Huyu ndiye aliyemtukana Rais Kikwete na sasa anatukana Marais wenzake

Zamani kwenye disco vumbi kaka yangu alikuwa ananiambia Dogo tangulia yoyote atakayekugusa niachie Mimi nipambane nae

Na aliwatandika kisawasawa yeyote aliyenigusa, na nilikuwa mchokozi Sana.
 
Unap
Kagame ni mzalendo wa kweli Rwanda ina maendeleo makubwa kuliko nchi zenu zenye Resources mbalimbali hadi zinamwagika ila hospital zenu hazina paracetamol, sahivi mnajipeleka Congo kupigana na M23 mnachapwa lawama mnampa Kagame
otetea hoja hii unaweza kiweka ushahidi
1.Mfano Kipato cha mtu
2.Miundo mbinu kwa sq area
3. Kiwango cha kuishi
4. Na vitu vingine
Au ni stori tuuuu
 
matunda ya ukoloni hato. baada ya 1884-1886 hakuna kabila lililokuwa salama baada ya hapo.
mkulu hata ujerumani utawakuta, wa belgique, waingereza.

Kumbuka Tanzania ina makabila yote ya Africa, most if not all tribes of Africa. We're the true el pluribus unum. Nimekose bandugu?
Watanzania walivyojaa Mozambique, Malawi, Zambia, Uganda, Kenya, Botswana, Namibia na South Africa ni balaa
 
Is he intelligent?
 
Anyway ni kama unakiri kuwa kuna utofauti ila sio mkubwa. ILA UPO
Pia unakiri kuwa mmoja ana resources zqidi. Hii nayo ni GAP YA UTOFAUTI regardless of miuse
Mwenye uelewa anamaliza mjadala kuwa IPO TOFAUTI na RWANDA NI MASKINI ZAIDI ya Tz. Period
 
Your browser is not able to display this video.
 
Zamani kwenye disco vumbi kaka yangu alikuwa ananiambia Dogo tangulia yoyote atakayekugusa niachie Mimi nipambane nae

Na aliwatandika kisawasawa yeyote aliyenigusa, na nilikuwa mchokozi Sana.
Hahahaa ni kweli. Nakumbuka kuna dogo mmoja alituka njemba moja kabla kaka yake hajafika alipigwa ngumi ya jicho na damu nyingi ilifunika jicho na uso watu waligombelezea na kaka yake alianza kwanza kwa huduma ya kwanza, kilichoendelea siku zilizofuata wanajua wenyewe
 
Huyu atolewe eac ,kuna watu hawafai kwa tabia zao kuwa eac rwanda na somalia siyo wa kuwaamini hata kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…