Huyu ndiye aliyemtukana Rais Kikwete na sasa anatukana Marais wenzake

Huyu ndiye aliyemtukana Rais Kikwete na sasa anatukana Marais wenzake

Zamani kwenye disco vumbi kaka yangu alikuwa ananiambia Dogo tangulia yoyote atakayekugusa niachie Mimi nipambane nae

Na aliwatandika kisawasawa yeyote aliyenigusa, na nilikuwa mchokozi Sana.
 
Unap
Kagame ni mzalendo wa kweli Rwanda ina maendeleo makubwa kuliko nchi zenu zenye Resources mbalimbali hadi zinamwagika ila hospital zenu hazina paracetamol, sahivi mnajipeleka Congo kupigana na M23 mnachapwa lawama mnampa Kagame
otetea hoja hii unaweza kiweka ushahidi
1.Mfano Kipato cha mtu
2.Miundo mbinu kwa sq area
3. Kiwango cha kuishi
4. Na vitu vingine
Au ni stori tuuuu
 
matunda ya ukoloni hato. baada ya 1884-1886 hakuna kabila lililokuwa salama baada ya hapo.
mkulu hata ujerumani utawakuta, wa belgique, waingereza.

Kumbuka Tanzania ina makabila yote ya Africa, most if not all tribes of Africa. We're the true el pluribus unum. Nimekose bandugu?
Watanzania walivyojaa Mozambique, Malawi, Zambia, Uganda, Kenya, Botswana, Namibia na South Africa ni balaa
 
Je, ni kitu gani kinampa ujasiri wa kuwadharau Marais wa nchi zingine?

Inafahamika uwezo wa kijeshi hana lakini ana mbwembwe nyingi na kamdomo kwa wingi.

Je, si wakati muafaka kumpa kipigo cha mbwa koko ili afunge mdomo wake?

Sasa hivi anawashambulia na kuwaua walinzi wa amani, je anastahili kuendelea kuwa Rais wa nchi ambayo ni mwanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki?

View attachment 3223435
View attachment 3223446
Is he intelligent?
 
Kwanza GDP per capita ya Rwanda sio chini ya 1000 na hiyo ni data ya mika takribani miwili iliyopita hivyo sisi na wao wala hatujatofautiana sana wote tupo kwenye group moja kuwa LMI haitufanyi ionekane sisi na Rwanda ni mbingu na ardhi 1200 na 1000 wote mpo kwenye uzani ule ule usio na upishano mkubwa angalau uzani ungekuwa unasoma 1000 kwa 15000,20,000 ni haki kusema hawa hatunao uzani sawa.


Pili tuje kwenye hiyo Gini coefficient unayojaribu kuelezea hapa as if ni mwalimu unanifundisha 0.41 na 0.43 aliyonayo Rwanda inatofauti gani mpaka wewe hujuione huna masikini, umasikini wa kutisha na gape kubwa kati la walionao na wasio nao ? tena wewe ukicompare na resources ulizonazo ambazo nauhakika Rwanda hajakufikia ni sawa kuwa na hiyo Gini coefficient ? Rwanda kuwa na inequality kubwa haifanyi Tanzania kutokuwa na inequality kubwa kati ya walionao na wasio nacho ni mataifa machache yasiyo na hilo gape kubwa hapa duniani.

Unapopima gharama za kusomesha watu miln 3 unapima na resources zilizopo za kuwezesha hilo au unaipima Tanzania kama Rwanda isie na chochote cha kutisha kuwezesha hilo ?
Anyway ni kama unakiri kuwa kuna utofauti ila sio mkubwa. ILA UPO
Pia unakiri kuwa mmoja ana resources zqidi. Hii nayo ni GAP YA UTOFAUTI regardless of miuse
Mwenye uelewa anamaliza mjadala kuwa IPO TOFAUTI na RWANDA NI MASKINI ZAIDI ya Tz. Period
 
IMG-20250203-WA0050.jpg
 
Zamani kwenye disco vumbi kaka yangu alikuwa ananiambia Dogo tangulia yoyote atakayekugusa niachie Mimi nipambane nae

Na aliwatandika kisawasawa yeyote aliyenigusa, na nilikuwa mchokozi Sana.
Hahahaa ni kweli. Nakumbuka kuna dogo mmoja alituka njemba moja kabla kaka yake hajafika alipigwa ngumi ya jicho na damu nyingi ilifunika jicho na uso watu waligombelezea na kaka yake alianza kwanza kwa huduma ya kwanza, kilichoendelea siku zilizofuata wanajua wenyewe
 
Je, ni kitu gani kinampa ujasiri wa kuwadharau Marais wa nchi zingine?

Inafahamika uwezo wa kijeshi hana lakini ana mbwembwe nyingi na kamdomo kwa wingi.

Je, si wakati muafaka kumpa kipigo cha mbwa koko ili afunge mdomo wake?

Sasa hivi anawashambulia na kuwaua walinzi wa amani, je anastahili kuendelea kuwa Rais wa nchi ambayo ni mwanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki?

View attachment 3223435
View attachment 3223446
Huyu atolewe eac ,kuna watu hawafai kwa tabia zao kuwa eac rwanda na somalia siyo wa kuwaamini hata kidogo
 
Back
Top Bottom