Huyu ndiye Christopher Kasanga Tumbo (RIP) - Mwanasiasa Machachari

Hakika
 
Historia ya Tanganyika haijawahi kuchakachuliwa,na sio kweli kuwa kila kitu ni lazima kiandikwe.kwa mfano wewe umeandika nn juu ya historia ya tanganyika.unaposema imechakachuliwa,maana yake ipo iliyo sahihi unayoijua wewe,je umeiandika wapi?
 
Sio kweli.vijana acheni kudandia hoja.kama hujui kaa kimya.
 
Nasiki walikuwepo wengi wa aina hii? Wakabaki wale wa Gerezani tu, katika historia. Na huyu si alikuwa mpambanaji mzuri wakati wa kutafuta uhuru? Mbona sijamwona katika kitabu chochote kile.
Unaweza kudhibitisha kuwa kasanga tumbo amewahi kushiriki kupigania uhuru?!!
 
Maelezo yako Yana walakini aliporudi alianzisha chama, Nyerere akamweka ndani , akatupa Kadi ya Tanu. Aliwezaje kuanzisha chama cha siasa huku anamiliki Kadi ya Tanu?
 
Chukua maua yako.
 
Kipindi cha uchaguzi mkuu mwaka 1960,katanga tumbo hakuwa sehemu ya upinzani.
 
Kafa maskini kazikwa kienyeji; kaburi la udongo; just thinking kama wanafamilia watanikubalia basi nitalijengea. Huyu ndie balozi wetu wa kwanza nchini ui geleza baada tu ya uhuru wa nchi yetu 1961.Sidhani kama watanzania wengi wanajua h5istiria hii.
Yeye mwenyewe anasema aliwahi kuitwa na Nyerere kuongoza shirika la reli lakini akakataa. So sahihi kuhusisha umasikini wake na mtu mwingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…