanya kiba mi kujishusha na mwenyew moyoni analitambua hilo.
Ushaona kaka tatzo mashabiki wa kiba wanatamani sana kusikia mond kafeli so akiwakazia na kuwapa makavu kuwa wa acha mziki wa Janja Janja unaonekana mswahili wakat msanii wao anatumia mgongo wa mwenzie kuwini majority na kilichompata kenya hatakisahau pamoja na sapraiz yake
 
Alafu mond kala 5M ambazo kama 110m iv za kibongo akiwa na watu 20 buku kiba akila 3M kama 66M za kibongo akiwa na watu 10 piga calculation kama kila mtu atamgeia alienda nae m2 nani atabaki na mkwanja mrefu ukishamaliza apo ndo utaona nani anamkimbiza mwenzie
Anamkimbiza wapi? ni kweli alikiba hakuwepo kwenye tangazo. So watu walilipa wakijua ni diamond. Njaa kali akajitokeza hapo kati.

Amshukuru diamond maana bila yeye asingepata riziki.

Mbn mnakuwa hamna shukrani?

na akitaka kupata awe anamfuata nyuma nyuma hivo hivo, vingenevyo hatoboi [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]

chezea kudoda nini
 
Anamkimbiza wapi? ni kweli alikiba hakuwepo kwenye tangazo. So watu walilipa wakijua ni diamond. Njaa kali akajitokeza hapo kati.

Amshukuru diamond maana bila yeye asingepata riziki.

Mbn mnakuwa hamna shukrani?

na akitaka kupata awe anamfuata nyuma nyuma hivo hivo, vingenevyo hatoboi [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]

chezea kudoda nini

Hapakua na kiingilio Wewe it was free show kwa watu wote
 
Back
Top Bottom