Huyu ndiye binti wa Mwl Mwakasege ambaye ni mmoja wa marubani aliyerusha ndege iliyobeba mwili wa Rais Magufuli

Kwa kweli anaishi katika ndoto zake, kutimiza ndoto malengo ni jambo la kumsifu Mungu sio kazi rahisi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wangapi wamezaliwa kwenye pesa wakaishia kuwa mashoga wanahonga wanaume wawabandue?
Wangapi wamezaliwa kwenye pesa wakaishia kuwa mateja?
NB:-
Sio kila Mchungaji ni mwombaji, ndio maana wachungaji wengine shetani anawapiga kikamilifu
Haswa Chief
 
Sijawahi Kukutana na Mwanaume aliyeoa Mwanamke wa Mkoani Mbeya akawa na Sauti kwa Mkewe. Hivi ninavyoandika huu Uzi kuna Baba Mmoja Kaoa Mnyakyusa ni Daktari Kaaga mara moja Wagonjwa na amekuja Kukuna Nazi huku Mkewe huyo Mnyakyusa akiwa anafuatilia Matangazo Mubashara kutoka Zanzibar ya Maombolezo ya Mpendwa wetu Hayati Rais Dkt. Magufuli Sebuleni na amejiachia kabisa.
 
Wanawake wanakuja kwa kasi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakika..umakini wa malezi ni muhimu sana
 
Hilda Ringo tangu aachane na Fast Jet hajarudi tena kwenye kazi yake?
 
Hakika Chief..nahisi awamu inayokuja watapata Spika Mwanamke pia...mambo yamechachamaa
 
watu bwana, mnaanza kuingiza mambo ya dini.......hapo swala ni kwamba baba anaweza kumsomesha.....wa ngapi walikuwa na maono lakini hawakufanikiwa kwa kukosa pesa.....
Wewe unashauri vipi Boss
 
Sawa sawa chief..kwa maoni.
 
Naunga mkono hoja.
Napingana na hoja za wanaojivunia sehemu zao za siri kuliko akili za kichwani mwao.
Ndugu kuna Mwanamke nimemtongoza Jana na alichonijibu najua Mwenyewe ila mwishoni akaonyesha Jeuri na Kiburi fulani hivi kwa Kutumia Urais wa sasa wa Mwanamke mwenzao Mheshimiwa Rais Mama Samia Suluhu Hassan. Alinikera mno tu yaani Kumtongoza Kwangu kumehusiana nini na Urais wa Mama Samia? Wanaume tuwe Makini sana tu.
 
Hamtaelewana na Bujibuji hawa Dada zake na Mashangazi wakatiwa Msiba ni wanagalagala kweli, km sio Sugu kuwagawa wakapungua, nao wangepewa wakaage.

Lakini kwenye kazi na mapenzi wapo First class nimewaona katika masoko yote ni vinara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…