Huyu ndiye daktari aliyejichoma sindano ya UKIMWI ili kuthibitisha kuwa UKIMWI ni uongo!

Huyu ndiye daktari aliyejichoma sindano ya UKIMWI ili kuthibitisha kuwa UKIMWI ni uongo!

Status
Not open for further replies.
HIV ni retrovirus.Retrovirus huyu amebambikiziwa jina hili la HIV ili aonekane ana sifa za kusababisha AIDS kitu ambacho si kweli.HIV is a political and commercial/business name,watu wawili tu wamekaa na kuamua apewe jina hilo bila hata single scientific proof/paper published kuthibitisha ukweli huo.Hakuna ugonjwa unaoitwa AIDS unaosababishwa na HIV.Najua hili ni jambo geni kwa wengi,ila ndio ukweli.

Nakaribisha mtu yeyote mwenye mashaka au anayepinga hili na hasa madaktari ndio target yangu maana wao wamelishwa sumu hii wakiwa masomoni.HIV free generation ni ile tu inayojua ukweli ulivyo.

Na ndio maana contradictions haziishi kuhusu ugonjwa huu feki.Karibuni kwenye mjadala ambao utakuondoa kwenye utumwa wa kifikra.
Huu ni kama mwandiko wa Deception kabisa.
 
Acheni uongo wenu *****,juzi nimemzika Dada yangu kwa ukimwi na sababu hakutumia ARV hata siku moja. Kapima zaidi ya Mara 10 anaonekana ana HIV halafu mbweha mmeshiba chakula cha Dada zenu mnakuja kuongea rubbish. Ukimwi upo na unaua.

Swali langu kwenu
Je watu wawili wakipima kipimo cha hiv mmoja akawa nao na mmoja akawa hana. Je nini kinachowatofautisha hapo.
 
HIV ni retrovirus.Retrovirus huyu amebambikiziwa jina hili la HIV ili aonekane ana sifa za kusababisha AIDS kitu ambacho si kweli.HIV is a political and commercial/business name,watu wawili tu wamekaa na kuamua apewe jina hilo bila hata single scientific proof/paper published kuthibitisha ukweli huo.Hakuna ugonjwa unaoitwa AIDS unaosababishwa na HIV.Najua hili ni jambo geni kwa wengi,ila ndio ukweli.

Nakaribisha mtu yeyote mwenye mashaka au anayepinga hili na hasa madaktari ndio target yangu maana wao wamelishwa sumu hii wakiwa masomoni.HIV free generation ni ile tu inayojua ukweli ulivyo.

Na ndio maana contradictions haziishi kuhusu ugonjwa huu feki.Karibuni kwenye mjadala ambao utakuondoa kwenye utumwa wa kifikra.
daaaah..ain't seriuz men......!!! unajua unachokiongea lakini...?? watu wamefanya clinical trial in relavant to HIV RNA replication into host DNA na kugundua a bilion number of RNA copies was made halafu wew unasema RNA hayupo...!!? hivi mbona unaleta vitu ambavyo havipo duniani we jamaaa....?? do you know how we classify virus...?? unajua HIV virus yupo kundi gani mpka useme watu walijitungia...!! afu usiwe unalazimisha kuandika vitu ili uonekane una points....hey man ...you not seriuz aise...watu wa molecular biology watakucheka unakanusha et HIV sio Retro....daaah....ha ha ha nacheka ujue huku kwa sauti....afu nimegundua interest yako...you still learning men
 
