Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
Acha roho mbaya wewe. Sijui umewaza nini kuangalia bichwa na kumfananisha na babaye.Bichwa ka babake!!
u-baunsa ama? funguka ama kuna ingine nzur hakionekani ๐Wanawake wa Kenya hana tofauti na wanawake wa Zimbabwe.
๐๐๐๐๐๐๐๐ Uzuri my foot ๐คข๐คข๐คข๐คฎ๐คฎUnaambiwa wanaume wa Kenya wanapigana vikumbo kusaka penzi la Charlene Ruto binti wa Rais Ruto. Ama kweli uzuri wa mtu upo machoni mwa mtu
View attachment 2569911
Mkuu acha kuharibu professional za watu.Matapeli wengi hupenda watu/wapenzi wenye pesa na umaarufu ili wapate dezodezo aka mchekea.Wapo tayari hadi kufanya mambo ya aibu ili wakubaliwe.BEWARE OF CONMEN!
Umeona eehWanawake wa Kenya hana tofauti na wanawake wa Zimbabwe.
Achana na waandishi wa habari, njoo kwenye uchoraji wa vibonzo jamaa wako mbali sana๐๐๐.Waandishi habari wa tv kenya sijui wanawapataga wapi ni moto tofauti kabisa na wengine ๐