kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,746
vuta subira mkuu,utanielewa tu.subiri mnakasha upate magwiji wa historia ya tanganyika.Sijakuelewa, hebu funguka zaidi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
vuta subira mkuu,utanielewa tu.subiri mnakasha upate magwiji wa historia ya tanganyika.Sijakuelewa, hebu funguka zaidi.
Nasiki walikuwepo wengi wa aina hii? Wakabaki wale wa Gerezani tu, katika historia. Na huyu si alikuwa mpambanaji mzuri wakati wa kutafuta uhuru? Mbona sijamwona katika kitabu chochote kile.nafikiri baadaye ikawa order arudi kwao kijijini, na ndiyo maana anakarudi ipole; ni kweli alikuwa kama tu aliyechanganyikiwa na hakuna na marafiki pale kijijini alikuwa mpweke sana na muda wa kuongea na wanakijiji ulikuwa kwenye misiba tu. Na kila utakapomwona lazima awe na radio yake ndogo maskioni na mara nyingi tulikuwa tukisogelea tunasikia habari za kiingeleza, nafikiri alikuwa nasikiliza BBC
Mzee huyu alikuwa anachunga ngombe kutwa nzima juani, mavazi duni sana, kiujumla hali ya miasha yake ilikuwa vigumu kuielezea.
Hamna shaka mkuu, najua watakuja humu. lakini Ritz hapa hajui kitu.vuta subira mkuu,utanielewa tu.subiri mnakasha upate magwiji wa historia ya tanganyika.
wakongwe wanasema historia ya nchi hii imechakachuliwa sana, hata mimi ukiniuliza sijui lolote zaidi ya hitoria ya mwalimu tu ndiyo iliyoandikwa kwenye vitabu vingi, wengine hamna kitu - hata sasa ukiniambia nimuelezee Oscar Kambona, siwezi zaidi ya kukwambia akikuwa katibu mkuu wa Tanu (tena hii nimesimuliwa tu) kisha akatimkia uingeleza kufanya nini na kwa nini mimi hapo sijui kitu.Nasiki walikuwepo wengi wa aina hii? Wakabaki wale wa Gerezani tu, katika historia. Na huyu si alikuwa mpambanaji mzuri wakati wa kutafuta uhuru? Mbona sijamwona katika kitabu chochote kile.
<br />wakongwe wanasema historia ya nchi hii imechakachuliwa sana, hata mimi ukiniuliza sijui lolote zaidi ya hitoria ya mwalimu tu ndiyo iliyoandikwa kwenye vitabu vingi, wengine hamna kitu - hata sasa ukiniambia nimuelezee Oscar Kambona, siwezi zaidi ya kukwambia akikuwa katibu mkuu wa Tanu (tena hii nimesimuliwa tu) kisha akatimkia uingeleza kufanya nini na kwa nini mimi hapo sijui kitu.
vuta subira mkuu,utanielewa tu.subiri mnakasha upate magwiji wa historia ya tanganyika.
Informer,Kasanga Tumbo aliwahi kusimama kupingana na Mwalimu katika Uchaguzi Mkuu 1960 au 1961 (siko sahihi na miaka hapa).
Nakumbuka Kasanga Tumbo alijiuzulu ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza na kurudi nchini kuanzisha chama kilichoitwa Peoples Democratic Party (PDP). Alitaka kupata jukwaa la kupinga Nyerere kuwaita wahaini waliompinga. Lakini, chama cha PDP kilipigwa marufuku muda mfupi tu na Tumbo akatupwa kizuizini na serikali!
Kasanga Tumbo alipowasili toka London, aliitisha mkutano na vyombo vya habari na kusema alilipwa Paundi 60,000 ili kuweza kumpindua Mwalimu Nyerere, nahisi hapa ndipo alipochemsha na kujikuta hawezi kukwepa mkono wa dola.
Nashauri wakongwe kama mzee Edwin Mtei na Jasusi watusaidie hapa
Nasikia nyie TYL kazi yenu kubwa ulikuwa kupopoa mawe viongozi wa upinzani. Kama pale Morogoro mlivyompopoa Chief Kunambi, mtoto wa mzee kingalu, mkamfukuza hadi nyumbani. Kuna wazee Morogoro bado wanajua hizi habari. Naona sasa zinajirudia kwa kuhujumu CDM.Kadoda usinikumbushe msamiati wa mnakasha nee maka!
Nasiki walikuwepo wengi wa aina hii? Wakabaki wale wa Gerezani tu, katika historia. Na huyu si alikuwa mpambanaji mzuri wakati wa kutafuta uhuru? Mbona sijamwona katika kitabu chochote kile.
<br />Informer,<br />
Naikumbuka hii sana. Tuliposoma kwenye magazeti kuwa Kassanga Tumbo amesema amelipwa hela na Uingereza kumpindua Nyerere tulijua huyu jamaa ataishia detention. Na kweli muda haukupita akawekwa detention. Mimi nadhani tatizo la watu kama marehemu Tumbo ni kwamba alikuwa na akili sana na alijiona kuwa na akili sana na watu aina hii mara nyingi wana matatizo ya kutojua kitu cha kusema hadharani. Kuna mwingine yule aliyemfuata Mwalimu baada ya masomo na kusema kazi anayostahili kupewa ni ile aliyo nayo Mwalimu, sasa mtu kama huyu kweli utasema ana akili timamu?
Yo Yo,<br />
<br />
Lakini mkuu hili la kumuweka mtu detention huoni kama mwalimu alikosea...nafkiri vichwa kama kasanga ,tuntemeke hawakufaa kuwa treated namna ile....
Nasikia nyie TYL kazi yenu kubwa ulikuwa kupopoa mawe viongozi wa upinzani. Kama pale Morogoro mlivyompopoa Chief Kunambi, mtoto wa mzee kingalu, mkamfukuza hadi nyumbani. Kuna wazee Morogoro bado wanajua hizi habari. Naona sasa zinajirudia kwa kuhujumu CDM.
mkuu what is TYL, i can guess Tanganyika Youth Leaque -- ilikuwa jeshi wakati wa mkoloni or something to do with usalama wa taifa wa mkoloni? hapa mneniacha kidogo.Nasikia nyie TYL kazi yenu kubwa ulikuwa kupopoa mawe viongozi wa upinzani. Kama pale Morogoro mlivyompopoa Chief Kunambi, mtoto wa mzee kingalu, mkamfukuza hadi nyumbani. Kuna wazee Morogoro bado wanajua hizi habari. Naona sasa zinajirudia kwa kuhujumu CDM.
mkuu what is TYL, i can guess Tanganyika Youth Leaque -- ilikuwa jeshi wakati wa mkoloni or something to do with usalama wa taifa wa mkoloni? hapa mneniacha kidogo.
<br />
<br />
Lakini mkuu hili la kumuweka mtu detention huoni kama mwalimu alikosea...nafkiri vichwa kama kasanga ,tuntemeke hawakufaa kuwa treated namna ile....