Huyu ndiye daktari aliyejichoma sindano ya UKIMWI ili kuthibitisha kuwa UKIMWI ni uongo!

Huyu ndiye daktari aliyejichoma sindano ya UKIMWI ili kuthibitisha kuwa UKIMWI ni uongo!

Status
Not open for further replies.
Naomba majibu ya hiki,

* nimeona mahala wanasema HIV ni virus asiyeweza sababisha AIDS, na kwamba si kweli HIV inaleta umauti na kwamba HIV virus ni kama aina nyingine ya virus zinazo muattack binadamu na hudhibitiwa na kinga ya mwili au kwa kutibu ugonjwa husika uliojitokeza

*imeonekana pia ARV (dawa) ndizo hupelekea mtu kupata AIDS kwakuwa baada ya vipimo tu mtu ushauriwa kuanza kuzitumia dawa hizo na ivyo kuwa kama adiction ambaozo husababisha;-
Mkuumwa inni
kuumwa figo
ugonjwa wa moyo na n.k

Lakini pia kwamujibu wa maelezo husika nikajifumza kuwa Kukonda kwa mtu na kukooa ama kuharisha kama dalili za hiv/aids si kweli bali ni TB

sasa

Kwa uzoefu wangu niliwai kuwa na mgonjwa aliyegundulika kuwa na HIV, kabla ya kupimwa alianza tumbo linamuuuma, kama miezi miwili hivi then ikawa kuharisha na tumbo then ikawa kukohoa na kukonda sana, alipo pimwa wakasema ana HIV na kinga ya mwili imeshuka kwa Maana sasa ana AIDS. Na akaanza ARV.

Alibadirika akaongezeka mwili, akapona kukohoa, tumbo likaacha lakini akawa anatatizo la upungufu wa damu mara nyingi kwa ufupi afya kama ili imarika!!!

Swali,
Je kwa maelezo hayo hapo juu Mgonjwa huyu hakupaswa kutumia ARV bali alipaswa kutumia dawa za tumbo na TB na kula matunda chakula (mlokamili) na kupumzika tu???

Je inamaana mgonjwa huyu akupaswa kupima kipimo hiko cha HIV ili asidhurike ki saikolojia kuwa ana ukimwi???


Mwisho

Mgonjwa wangu alisha fariki na alikufa ghafla usingizini kwa seres ya kubadilika rangi na kuwa wa njano ikimaanishwa alipata homa ya manjano miaka miwili baada ya kutumia ARV
 
Umeeleza vizuri sana na mwenye akili na aelewe....ila nakuomba nikuongee hapo kwenye PEP....Hiyo ni Post Exposure Prophylaxis na si Pre Exposure Prophylaxis (Pre EP) hii ya pili ndo ile anapewa mtu kabla hajafanya tendo linaweza kuwa ktk hatari ya kupata maambukizi kwa mfano sex workers yaani madada powa au wauza miili yao kingono

Dawa hizi zinaitwa PEP(Post/Pre exposure prophylaxis ),mojawapo ya dawa hizi ni truvada.Fahamu kwamba mkuu wa Centre for infectious disease control(CDC) mshenzi Antonio Faucci anataka dawa hizi ziwe zinatumika kila siku watu wanapotaka kujamiiana.Kuna jambo hapa muhimu,lakini refu kidogo ngoja nilipotezee.
Wanatudanganya kwamba ukimeza dawa hizi ndani ya masaa 72 zinakukinga dhidi ya maambukizi ya HIV.Mkuu hapa tunarudi kwenye concept ileile ya kuwapa mama wenye mimba ARVs ili kuzuia watoto wao wasipate maambukizi.Wanajua kwamba mtu anaweza kufanya ngono bila kinga na mtu mwenye HIV zaidi ya mara 200 na asipimwe HIV+,hizi wanatumia mwanya huu kurubuni akili zetu ili ukimeza dawa hizo halafu ukipimwa HIV- ushangilie kwamba dawa hizo ndio zime kusevu/kukuokoa na kwenye ubongo wako utajenga imani hiyo na hamna mtu atakayeweza kubadili imani yako hiyo.Kumbe HIV huyu feki kamwe haambukizwi kwa njia ya ngono kama tulivyodanganywa.
Lengo lao lingine ni lilelile maalum la kuuza dawa za ARVs.Na ndio maana Antonio Faucci anafanya kampeni ili dawa hizi ziwe zinatumika kila mara watu wanapotaka kufanya ngono zembe.Ila nimemsikia daktari mmoja hapa kwetu akipingana na maelezo hayo ya Antonio Faucci kwamba yeye, huyu daktari wa bongo hakubaliani na hilo kwa kuwa dawa hizi zinapotumika muda mrefu zina madhara hatari mwilini,nilifarijika sana kusikia anasema hivyo kwa kuwa sasa watanzania tunaanza kufunguka.Ningekuwa nakumbuka nakala ile ya gazeti la Mwananchi ningewawekea hapa msome wenyewe.

Ndugu yangu,haya mambo ni mazito na pia ni mengi sana na yote yana ukweli usiopingika ndani yake,inahitaji uwe jasiri wa kudadisi na kujitoa muda wako.Wachache sana wenye uwezo wa kufanya hivyo na ndio maana Ugonjwa huu wa ARVs/AIDS(sijakosea,ninamanisha kweli ARVs/AIDS na sio HIV/AIDS) hautaisha leo wala kesho.
 
kuna mambo mengi yamefichwa nyuma ya pazia....umagharib una siri kubwa na kuzijua ngumu mana media kubwa ndio wamezishika wao kusambaza propaganda zao
 
napenda sana kujibu owa facts,naomba nikulize kitu what is HIV you are basing with? hivi una habari kuwa kuna namna tunavyoweza kumpima huyu mdudu mwilini...achilia mbali mtu kushuka CD4 count lakini pia kuna kipimo ambacho kinaweza kutupa majibu kama kinga ya mwili imepanda kufuatia HIV infection only...kipimo kama BIOLINE ni more sensitive to antibodies against infections including HIV,SPYPHYILIS,skin diseases like antiphospholipid syndrome,sytemic lupus erythematous,gonnorrhea,fungal infections as well as abnormal collagenous diseases...haya magonjwa yote kama mtu atakuwa nalo moja lazima bioline itasoma positive na ili tuweze kutofautisha kuwa hiyo positive ni ugonjwa upi sasa kati ya hivo vyotr ndo tunaconfirm kwa kutumia confirmation test ambayo kwa kaswende tunatumia treponema pallidum test kwa ajili ya kudetect pallidum antigens na kwa Tb tutatumia Sputum smear kudetect Tuberculous na kwa HIV tunapima kwa kutumia UNIGOLD ,unigold ndo kipimo kinachopima exactly hizo antobodies specific kwa HIV virus only...ndo maana tunasema Unigold ni standard HIV antibody test confirmer na ni more specific to HIV antibodies tu na siyo antibodies zingine...we have a lot of antibodie specifically the IgM and IgG ambazo ndo hiwa zinaraise against co- infection yoyote ile...kwa hiyo msipotoshe wati kwa sababu ya facts ndogo za kimtandao mlizonazo ,we can answer you with conclusive data ana analysis...ingependeza zaid mkataja na carrier zenu tujue tunabishana na watu wa namna gàni...Youtube isiwe source ya kuamini sana kumbuka it is the universal social hosting site ya takataka zote....real issues are hidden ...kama mafunzo ya jeshi yangekuwa yanapatikana mtandaoni sidhani kama watu wangeenda kusomea how to invade a criminal as well as a terorist lakin siri hizo zipo jeshini..ukitaka kujua ukweli be involved to the mission itself ndo utajua how things are but do not rely on the social networks...hivi unataka kunambia siri zote za mambo ya maabara ziwe zinaanikwa wazi mitandaoni for what ..!! unafikiri kujua ukweli ni kazi rahis kama unavofikilia ww...?? wanaojua ukweli wamekaa pembeni wanawachoro kwa antifacts mlizobase tena kwa kuleta facts from Youtube...?? kama unaamini youtube kama source ya informations zako kwann hakuna taarifa juu ya namna dawa zinavotengenezwa na ukiangalia kweli ukipata malaria unakunywa dawa na unapona kwann namna ya dawa zinazovotengenezwa haiwekwi youtube...are you seriuz men...?? yo re not seriuz at ol..you real base with informations from the social network ..?? real..hata kama najua social network ndo inaturahisishia info but ukae ukijua facebook,youtube,googgle and others zinahost only 4% of all the relity issues..na the 96% of all the truths watu wanapata from their respective field of study and from highky hidden sites,,unataka kusema kama mtu anahitaji kumjua HIV virus structure utamshauri akasome youtube..?? are you seriuz men..?? ndo mana kuna sehemu zake unapopata ukweli huo...lastly ,am very sory to tell you that ,few people have to know the truth so as to master others sasa its your time now to choose where to belong..kazana na youtube wakati youtube ishakuwa dample miaka 20 iliyopita...kwa taarifa yako labsa nikuambie ukweli ni kwamba magrup ya watu wenye kuujua ukweli wa kitu huunda forum maalumu ambazo lebgo linakuqa kupeana taarifa kipindi wanafanya mambo yao..unakuta watu wengine wapo canada,wwngine israel wwngine USA ,wengine Rusia and so fourth saaa wanaunda faorum kupeana taarifa na siri za mambo yao ambayo inakuwa kama grup la watsup...wakimaliza wanajitoa afu wanamua kulishare kwenye community hakafu mnadanganywa kuwa kuna uvumbuzi wa social network hosting site kumbe watu wameamua kulishare na kulibadilishia kazi huku wao washahama kitambo kwenye forum yenye mfumo mwingine...hii watsup unayotumia sasa hivi imeshatumika kwenye secret families and societies 20 years ago and wanaleft to those who study computer issues in relation to Information technlogy wanamodify na kuzihost socially through common network...kwenye kampuni ya microsoft ina vijana Ma IT wengi sana ambao kazi yao kubwa ni kupewa used site na kuzimodify na kuzihost playstore halafu wew unapload na kutumia ....lastly use much your silence to think more on how the world moves ...its true kuwa yajayo yanafurahisha lakini mimi nasema siyo yajayo tena coz we have yo dance with the tune of reality though its reality remain entangled.....kwa hiyo usipotoshe watu juu ya facts za kimtandao...kuhusu HIV virus kuna familia inayoitwa Rockerfeller ipo marekani na hiyo imejenga Underground laboratories huko Antactica bara ambalo tunaambiwa hakuna binadamu anayendaga kule but its not true...ni siri kubwa snaa..kule ndo wanaandaa hao active and inctive virus pamoja na live and attenuated vaccines kwa ajili ya human innoculation...virus wanaoandaliwa kule ni siri nzito....jifunze kugid inform under cover ndo mjue mengi siyo mnakuja na information za youtube ambazo youtube ishakuwa 2 generation information site hosting wakati watu wapo kwenye 6 generation information site hosting....natumia simu kuandika kama kuna sehemu kuna error ujue ni shida kutype but the messege is got to you..
To Chisaye

Hapa tunauelimisha uma
Hebu msome.
lifecoded
hapo nilipo mnukuu.

Afya ni kitu sensitive sana kwa maisha ya watu.

Hatuwezi kusikiliza maneno yako halafu tufanye hitimisho.
Kila dawa za kutibu maradhi zina madhala fulani kwenye afya ya binadamu.
Lakini hayo madhara yana nafuu kuliko ugonjwa wenyewe, ndio maana zimethibitishwa na taasisi za afya kuendelea kutumika.
 
Tusipokuwa makini Afrika kufikia 2040 Waafrika wote tutakuwa tunakula ARV wazungu wajinga tu ukiwajua...wanalazimisha serikali za kiafrika zitunge Sheria kupima ukimwi iwe lazima....si ajabu hii...
 
Na sasa hivi hapa bongo kuna hivi vihospitali mshenzi vya serikali hata ukimpeleka nduguyo kutibiwa wanalazimisha ukapime HIV, bila kupimwa nduguyo hatibiwi, huu ni ujinga sana wa manesi wa kiafrika.
 
Nina maswali nahitaji majibu kwa wanaopinga na wanaokubaliana na uwepo wa ugonjwa huu nimejaribu kufuatilia mjadala huu kwa kina mpaka ulipofikia.

1) Madaktari wanawezaje kutofautisha mgonjwa wa T.B na muathirika wa HIV maana kama ni mgonjwa wa TB ni imani yangu hizo antibodies lazima zizalishwe. Kuna uthibitisho wa kutosha wapo wagonjwa wa TB lakini sio waathirika wa HIV ni vigezo vipi wanatumia kuwatenga hawa wagonjwa?

2) Kama ugonjwa huu hauambukizwi na wanapima hizo antibodies inakuaje kwa watoto wanazaliwa na kuambukizwa HIV iwe kipindi cha kuzaliwa au baada ya kuzaliwa (maambukizikutoka kwa mama kwenda kwa mtoto) maana yake mara baada ya maambukizi ( kama kweli yapo) hizo antibodies zinaanza kujizalisha? Au kuna kitu gani kinaendelea hapo?

Ningependa kupata majibu kutoka pande zote mbili kwa ulewa zaidi juu ya suala hili tata.

Nawasilisha

.Uongo wenyewe uko hivi;"Inasemekana kuna watoto wanaozaliwa na maambukizi ya VVU/HIV".Ni maambukizi ya HIV na si maambukizi ya ukimwi.Sasa kuwa makini hapa upate elimu,na kama unamfahamu daktari yeyote unayemwamini nenda kamuulize haya ninasema hapa halafu msikilize atakujibu vipi;
Ukisoma reply zangu za nyuma utaona nasema kwamba HIV hasababishi ukimwi kama watu walivyodanganywa hivyo hata kama mtu akipimwa HIV+ sio ishu,ni ulimbukeni tu wa kukosa elimu.Utaona pia kwamba vipimo vyenyewe vya HIV ni feki na wameweka trick ya kisayansi ili vilete majibu wanayoyataka,hivyo mtu yeyote yule anaweza kupimwa HIV+ bila kujali kama yeye ni bikira, aliwahi kupata maambukizi au la,haijalishi,unaweza kuwa HIV+.Hivi wametumia akili nyingi sana kutudanganya kuanzia kwenye historia ya HIV,Hypothesis yake(yaani HIV anasababisha ukimwi),Vipimo vyake na dawa zake zinazotumika yaani ARVs,vyote hivi ni feki.

Sasa tuje kwenye swali la msingi;
Wenyewe wanasema hivi;Mtoto anayezaliwa kutoka kwa mama mwenye HIV ana uwezekano wa kupata HIV kwa 25% tu kama mama yake atakuwa hatumii ARVs,na ana uwezekano wa kupata HIV kwa 2% kama mama yake atatumia ARVs.Kuna watu humu wana akili za kupinga tu najua watapinga na hili pia,kabla ya kupinga angalia link hapo chini.Hizi ni data kutoka CDC marekani.Hawa jamaa wa CDC ndio walioanzisha ile slogan ya "ONE TEST TWO LIVES",hawa ndio wazee wa slogan za HIV/AIDS,slogan zote tunazozisikia zinaanzishwa na hawa jamaa ili kuturubuni akili.Hata sheria ya kupima mama wajawazito HIV kwa lazima hapa kwetu imeanzishwa na hawa jamaa.Nauliza swali "Eti hawa jamaa watakuwa wanatupenda eeenh,yaani wanatupenda mpaka wanatulazimisha kupima!!!,yaani wana upendo na sisi kuliko tunavyojipenda wenyewe"
Soma link hapo chini;
OTTL | Campaigns | Act Against AIDS | CDC

Mtoto kama mtu mwingine yeyote yule kama akipimwa HIV,narudia,kama akipimwa HIV kwa kutumia vipimo hivi ambavyo wameweka trick zao za kisayansi,ana uwezekano wa kumkuta na HIV.Lakini uwezekano huu hajalishi kama mama yake ana HIV au la.Narudia,mtoto kupimwa HIV+ hakujalishi kama mama yake ni HIV+ au la,sasa wewe mwenyewe unaweza kujiuliza kwa nini mtoto awe HIV+ wakati mama yake ni HIV-?Hizo case zipo nyingi tu.

Kama nikiambiwa nitoe uthibitisho,sitatumia data za zamani,nitaanza kufanya vipimo upya vya watoto wapya waliozaliwa kutoka kwa mama zao ambao ni HIV-.Lazima nitapata watoto ambao ni HIV+.Nadhani hapa utakuwa unanielewa nikisema kwamba kwa mtu kuwa HIV+ sio ishu,ni suala la sayansi ya vipimo tu na si uhalisia,na pia HIV huyo wanayemnadi hasababishi ukimwi kama wanavyosema,hivyo pia mtu kuwa HIV+ tena sio ishu.Mtu anadhoofu kwa matatizo halisi ambayo yapo kweli kiuhalisia na ukimpa tiba husika anapona kabisa.Ila mbaya zaidi ukimpa ARVs,ni suala la muda tu mtu huyu lazima afe kwa matatizo yafuatayo;
1.Ugonjwa wa moyo
2.Ini
3.Figo
4.Cancer yoyote
5.Upungufu wa damu

Kama huamini,fanya utafiti wako mwenyewe kwa watu waliozidiwa/wanaoumwa sana wanaotumia ARVs.Ukimaliza tafiti rudi tena hapa.

Kuna kina mama wamepimwa HIV+ na hawatumii ARVs na wanazaa watoto ambao hawana huyo HIV.Case hizi zipo nyingi mno.Hawawezi kuelezea kwa nini haya hutokea pia.Wanajifanya kuangalia upande mmoja tu.Kwa jinsi mtoto anavyokaa tumboni na anavyopata chakula kwa diffusion kutoka kwa mama yake na mambo mengine lukuki,bado mtoto anatoka hana maambukizi hata kama mama yake ni HIV+.Hili swali ushawahi kujiuliza?
Unajua hawa jamaa elimu wanayoingiza kwenye vichwa vyetu kupitia vyombo vya habari inafanya ubongo wetu ujiulize maswali fulani tu na si maswali ya aina nyingine,kwa kifupi tunasema wametu 'brain wash'.

Sasa ngoja nikwambie kwa nini wanalazimisha mama wajawazito ambao ni HIV+ watumie ARVs;
Jibu ni kwamba,wanajua sisi tutakuwa na mashaka sana endapo mama mwenye HIV atazaa mtoto asiye na HIV kwa kuwa hilo si jambo la kawaida,ofcourse,sio la kawaida na ndio uhalisia ulivyo kwamba case hizo zipo nyingi sana.
Sasa kama mama atatumia ARVs halafu atazaa mtoto ambaye hana HIV akili zetu zitakuwa tuned kwamba ARVs ndizo zimemuokoa mtoto,lakini ukweli ni kwamba hata mama asipotumia ARVs chance ni ileile.Chance ya mtoto kuwa HIV+ haichangiwi na mama kutumia au kutotumia ARVs bali huchangiwa na vipimo vya HIV.Fanya utafiti utajua tu.
 
Ukisoma post zangu vizuri utanielewa tu.Nina maana hiyohiyo kwamba ARVs ndio husababisha vifo kwa wale wanaozitumia.Nifuatilie kwenye post zangu utanielewa tu mkuu.Watu husema,"mbona mtu anaumwa kabisa lakini akianza kutumia ARVs anakuwa safi".Wanaosema hivi bado hawajui ukweli,ngoja nikupe mfano;

Mara nyingi mtu aliyedhoofika halafu akakutwa na huyu HIV feki lazima atakuwa na ugonjwa maalum unaofahamika mfano TB.Mgonjwa huyu watampa ARVs pamoja na dawa za TB.Bila shaka atapona TB ataanza kunenepa huku watu wakijua kwamba ARVs ndizo zimemponya.Baada ya muda mrefu sana mtu huyu ataanza kuonesha dalili nyingine hata kama hana TB,kama vile nywele kuwa dhaifu,kupungua kilo/uzito,ngozi kuwa dhaifu au kutoka vipele,cancer,upungufu wa damu,ugonjwa wa ini,figo kushindwa kufanya kazi vizuri na hatimaye miguu kuvimba sehemu ya chini,tumbo kujaa,matatizo ya moyo nk.
Je,ushawahi kujiuliza kama mtu hana TB,hana malaria,hana typhoid nk,Je,magonjwa niliyotaja hapo juu yanasababishwa na nini?Kama yanasababishwa na HIV,Je,anasababishaje magonjwa haya?

1.HIV anasababishaje ugonjwa wa moyo?
2.HIV anasababishaje nywele kuwa dhaifu?
3.HIV anasababishaje kupungua kwa uzito?
4.HIV anasababishaje udhaifu wa ngozi na vipele/vidonda?
5.HIV anasababishaje cancer?
6.HIV anasababishaje upungufu wa damu?
7.HIV anasababishaje ini kushindwa kufanya kazi?
8.HIV anasababishaje figo kushindwa kufanya kazi?

Waliotudanganya hawawezi kuelezea ni kwa vipi HIV anaweza kusababisha matatizo ya hapo juu.Mimi nitakuelezea;

ARVs zinasababisha lactic acidosis kwenye damu hivyo damu inakuwa na tindikali/acid nyingi.Daktari yeyote yule hawezi kupinga maelezo haya,kama yupo aje hapa kupinga.

Sasa basi,damu inapokuwa na acid mwili unakumbwa na kila aina ya tatizo kwa kuwa damu haikuumbwa iwe na acid bali imeumbwa iwe na alkali/nyongo na kiwango thabiti cha nyongo kwenye damu kinatakiwa kiwe ni pH=7.365,kikiwa chini ya 7.3 tu matatizo yanaanza.

Nakupa faida hapa;Fuatilia wagonjwa wote wa cancer iwe ocean road au kokote kule,lazima pH ya damu zao iwe chini ya 7.365,lazima.Fahamu pia sumu yoyote ni acid by nature,hivyo acid kwenye damu maana yake ni sumu kwenye damu.Seli zote za damu zinazungukwa na acid,seli zikizungukwa na acid haziwezi kupumua kwa kuwa kwenye acid hamna oxygen ya kutosha,Je,unafahamu kitu kinachoitwa oxygen debt kwenye biology kinatokeaje?

Rahisi sana,ni muscles zinajaa lactic acid baada ya kufanya mazoezi kwa muda na hizo mtu hujisikia maumivu kesho yake anapoamka.Hii inatokea kwa kuwa seli zinakosa oxygen ya kutosha,baada ya muda damu inajibalance yenyewe na maumivu huondoka yenyewe.

Kama damu ina pH chini ya 7.365,ini,figo,moyo vyote haviwezi kufanya kazi vizuri.Mwili unapoteza madini kama vile calcium na magnesium ambayo ndio muhimu kwa contraction na relaxation ya heart muscles.Pia kupotea kwa calcium kunafanya mifupa iwe dhaifu na kuvunjika kwa urahisi.

Seli ni rahisi kuwa mutated au kufa na hii husababisha cancer na matatizo kama vile vipele kwenye ngozi au ngozi kuwa dhaifu.Kisukari pia hapa ni mahali pake.Bone marrow pia huathirika sana na acid hii hivyo hushindwa kuzalisha damu vizuri,na ndio maana huwa unasikia wagonjwa waliobobea kwenye matumizi ya ARVs huwa wanabadilisha damu mara kwa mara.

Ndugu yangu sayansi hii ni pana naweza kuandika kitabu,niishie hapa.Ili kuthibitisha kwamba ARVs zinasababisha lactic acidosis hebu ingia kwenye website hii ya wamarekani wenyewe ujisomee,sio mimi,hii ni ya wamarekani wenyewe,unaweza kujionea picha ya mwewe chini ya hiyo web ni ishara kwamba hiyo ni ya wamarekani.

Ingia kwenye web,soma sehemu ya WARNING;Wenyewe wanakwambia husababisha serious LIFE THREATENING side effects.

Tenofovir Disoproxil Fumarate (Viread) | Patient Version | AIDSinfo
Inajulikana wazi kwamba ARV's ni dawa za 'Chemotherapy' ambazo zilitengenezwa kwa ajili ya kutibu cancer hapo awali, lakini zilipofeli ndio wakazivadilisha matumizi kuwa ARV's. Dawa hizi ni 'sumu' kali ambayo ilikuwa zinatazamiwa kwamba mgonjwa anaweza akapewa kwa siku 14 mfano, huku wakisali kwamba seli za saratani zitakufa kabla mgonjwa hajafa, sasa imagine mtu unazitumia maisha yako yote, lazima ufe.
 
Mimi sio Daktari naandika kama mchangiaji.

We zingatia tu maoni niliyowashauri.

Andaeni mada za wazo lenu hili na mliwasilishe kwenye mhadhala wa wataalamu waliobobea katika fani ya Afya ili muweze kuhojiwa kitaalamu.
Hii ni kwa faida yenu na ya sisi sote,
yaani mfanye Open Presentantion.

Pili ombeni mjidunge sindano yenye damu ya muathirika wa ukimwi ili mjifanyie utafiti ninyi wenyewe wenye uhakika zaidi kwenu.

Ndivyo nilivyo washauri.

Kuja kuusemea huku kwenye mitandao ambapo kuna watu wenye uwezo tofauti wa kudadisi na kuchukua hatua za tahadhari mnaweza kupotosha watu.

Au mnataka tuwaamini hukuhuku kwenye mitandao na tuanze kufanya ngono bila kinga ?
Tuanze kujiachia tu kwa hayo maneno yenu ya kwenye Jamii Forum ?

Tuambieni
Nani kakwambia usitumie kondomu, hivi unaelewa unachoongea???

Kondomu zilikuwepo kabla ya huyo HIV kugundulika kwa minajili ya njia ya uzazi wa mpango na kuzuia magonjwa ya ngono kama kaswende. Acha kuja ni simple facts kutetea hoja.

Ulisema umesoma vitabu zaidi ya 20 kuhusu suala huli ila mpaka sasa hujaweza kujibu swali langu kuwa naomba unioneshe real picha ya hicho kirusi kama kinavyoonekana kwa Microscope.
 
Naomba majibu ya hiki,

* nimeona mahala wanasema HIV ni virus asiyeweza sababisha AIDS, na kwamba si kweli HIV inaleta umauti na kwamba HIV virus ni kama aina nyingine ya virus zinazo muattack binadamu na hudhibitiwa na kinga ya mwili au kwa kutibu ugonjwa husika uliojitokeza

*imeonekana pia ARV (dawa) ndizo hupelekea mtu kupata AIDS kwakuwa baada ya vipimo tu mtu ushauriwa kuanza kuzitumia dawa hizo na ivyo kuwa kama adiction ambaozo husababisha;-
Mkuumwa inni
kuumwa figo
ugonjwa wa moyo na n.k

Lakini pia kwamujibu wa maelezo husika nikajifumza kuwa Kukonda kwa mtu na kukooa ama kuharisha kama dalili za hiv/aids si kweli bali ni TB

sasa

Kwa uzoefu wangu niliwai kuwa na mgonjwa aliyegundulika kuwa na HIV, kabla ya kupimwa alianza tumbo linamuuuma, kama miezi miwili hivi then ikawa kuharisha na tumbo then ikawa kukohoa na kukonda sana, alipo pimwa wakasema ana HIV na kinga ya mwili imeshuka kwa Maana sasa ana AIDS. Na akaanza ARV.

Alibadirika akaongezeka mwili, akapona kukohoa, tumbo likaacha lakini akawa anatatizo la upungufu wa damu mara nyingi kwa ufupi afya kama ili imarika!!!

Swali,
Je kwa maelezo hayo hapo juu Mgonjwa huyu hakupaswa kutumia ARV bali alipaswa kutumia dawa za tumbo na TB na kula matunda chakula (mlokamili) na kupumzika tu???

Je inamaana mgonjwa huyu akupaswa kupima kipimo hiko cha HIV ili asidhurike ki saikolojia kuwa ana ukimwi???


Mwisho

Mgonjwa wangu alisha fariki na alikufa ghafla usingizini kwa seres ya kubadilika rangi na kuwa wa njano ikimaanishwa alipata homa ya manjano miaka miwili baada ya kutumia ARV
Kubadilika rangi na kuwa wa njano ni kwa sababu ini lilifeli, na ini likifeli unabadilika na kuwa wa njano, na ini hufeli sababu ya sumu, unajua sumu yenyewe aliyokuwa anakunywa ni ipi? Unataka nikutajie jina? Fanya research, mtu akiwa wa njano maana yake nini kimefeli?
 
Dawa hizi zinaitwa PEP(Post/Pre exposure prophylaxis ),mojawapo ya dawa hizi ni truvada.Fahamu kwamba mkuu wa Centre for infectious disease control(CDC) mshenzi Antonio Faucci anataka dawa hizi ziwe zinatumika kila siku watu wanapotaka kujamiiana.Kuna jambo hapa muhimu,lakini refu kidogo ngoja nilipotezee.
Wanatudanganya kwamba ukimeza dawa hizi ndani ya masaa 72 zinakukinga dhidi ya maambukizi ya HIV.Mkuu hapa tunarudi kwenye concept ileile ya kuwapa mama wenye mimba ARVs ili kuzuia watoto wao wasipate maambukizi.Wanajua kwamba mtu anaweza kufanya ngono bila kinga na mtu mwenye HIV zaidi ya mara 200 na asipimwe HIV+,hizi wanatumia mwanya huu kurubuni akili zetu ili ukimeza dawa hizo halafu ukipimwa HIV- ushangilie kwamba dawa hizo ndio zime kusevu/kukuokoa na kwenye ubongo wako utajenga imani hiyo na hamna mtu atakayeweza kubadili imani yako hiyo.Kumbe HIV huyu feki kamwe haambukizwi kwa njia ya ngono kama tulivyodanganywa.
Lengo lao lingine ni lilelile maalum la kuuza dawa za ARVs.Na ndio maana Antonio Faucci anafanya kampeni ili dawa hizi ziwe zinatumika kila mara watu wanapotaka kufanya ngono zembe.Ila nimemsikia daktari mmoja hapa kwetu akipingana na maelezo hayo ya Antonio Faucci kwamba yeye, huyu daktari wa bongo hakubaliani na hilo kwa kuwa dawa hizi zinapotumika muda mrefu zina madhara hatari mwilini,nilifarijika sana kusikia anasema hivyo kwa kuwa sasa watanzania tunaanza kufunguka.Ningekuwa nakumbuka nakala ile ya gazeti la Mwananchi ningewawekea hapa msome wenyewe.

Ndugu yangu,haya mambo ni mazito na pia ni mengi sana na yote yana ukweli usiopingika ndani yake,inahitaji uwe jasiri wa kudadisi na kujitoa muda wako.Wachache sana wenye uwezo wa kufanya hivyo na ndio maana Ugonjwa huu wa ARVs/AIDS(sijakosea,ninamanisha kweli ARVs/AIDS na sio HIV/AIDS) hautaisha leo wala kesho.
Comment yako ya awali ulieleza mambo mazuri sana ambayo wengi walikuwa hawana uelewa nayo lakini comment yako hii ya pili nadhani siwezi kukusapoti kabisa hasa hasa kuhusu PEP na dawa za ARVs na hayo maneno ya huyo daktari wako wa kitanzania pia kuhusu wakina mama wajawazito kumeza ARV katika program ya PMTCT yaani Prevention Mother To Child Transmission hiyo huduma imewasaidia sana watoto wanaozaliwa kutopata maambukizi ya HIV kwa zaidi asilimia 96 yaani wakina mama 100 wenye maambukizi ya HIV ni ni 4 tu ambao wanaweza kuambikiza watoto na 96 hawapati maambukizi wakati huko nyuma maambukizi yalikuwa juu sana sasa unaposema ugonjwa hewa na huduma hewa hata sikuelewi kabisa.
 
.Uongo wenyewe uko hivi;"Inasemekana kuna watoto wanaozaliwa na maambukizi ya VVU/HIV".Ni maambukizi ya HIV na si maambukizi ya ukimwi.Sasa kuwa makini hapa upate elimu,na kama unamfahamu daktari yeyote unayemwamini nenda kamuulize haya ninasema hapa halafu msikilize atakujibu vipi;
Ukisoma reply zangu za nyuma utaona nasema kwamba HIV hasababishi ukimwi kama watu walivyodanganywa hivyo hata kama mtu akipimwa HIV+ sio ishu,ni ulimbukeni tu wa kukosa elimu.Utaona pia kwamba vipimo vyenyewe vya HIV ni feki na wameweka trick ya kisayansi ili vilete majibu wanayoyataka,hivyo mtu yeyote yule anaweza kupimwa HIV+ bila kujali kama yeye ni bikira, aliwahi kupata maambukizi au la,haijalishi,unaweza kuwa HIV+.Hivi wametumia akili nyingi sana kutudanganya kuanzia kwenye historia ya HIV,Hypothesis yake(yaani HIV anasababisha ukimwi),Vipimo vyake na dawa zake zinazotumika yaani ARVs,vyote hivi ni feki.

Sasa tuje kwenye swali la msingi;
Wenyewe wanasema hivi;Mtoto anayezaliwa kutoka kwa mama mwenye HIV ana uwezekano wa kupata HIV kwa 25% tu kama mama yake atakuwa hatumii ARVs,na ana uwezekano wa kupata HIV kwa 2% kama mama yake atatumia ARVs.Kuna watu humu wana akili za kupinga tu najua watapinga na hili pia,kabla ya kupinga angalia link hapo chini.Hizi ni data kutoka CDC marekani.Hawa jamaa wa CDC ndio walioanzisha ile slogan ya "ONE TEST TWO LIVES",hawa ndio wazee wa slogan za HIV/AIDS,slogan zote tunazozisikia zinaanzishwa na hawa jamaa ili kuturubuni akili.Hata sheria ya kupima mama wajawazito HIV kwa lazima hapa kwetu imeanzishwa na hawa jamaa.Nauliza swali "Eti hawa jamaa watakuwa wanatupenda eeenh,yaani wanatupenda mpaka wanatulazimisha kupima!!!,yaani wana upendo na sisi kuliko tunavyojipenda wenyewe"
Soma link hapo chini;
OTTL | Campaigns | Act Against AIDS | CDC

Mtoto kama mtu mwingine yeyote yule kama akipimwa HIV,narudia,kama akipimwa HIV kwa kutumia vipimo hivi ambavyo wameweka trick zao za kisayansi,ana uwezekano wa kumkuta na HIV.Lakini uwezekano huu hajalishi kama mama yake ana HIV au la.Narudia,mtoto kupimwa HIV+ hakujalishi kama mama yake ni HIV+ au la,sasa wewe mwenyewe unaweza kujiuliza kwa nini mtoto awe HIV+ wakati mama yake ni HIV-?Hizo case zipo nyingi tu.

Kama nikiambiwa nitoe uthibitisho,sitatumia data za zamani,nitaanza kufanya vipimo upya vya watoto wapya waliozaliwa kutoka kwa mama zao ambao ni HIV-.Lazima nitapata watoto ambao ni HIV+.Nadhani hapa utakuwa unanielewa nikisema kwamba kwa mtu kuwa HIV+ sio ishu,ni suala la sayansi ya vipimo tu na si uhalisia,na pia HIV huyo wanayemnadi hasababishi ukimwi kama wanavyosema,hivyo pia mtu kuwa HIV+ tena sio ishu.Mtu anadhoofu kwa matatizo halisi ambayo yapo kweli kiuhalisia na ukimpa tiba husika anapona kabisa.Ila mbaya zaidi ukimpa ARVs,ni suala la muda tu mtu huyu lazima afe kwa matatizo yafuatayo;
1.Ugonjwa wa moyo
2.Ini
3.Figo
4.Cancer yoyote
5.Upungufu wa damu

Kama huamini,fanya utafiti wako mwenyewe kwa watu waliozidiwa/wanaoumwa sana wanaotumia ARVs.Ukimaliza tafiti rudi tena hapa.

Kuna kina mama wamepimwa HIV+ na hawatumii ARVs na wanazaa watoto ambao hawana huyo HIV.Case hizi zipo nyingi mno.Hawawezi kuelezea kwa nini haya hutokea pia.Wanajifanya kuangalia upande mmoja tu.Kwa jinsi mtoto anavyokaa tumboni na anavyopata chakula kwa diffusion kutoka kwa mama yake na mambo mengine lukuki,bado mtoto anatoka hana maambukizi hata kama mama yake ni HIV+.Hili swali ushawahi kujiuliza?
Unajua hawa jamaa elimu wanayoingiza kwenye vichwa vyetu kupitia vyombo vya habari inafanya ubongo wetu ujiulize maswali fulani tu na si maswali ya aina nyingine,kwa kifupi tunasema wametu 'brain wash'.

Sasa ngoja nikwambie kwa nini wanalazimisha mama wajawazito ambao ni HIV+ watumie ARVs;
Jibu ni kwamba,wanajua sisi tutakuwa na mashaka sana endapo mama mwenye HIV atazaa mtoto asiye na HIV kwa kuwa hilo si jambo la kawaida,ofcourse,sio la kawaida na ndio uhalisia ulivyo kwamba case hizo zipo nyingi sana.
Sasa kama mama atatumia ARVs halafu atazaa mtoto ambaye hana HIV akili zetu zitakuwa tuned kwamba ARVs ndizo zimemuokoa mtoto,lakini ukweli ni kwamba hata mama asipotumia ARVs chance ni ileile.Chance ya mtoto kuwa HIV+ haichangiwi na mama kutumia au kutotumia ARVs bali huchangiwa na vipimo vya HIV.Fanya utafiti utajua tu.
Mkuu ningepata na jibu la swali la kwanza kama hautojali.
 
Mkuu ,maneno yako yanaendelea kuthibitisha mkanganyiko nilioueleza hapo juu.Imebaki imani tu kwenye ugonjwa huu kama zilivyo imani nyingine,lakini uhalisia haupo hapo.Tatizo hapa linakuja kwa sababu maneno haya kwamba ukimwi ni hatari yamerudiwa mara nyingi sana kwenye vichwa vya watu na hatimaye yakageuka kuwa imani ambayo imechanganyika na woga.Na hili ndio lengo lao,yaani uogope.Lakini hamna sayansi hapa kwenye ugonjwa huu.Sayansi ya kweli inapingana na kila nyanja ya ugonjwa huu feki.Hakuna kirusi kilichotengenezwa maabara hapa,hizi ni propaganda ili kukuaminisha kwamba kweli kirusi kinachosababisha ukimwi kipo wakati ukweli ni kwamba hakipo.

Maneno haya sikusema mimi,bali nimejifunza kutoka kwa madaktari wazoefu duniani wenye akili zao timamu na wengine wana nobel prizes kwa kugundua vitu mbalimbali na wamefanya tafiti za kutosha kuhusu jambo hili,hivyo jambo hili si la kubeza,ni ukweli mtupu,lakini kitu kipya kinapoingia kwenye bongo za watu huwa ni vigumu sana kupokewa na ubongo.Mimi mwenyewe nimefanya tafiti zangu binafsi kuthibitisha wanachosema madaktari hawa na nimegundua kwamba wanachosema ni kweli kwa 100%.Nina evidence za respects zote.Thabo Mbeki sio chizi,ana akili zake timamu alipopinga suala hili,hivi watu hawastuki bado?Museveni naye analijua hili,yaani raia wengi wa nchi za Afrika wamefanywa kama ng'ombe na viongozi wao.Ni viongozi werevu na wenye huruma tu na wananchi wao ndio wamethubutu kusema ukweli huu,na hao pia wamewekewa vikwazo kwa kugusa maslahi ya watu wakubwa.Hebu tuamke ndugu zangu.Kama huelewi au huamini ninachosema basi fanya tafiti mwenyewe na nina uhakika utarudi tena hapa kuni PM.Na ndio maana kapeni nyingi za mambo haya ziko Afrika zaidi kwa kuwa ndiko kuna soko kubwa na wateja wake hawana akili za kuhoji,wanajikusanyia tu mapato.Inatia huruma na hasira sana.HIV/AIDS ni biashara ya ARVs tu na si vinginevyo.

Kwa kuanzia fuatilieni link hapo chini mumsikilize Dr(sasa hivi ni Prof) Peter Duesberg;Huyu mzee hakuna wa kumfananisha naye kwenye field hii ya virusi duniani,na amepata hasara kubwa sana baada ya kusema maneno haya kwenye public.Alishindwa kuvumilia kuona watu wanakufa bila hatia.

Nakuelewa sana Chisaye, ila kinachoniuma nina ndugu wengi wanatumia ARV kwa sasa, nifanyeje sasa kuwasaidia au niachane nao tu
 
napenda sana kujibu owa facts,naomba nikulize kitu what is HIV you are basing with? hivi una habari kuwa kuna namna tunavyoweza kumpima huyu mdudu mwilini...achilia mbali mtu kushuka CD4 count lakini pia kuna kipimo ambacho kinaweza kutupa majibu kama kinga ya mwili imepanda kufuatia HIV infection only...kipimo kama BIOLINE ni more sensitive to antibodies against infections including HIV,SPYPHYILIS,skin diseases like antiphospholipid syndrome,sytemic lupus erythematous,gonnorrhea,fungal infections as well as abnormal collagenous diseases...haya magonjwa yote kama mtu atakuwa nalo moja lazima bioline itasoma positive na ili tuweze kutofautisha kuwa hiyo positive ni ugonjwa upi sasa kati ya hivo vyotr ndo tunaconfirm kwa kutumia confirmation test ambayo kwa kaswende tunatumia treponema pallidum test kwa ajili ya kudetect pallidum antigens na kwa Tb tutatumia Sputum smear kudetect Tuberculous na kwa HIV tunapima kwa kutumia UNIGOLD ,unigold ndo kipimo kinachopima exactly hizo antobodies specific kwa HIV virus only...ndo maana tunasema Unigold ni standard HIV antibody test confirmer na ni more specific to HIV antibodies tu na siyo antibodies zingine...we have a lot of antibodie specifically the IgM and IgG ambazo ndo hiwa zinaraise against co- infection yoyote ile...kwa hiyo msipotoshe wati kwa sababu ya facts ndogo za kimtandao mlizonazo ,we can answer you with conclusive data ana analysis...ingependeza zaid mkataja na carrier zenu tujue tunabishana na watu wa namna gàni...Youtube isiwe source ya kuamini sana kumbuka it is the universal social hosting site ya takataka zote....real issues are hidden ...kama mafunzo ya jeshi yangekuwa yanapatikana mtandaoni sidhani kama watu wangeenda kusomea how to invade a criminal as well as a terorist lakin siri hizo zipo jeshini..ukitaka kujua ukweli be involved to the mission itself ndo utajua how things are but do not rely on the social networks...hivi unataka kunambia siri zote za mambo ya maabara ziwe zinaanikwa wazi mitandaoni for what ..!! unafikiri kujua ukweli ni kazi rahis kama unavofikilia ww...?? wanaojua ukweli wamekaa pembeni wanawachoro kwa antifacts mlizobase tena kwa kuleta facts from Youtube...?? kama unaamini youtube kama source ya informations zako kwann hakuna taarifa juu ya namna dawa zinavotengenezwa na ukiangalia kweli ukipata malaria unakunywa dawa na unapona kwann namna ya dawa zinazovotengenezwa haiwekwi youtube...are you seriuz men...?? yo re not seriuz at ol..you real base with informations from the social network ..?? real..hata kama najua social network ndo inaturahisishia info but ukae ukijua facebook,youtube,googgle and others zinahost only 4% of all the relity issues..na the 96% of all the truths watu wanapata from their respective field of study and from highky hidden sites,,unataka kusema kama mtu anahitaji kumjua HIV virus structure utamshauri akasome youtube..?? are you seriuz men..?? ndo mana kuna sehemu zake unapopata ukweli huo...lastly ,am very sory to tell you that ,few people have to know the truth so as to master others sasa its your time now to choose where to belong..kazana na youtube wakati youtube ishakuwa dample miaka 20 iliyopita...kwa taarifa yako labsa nikuambie ukweli ni kwamba magrup ya watu wenye kuujua ukweli wa kitu huunda forum maalumu ambazo lebgo linakuqa kupeana taarifa kipindi wanafanya mambo yao..unakuta watu wengine wapo canada,wwngine israel wwngine USA ,wengine Rusia and so fourth saaa wanaunda faorum kupeana taarifa na siri za mambo yao ambayo inakuwa kama grup la watsup...wakimaliza wanajitoa afu wanamua kulishare kwenye community hakafu mnadanganywa kuwa kuna uvumbuzi wa social network hosting site kumbe watu wameamua kulishare na kulibadilishia kazi huku wao washahama kitambo kwenye forum yenye mfumo mwingine...hii watsup unayotumia sasa hivi imeshatumika kwenye secret families and societies 20 years ago and wanaleft to those who study computer issues in relation to Information technlogy wanamodify na kuzihost socially through common network...kwenye kampuni ya microsoft ina vijana Ma IT wengi sana ambao kazi yao kubwa ni kupewa used site na kuzimodify na kuzihost playstore halafu wew unapload na kutumia ....lastly use much your silence to think more on how the world moves ...its true kuwa yajayo yanafurahisha lakini mimi nasema siyo yajayo tena coz we have yo dance with the tune of reality though its reality remain entangled.....kwa hiyo usipotoshe watu juu ya facts za kimtandao...kuhusu HIV virus kuna familia inayoitwa Rockerfeller ipo marekani na hiyo imejenga Underground laboratories huko Antactica bara ambalo tunaambiwa hakuna binadamu anayendaga kule but its not true...ni siri kubwa snaa..kule ndo wanaandaa hao active and inctive virus pamoja na live and attenuated vaccines kwa ajili ya human innoculation...virus wanaoandaliwa kule ni siri nzito....jifunze kugid inform under cover ndo mjue mengi siyo mnakuja na information za youtube ambazo youtube ishakuwa 2 generation information site hosting wakati watu wapo kwenye 6 generation information site hosting....natumia simu kuandika kama kuna sehemu kuna error ujue ni shida kutype but the messege is got to you..

mkuu nakushangaa sana wewe umejuaje huko antactica kuna laboratory pasipo kutumia sources of information kama medias...kwahyo medias hazina umuhimu kwenye ulimwengu wa leo?
me nakuona huna fact na tayari ushapanic be short and clear
 
.Uongo wenyewe uko hivi;"Inasemekana kuna watoto wanaozaliwa na maambukizi ya VVU/HIV".Ni maambukizi ya HIV na si maambukizi ya ukimwi.Sasa kuwa makini hapa upate elimu,na kama unamfahamu daktari yeyote unayemwamini nenda kamuulize haya ninasema hapa halafu msikilize atakujibu vipi;
Ukisoma reply zangu za nyuma utaona nasema kwamba HIV hasababishi ukimwi kama watu walivyodanganywa hivyo hata kama mtu akipimwa HIV+ sio ishu,ni ulimbukeni tu wa kukosa elimu.Utaona pia kwamba vipimo vyenyewe vya HIV ni feki na wameweka trick ya kisayansi ili vilete majibu wanayoyataka,hivyo mtu yeyote yule anaweza kupimwa HIV+ bila kujali kama yeye ni bikira, aliwahi kupata maambukizi au la,haijalishi,unaweza kuwa HIV+.Hivi wametumia akili nyingi sana kutudanganya kuanzia kwenye historia ya HIV,Hypothesis yake(yaani HIV anasababisha ukimwi),Vipimo vyake na dawa zake zinazotumika yaani ARVs,vyote hivi ni feki.

Sasa tuje kwenye swali la msingi;
Wenyewe wanasema hivi;Mtoto anayezaliwa kutoka kwa mama mwenye HIV ana uwezekano wa kupata HIV kwa 25% tu kama mama yake atakuwa hatumii ARVs,na ana uwezekano wa kupata HIV kwa 2% kama mama yake atatumia ARVs.Kuna watu humu wana akili za kupinga tu najua watapinga na hili pia,kabla ya kupinga angalia link hapo chini.Hizi ni data kutoka CDC marekani.Hawa jamaa wa CDC ndio walioanzisha ile slogan ya "ONE TEST TWO LIVES",hawa ndio wazee wa slogan za HIV/AIDS,slogan zote tunazozisikia zinaanzishwa na hawa jamaa ili kuturubuni akili.Hata sheria ya kupima mama wajawazito HIV kwa lazima hapa kwetu imeanzishwa na hawa jamaa.Nauliza swali "Eti hawa jamaa watakuwa wanatupenda eeenh,yaani wanatupenda mpaka wanatulazimisha kupima!!!,yaani wana upendo na sisi kuliko tunavyojipenda wenyewe"
Soma link hapo chini;
OTTL | Campaigns | Act Against AIDS | CDC

Mtoto kama mtu mwingine yeyote yule kama akipimwa HIV,narudia,kama akipimwa HIV kwa kutumia vipimo hivi ambavyo wameweka trick zao za kisayansi,ana uwezekano wa kumkuta na HIV.Lakini uwezekano huu hajalishi kama mama yake ana HIV au la.Narudia,mtoto kupimwa HIV+ hakujalishi kama mama yake ni HIV+ au la,sasa wewe mwenyewe unaweza kujiuliza kwa nini mtoto awe HIV+ wakati mama yake ni HIV-?Hizo case zipo nyingi tu.

Kama nikiambiwa nitoe uthibitisho,sitatumia data za zamani,nitaanza kufanya vipimo upya vya watoto wapya waliozaliwa kutoka kwa mama zao ambao ni HIV-.Lazima nitapata watoto ambao ni HIV+.Nadhani hapa utakuwa unanielewa nikisema kwamba kwa mtu kuwa HIV+ sio ishu,ni suala la sayansi ya vipimo tu na si uhalisia,na pia HIV huyo wanayemnadi hasababishi ukimwi kama wanavyosema,hivyo pia mtu kuwa HIV+ tena sio ishu.Mtu anadhoofu kwa matatizo halisi ambayo yapo kweli kiuhalisia na ukimpa tiba husika anapona kabisa.Ila mbaya zaidi ukimpa ARVs,ni suala la muda tu mtu huyu lazima afe kwa matatizo yafuatayo;
1.Ugonjwa wa moyo
2.Ini
3.Figo
4.Cancer yoyote
5.Upungufu wa damu

Kama huamini,fanya utafiti wako mwenyewe kwa watu waliozidiwa/wanaoumwa sana wanaotumia ARVs.Ukimaliza tafiti rudi tena hapa.

Kuna kina mama wamepimwa HIV+ na hawatumii ARVs na wanazaa watoto ambao hawana huyo HIV.Case hizi zipo nyingi mno.Hawawezi kuelezea kwa nini haya hutokea pia.Wanajifanya kuangalia upande mmoja tu.Kwa jinsi mtoto anavyokaa tumboni na anavyopata chakula kwa diffusion kutoka kwa mama yake na mambo mengine lukuki,bado mtoto anatoka hana maambukizi hata kama mama yake ni HIV+.Hili swali ushawahi kujiuliza?
Unajua hawa jamaa elimu wanayoingiza kwenye vichwa vyetu kupitia vyombo vya habari inafanya ubongo wetu ujiulize maswali fulani tu na si maswali ya aina nyingine,kwa kifupi tunasema wametu 'brain wash'.

Sasa ngoja nikwambie kwa nini wanalazimisha mama wajawazito ambao ni HIV+ watumie ARVs;
Jibu ni kwamba,wanajua sisi tutakuwa na mashaka sana endapo mama mwenye HIV atazaa mtoto asiye na HIV kwa kuwa hilo si jambo la kawaida,ofcourse,sio la kawaida na ndio uhalisia ulivyo kwamba case hizo zipo nyingi sana.
Sasa kama mama atatumia ARVs halafu atazaa mtoto ambaye hana HIV akili zetu zitakuwa tuned kwamba ARVs ndizo zimemuokoa mtoto,lakini ukweli ni kwamba hata mama asipotumia ARVs chance ni ileile.Chance ya mtoto kuwa HIV+ haichangiwi na mama kutumia au kutotumia ARVs bali huchangiwa na vipimo vya HIV.Fanya utafiti utajua tu.
nimegundua kuwa unabishana mwenyew na huna facts zilizojaa ukweli wa kitu unachobase...hivi unajua utofauti kati ya HIV( VVU) ba AIDS( ukimwi) ...?? kmaa ukiweza kutofautisha kati ya hivo vitu viwiki basi huezi endelea kujiuliza kwanin kioi kinaanza na kipi kinafuata....mtu akiwa na VVU( HIV) hamanishi ana ukimwi..naomba uelewe hapo ndgu....ila ukiwa na HIV kwa muda mrefu ndo utapata Ukimwi, tutasema umepata ukimwi endapo kwanza unaidadi ya Virusi mwilini mwako lakini pia umeanza kupata magonjwa nyemelezi ambayo hayawezi yakaja kama kinga ya mwili iko juu...unapopata HIV infection means kadri HIV wanavyozaliana ndipo immunity yako inazidi kushambuliwa ( na siyo kushambuliwa tu yani HIV RNA inauwezo wa kushut down immune gene activator hence low production ya antibodies against infection) hii naongea katika molecular level sasa make naona kama huelewi.....kwa hiyo HIV akishashut down hizo genes specific for immunity activation ndo hapo tayar bacteria anayesababibsha kuhalibika kwa mapafu( TB)anaingia mwilini,bacteria wanaosababisha home kali wanaingia mwilini,yani kila aina ya takataka aingia mwilini na kusababbisha kupata grupu kubwa la dalilili nyingi na hilo grupu kubwa la dalili nyingi ndo tunaita upungufu wa kinga mwilini(ukimwi)/ AIDS.. kwa hiyo usibase kusema kuwa mtu anaweza pata HIV halafu akakosa ukimwi ndiyo nakubali make tutaita ukimwi( AIDS) pale ambapo mtu kaanza kuonesha dalili za baadhi ya mifumo mwilini kushindwa kufanya kazi kutokana na uwezo wa mwili kushindwa kufanya kazi dhidi ya wadudu nyemelezi....kupata AIDS AINATEGEMEA na HIV kushut down mapema genes foe immunity activation antibody production ndo maana utakuta wengine wana HIV bila kujijua hata zaidi ya miaka 10 ika kuna siku inalipuka hilo ongezeko la HIV na kufanya mwili upate UKIMWI...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom