Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
Unaambiwa wanaume wa Kenya wanapigana vikumbo kusaka penzi la Charlene Ruto binti wa Rais Ruto. Ama kweli uzuri wa mtu upo machoni mwa mtu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha roho mbaya wewe. Sijui umewaza nini kuangalia bichwa na kumfananisha na babaye.Bichwa ka babake!!
u-baunsa ama? funguka ama kuna ingine nzur hakionekani 😃Wanawake wa Kenya hana tofauti na wanawake wa Zimbabwe.
😂😂😂😂😂😂😂😂 Uzuri my foot 🤢🤢🤢🤮🤮Unaambiwa wanaume wa Kenya wanapigana vikumbo kusaka penzi la Charlene Ruto binti wa Rais Ruto. Ama kweli uzuri wa mtu upo machoni mwa mtu
View attachment 2569911
Mkuu acha kuharibu professional za watu.Matapeli wengi hupenda watu/wapenzi wenye pesa na umaarufu ili wapate dezodezo aka mchekea.Wapo tayari hadi kufanya mambo ya aibu ili wakubaliwe.BEWARE OF CONMEN!
Umeona eehWanawake wa Kenya hana tofauti na wanawake wa Zimbabwe.
Achana na waandishi wa habari, njoo kwenye uchoraji wa vibonzo jamaa wako mbali sana😂😂😂.Waandishi habari wa tv kenya sijui wanawapataga wapi ni moto tofauti kabisa na wengine 😃