Kabla ya kutoa uthibitisho wangu,ninyi wenyewe wana JF mnatoa uthibitisho.Hakuna chanjo ya ukimwi.Hata mimi naweza kutembea na mtu anayetumia ARVs bila kinga mara nyingi na naweza pia kujikata na kujiwekea damu ya mtu huyo na siwezi kupata ukimwi/VVU.By nature,ugonjwa huu haupo,ila jamaa wametumia akili nyingi tu kudanganya watu,wametumia uongo wa kisayansi ili watu waamini kama kweli ugonjwa huu wa HIV/AIDS upo kitu ambacho si kweli.Watu wanajua kwamba AIDS inasababishwa na HIV hivyo mtu hupewa ARVs,kumbe ARVs baada ya muda fulani ndio husababisha AIDS,hili watu wamefumbwa,hawalijui.Na kama mtu yeyote anaumwa na hatumii ARVs basi lazima atakuwa na tatizo la msingi linamsumbua na akipewa dawa husika anapona kabisa na haitajia kula ARVs maisha yake yote hata kama ameonekana ana HIV
ww jamaaa upo dunia gani wew...?? hakuna chanjo ya HIV men?? are you seriuz...?? ipo but ni gharama sana na hawataki kuiexpose tu kwa sababu ya economic facts ambazo kampuni za kutengeneza ARVs zimeingia ubia na WHO but immunophilin vaccine against HIV virus is ready but few guys are vaccinated under special configuration..sio kila kitu public...hakafu mbona unajicontradict mwenyew..mara unasema HIV yupo then unaruka unakuja kusema yupo ila chanjo yake haipp...you not seriuz men........hebu kasome tena ndo urudi huku acha kupotosha watu...HIV ni man made weapon i believe na watu wamefanya molecular study kuverify hilo halafu we unakurupuka na article zako fro. wikipedia.....you not seriuz actually
 
Kwa maelezo yake wala siwezi kumuelewa na wala sitaruhusu akili yangu kuelewa ujinga anaoandika hapa kuhusu UKIMWI na HIV......Nimesoma sayansi tena biology O na A level na pia nimesoma chuo sayansi hicho anachokieleza ni kitu ambacho nadhani anachanganya na imani zingine zinazopingana na masuala mazima ya maendelo ya sayansi na teknolojia ya nchi za magharibi
Hicho unachokijua wewe ndicho ambacho watu wengi tunakijua...! Tulichofundishwa kwenye mitaala yetu ya elimu...! Elimu anayotoa huyo jamaa iko against na hiyo uliyofundishwa kwa mantiki hiyo kama umeshindwa kuruhusu akili yako kumuelewa basi tufanye wewe ndio mshindi....! Maana naona kama unataka ushindni sio kuelewa
 
Kumbuka ARV zimekuja majuzi tu, zaman hapo tulipoteza watu weng na walikufa kwa mateso meng ikiwa ni pamoja na kukonda sana

Tuambie nn kilikuwa kinawaua haraka vile
hili swali ni zuri sana...wajuvi waje kutujibu
 
HIV ni retrovirus.Retrovirus huyu amebambikiziwa jina hili la HIV ili aonekane ana sifa za kusababisha AIDS kitu ambacho si kweli.HIV is a political and commercial/business name,watu wawili tu wamekaa na kuamua apewe jina hilo bila hata single scientific proof/paper published kuthibitisha ukweli huo.Hakuna ugonjwa unaoitwa AIDS unaosababishwa na HIV.Najua hili ni jambo geni kwa wengi,ila ndio ukweli.

Nakaribisha mtu yeyote mwenye mashaka au anayepinga hili na hasa madaktari ndio target yangu maana wao wamelishwa sumu hii wakiwa masomoni.HIV free generation ni ile tu inayojua ukweli ulivyo.

Na ndio maana contradictions haziishi kuhusu ugonjwa huu feki.Karibuni kwenye mjadala ambao utakuondoa kwenye utumwa wa kifikra.
Retro_virus anasaidia nini mwilini boss? Nahitaji kumuelewa vizuri huyu virus
 
ww jamaaa upo dunia gani wew...?? hakuna chanjo ya HIV men?? are you seriuz...?? ipo but ni gharama sana na hawataki kuiexpose tu kwa sababu ya economic facts ambazo kampuni za kutengeneza ARVs zimeingia ubia na WHO but immunophilin vaccine against HIV virus is ready but few guys are vaccinated under special configuration..sio kila kitu public...hakafu mbona unajicontradict mwenyew..mara unasema HIV yupo then unaruka unakuja kusema yupo ila chanjo yake haipp...you not seriuz men........hebu kasome tena ndo urudi huku acha kupotosha watu...HIV ni man made weapon i believe na watu wamefanya molecular study kuverify hilo halafu we unakurupuka na article zako fro. wikipedia.....you not seriuz actually
.Sikusema hakuna ukimwi,bali nilisema hakuna ukimwi unaosababishwa na HIV.Nadhani sasa utakuwa umepata point yangu.
Sasa mimi vita yangu ipo kwenye kuwasingizia watu kwamba wana HIV na kuwapa ARVs zenye sumu ili kuwalinda na HIV ambaye hayupo kiuhalisia hivyo hana madhara ilihali ARVs ndizo zinakuja kusababisha matatizo yote tunayoyaona kwa wale wanaozitumia.
Pia hata kama mtu amedhoofika halafu hatumii ARVs,lazima ukimfanyia udadisi kwa kina utagundua kwamba kuna sababu specific na za msingi ambazo zimemsababishia matatizo aliyonayo,na uki deal na hizo sababu za msingi na matatizo yake yatakwisha mara moja.

Hayo ninayoeleza hapo juu watu wanaya bypass sana na kufanya mjadala unakuwa mrefu sana.Niko very consistent na yale ninayoyaeleza na ndio maana hamna mtu yeyote hata kama ni daktari mwenye uwezo wa kupinga kwa hoja zenye mashiko.Nina vithibitisho vya maandishi na vya kuonekana na vile vya kufanya mwenyewe kwa mkono wangu.
 
.Sikusema hakuna ukimwi,bali nilisema hakuna ukimwi unaosababishwa na HIV.Nadhani sasa utakuwa umepata point yangu.
Sasa mimi vita yangu ipo kwenye kuwasingizia watu kwamba wana HIV na kuwapa ARVs zenye sumu ili kuwalinda na HIV ambaye hayupo kiuhalisia hivyo hana madhara ilihali ARVs ndizo zinakuja kusababisha matatizo yote tunayoyaona kwa wale wanaozitumia.
Pia hata kama mtu amedhoofika halafu hatumii ARVs,lazima ukimfanyia udadisi kwa kina utagundua kwamba kuna sababu specific na za msingi ambazo zimemsababishia matatizo aliyonayo,na uki deal na hizo sababu za msingi na matatizo yake yatakwisha mara moja.

Hayo ninayoeleza hapo juu watu wanaya bypass sana na kufanya mjadala unakuwa mrefu sana.Niko very consistent na yale ninayoyaeleza na ndio maana hamna mtu yeyote hata kama ni daktari mwenye uwezo wa kupinga kwa hoja zenye mashiko.Nina vithibitisho vya maandishi na vya kuonekana na vile vya kufanya mwenyewe kwa mkono wangu.
nikwambie kitu...tuliza akili yako ujue mengi ...kuna mambo mengi ambayo huyajui na usiww unakimbilia kupinga facts za watu na ukajikuta unaamini juu ya ulichokijua na kukifahamu bila kuhusisha real actual analysis kutoka deep sites....hiyo chanjo unayokanusha kuwa haipo nakuonea huruma snaa ..mimi nipo na watu kutoka sehemu mbali mbali wamepigwa chanjo hiyo katika 3 phases wa wapo free from post exposure ya HIV infection na clinical trial nyingi zimefanyika zikupruvu hiyo chanjo against the genomic effects of the HIV virus...kwa hiyo mimi sikushangai kwa sababu unakosa deep information...yani watu waliopigwa chanjo ya HIV ni very selective sana na wenye pesa zao....mtu masikini huwezi pata hiyo favour...mfano ni Lily wayne ambaye alipata HIV na kugundukika mwaka 2006 lakini alipata tiba juu yake japo its more secret but he was a HIV positive man...lakini pia ARVs zipo kàtika magrup kulingana na pesa zako..kuna ARVs za kunywa daily ,kuna za kunywa kila baada ya mwezi na kuna zingine ni za kunywa mara moja kwa miaka 3 and so on,sasa ww umebase na hizo wanazorundikiwa waafrica ....!! very sory kwa sababu hata makundi ya ARVs huyajui....ningekuona wa maana sana kama maada hii ungeigeuza ili ujue mengi but umebase yani as if unajua more deeply kuhusu siri za CDC ....labda kwa msaaada zaidi naomba ukasome ARVs aina ya fusion inhibitors uone kama zipo huku africa na hzio dawa ndo wanakunywa watu wenye pesa ndefu balaaa...unakunywa dozi mara moja mpka bada ya miaka 2 au zaidi unakunywa na zenyewe zipo katka subgrups kulingana na pesa uliyonayo...kwa hiyo hizo za bure tunazokunywa huku bongo( Africa) ndo hizo zenye side effects kibao including Thrombocytopeni,anamia,alopecia,skin rashes and so fourth ..ni kwa sababu ni low graded drugs against HIV virus....kwa hiyokuna siri nzito juu ya ugonjwa huo..nchi kama marekani zimeficha code ya kutengenezea HIV vaccines ambayo nchi za china,Rusia zinaitafuta hiyo code kwa hali na mali lakini Marekani kamua kuficha chemistry ya utengenezaji wa Immunophilin vaccines against HIV na amejikita kupiga pesa na kuendeleza uchumi wa nchi kupitia drugs ...akisema leo hii alirelease immunophilin vaccine hiyo uchumi wake utacollapse fasta snaa make kawekeza zaidi kwenye drugs pamoja na weapons kuraise uchumi
 
Acheni uongo wenu *****,juzi nimemzika Dada yangu kwa ukimwi na sababu hakutumia ARV hata siku moja. Kapima zaidi ya Mara 10 anaonekana ana HIV halafu mbweha mmeshiba chakula cha Dada zenu mnakuja kuongea rubbish. Ukimwi upo na unaua.

Swali langu kwenu
Je watu wawili wakipima kipimo cha hiv mmoja akawa nao na mmoja akawa hana. Je nini kinachowatofautisha hapo.
Wait; wapi katika uzi huu pamesemwa Ukimwi haupo? Mbona unakurupuka?
 
Nimeishi baadhi ya nchi za Asia, kama Korea, Japan na Uchina, haya masuala ya ukimwi sijawahi yasikia kabisaaaa huko. Iko vip hii
 
Bado mimi nitaendelea kukuheshimu kwa kuwa wewe ni daktari na una uelewa mkubwa kuhusu mambo ya madawa.Hivyo wakati unaongea na mimi inabidi ujue kwamba unaongea na mtu anayekukubali kwenye field yako.Lakini pale ambapo huna uelewa nako sina budi kukujulisha, kwa maana hakuna anayejua vyote.



Hebu tuchukue mfano wa ARVs mojawapo inayoitwa Tenofovir Disoproxil Fumarate(TDF) ambayo inatumika na wagonjwa wengi wa AIDS,najua hapa nimekufikisha nyumbani kwako.
Dawa hii kwenye warning zake inasema "It can cause serious,life-threatening side effects.These include lactic acidosis and severe liver problems."
Najua unajua kwamba kiwango salama cha acid/alkali kwenye damu(yaani pH) ni 7.365,maana yake damu inatakiwa iwe slightly alkaline ili kinga ya mwili iweze kufanya kazi yake vizuri.Chini ya kiwango hicho ni majanga matupu,utakuwa na magonjwa yasiyohesabika na yasiyoisha mpaka unakufa.Najua mpaka hapa huna cha kupinga,labda urekebishe kidogo sana.
Sasa kama acid itajijenga kwenye damu yako,maana yake pH ya damu yako ita drop na kuwa chini ya 7.365.ARVs na specifically hii TDF ndivyo inavyofanya kwenye damu za wale wanaoitumia.TDF inaongeza kiwango cha acid kwenye damu.Acid ni sumu kwenye damu,acid inapokuwa nyingi INI haliwezi kufanya kazi yake inavyotakiwa na ndio maana kwenye dawa hizo severe liver problems imetajwa kama mojawapo ya effects.
Pia najua unajua ya kwamba kama damu ina acid nyingi,hewa ya oxygen inapungua sana hivyo seli za damu zinakosa oxygen ya kutosha kufanya kazi yake,najua unajua nini kinatokea kama seli za damu zitakosa oxygen.Hata wewe mwenye ukikosa oxygen unajua kitakutokea nini.Hapa najua huna hoja ya kupinga pia.

Sasa kutokana na ukweli huo,Je,ARVs hazisababishi mapungufu kwenye kinga?Na kutokana na effects hizo ndio maana magonjwa mengi sana huzaliwa kwa wale ambao wametumia ARVs muda mrefu.Baadhi ya magonjwa hayo ni kama vile;
-Cancer:Ukimpima mgonjwa yeyote wa cancer lazima utakuta damu yake ni acidic(yaani pH yake ni chini ya 7.365)
-Ini
-Figo
-Anaemia
-Heart disease
nk.

Fanya uchunguzi kwa wagonjwa wote waliolazwa mahospitalini,lazima utawakuta na moja/mawili/matatu.... kati ya magonjwa niliyotaja hapo juu.
Kuhusu cancer,usifikiri kama zile NGO za mambo ya HIV/AIDS zilivyoanzisha kitengo maalumu kwa ajili ya cervical cancer kwa wanawake ilikuwa ni coincidence.Hiyo cancer inasababishwa na ARVs,fanya uchunguzi wewe mwenyewe kama una muda.
Hivyo basi,nataka nikwambie kwamba ARVs zinasababisha AIDS,hii sio speculation ndugu yangu,its real.Kama unataka evidence tena kuhusu hizo side effects niambie nitakupa.
wewe jamaa..mimi bado niko na wew mpaka upate kuelewa vizuri...umesoma pharmacology vizuri on how the drugs work...? on how the drugs get metabolised kwenye mwili...?? umesoma vizuri pharmacology on how do drugs interact with other drugs...?? kama kama umelijua hilo kwann unaquestion juu ya side effects za dawa...?? kila dawa ina side effects zake dependinng with its dissociation strength kwenye plasma PH na the more the drugs is cheaper the more the its side effects kwa sababu ya kuwa na selective receptor molecules...dawa ikiwa na potency kubwa ndipo side effects zake zitavaly....the cheaper drugs zinakuwa ni multireceptor ndo mana zinaharibu sehemu nyingine kwenye mwili lakini kuna drugs zinakuwa na specific receptor hence zinaleta effects sehemu husika bila kuingilia sehemu zingine
.

...ndo mana nimekuliza unajua how drugs work...?? usiingilie fani za watu ohooo...watu wamekaaa kimya siyo kuwa wanaappreciate unachoandika but they are loughing aside due to yo stuffs you are writting....
 
wewe jamaa..mimi bado niko na wew mpaka upate kuelewa vizuri...umesoma pharmacology vizuri on how the drugs work...? on how the drugs get metabolised kwenye mwili...?? umesoma vizuri pharmacology on how do drugs interact with other drugs...?? kama kama umelijua hilo kwann unaquestion juu ya side effects za dawa...?? kila dawa ina side effects zake dependinng with its dissociation strength kwenye plasma PH na the more the drugs is cheaper the more the its side effects kwa sababu ya kuwa na selective receptor molecules...dawa ikiwa na potency kubwa ndipo side effects zake zitavaly....the cheaper drugs zinakuwa ni multireceptor ndo mana zinaharibu sehemu nyingine kwenye mwili lakini kuna drugs zinakuwa na specific receptor hence zinaleta effects sehemu husika bila kuingilia sehemu zingine
.

...ndo mana nimekuliza unajua how drugs work...?? usiingilie fani za watu ohooo...watu wamekaaa kimya siyo kuwa wanaappreciate unachoandika but they are loughing aside due to yo stuffs you are writting....
Naona unakwepa hoja na kujibu visivyohojiwa, madawa yana madhara, lakini kutumia dawa za chemotherapy kupunguza makali ya virusi hewa ni uwendawazimu.
 
Mimi nakubali ukimwi ni uzushi tu, ila ukishazugwa unao unaanza kufa nusu mwenyewe, kisha unastawishwa kwa muda kwa kugeuzwa teja wa ARV business inaendelea!

Inaonyesha unaogopa sana UKIMWI na dalili kuu ni uoga wa kupima ukiona hautaki kabisa kupima basi tambua unaelekea kwenye kuupata maana nafsi yako inakua 50/50.
Pole sana swahiba ila usiombe UKIMWI ufike mlangoni kwako hapo ndipo akili itakukaa sawa mimi nimeishi na wabishi wapo ambao wamefutika kwenye uso wa dunia kwa ubishi tu nashukuru wapo waliokubali hali sasa ivi huwezi wajua,tunachowazidi sehemu nyingine nje ya Africa ni rate tu ya maambukizi ila nao wanapata UKIMWI sijasimuliwa nimeona ila wenzetu wana huduma bora za afya.
 
Umeshawahi kujiuliza ni kwanini hadi leo hakuna kipimo cha kupima uwepo wa 'VIRUSI VYA UKIMWI'? Badala yake tunapima uwepo wa 'ANTI-BODIES' ambazo mtu huzalisha mwilini hata akiwa anaumwa T.B au Malaria?
Kwanza nikiri sijawahi Fahamu kitu kama hiki. Lakini ili kuthibitisha.

Kwanza ni vyema tukianza na kuangalia kama magonjwa mengine ya Virusi yanavyo hivyo Vipimo. Kama magonjwa mengine ya Virusi hayana Vipimo. Jibu halitakua Tatizo la HIV peke yake. Linaweza kua linahusika na maumbile ya Virusi wenyewe. Na teknolojia.

Kwasababu;- Miongoni mwa sifa za virusi ni kua Kinakua kimekufa nje ya organism na kinakua hai kikiwa ndani ya Organism. Pia virusi ni vidogo sana kuliko Ukubwa wa Bacteria mmoja.

Lakini kwa ujumla umenipa mwanga ni kwanini wako watu ambao waliwahi kupimwa wakaambiwa wana Virusi na baadaye kuja kuathirika na ARV na kugundua hawakua na HIV miilini mwao.

Lakini, najua Dunia ya kisayansi haina Siri ya pamoja.(Collective secret). AIDS ipo na ndio maana madaktari wote duniani wanakubaliana na hii dhana.
Kuhusu madaktari wenye mrengo wa kutilia shaka kuhusu Uwepo wa AiDs. Kwanza siwalaumu lakini najua idadi yao ama wingi wao sio cinvinving katika hili.. Na Kwakua najua nyuma ya utengenezaji hizi dawa ni kulenga kujinufaisha binafsi. Inaweza kua ndio sababu ya wao kuibuka na mashaka yote haya.
Ila kwa ujumla Ngoma ni real.

Lakini jambo moja najua Magonjwa yote ya Virusi mbali na HIV hayajawahi kua na Dawa. Including Mafua, Newcastle etc
Ila yamewahi kua na Chanjo. Ambapo Hata chanjo ya Ngoma imeshazinduliwa tayari.
 
Dr.Robert Wilner.
willner_book2.jpg
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom