Ukisoma post zangu vizuri utanielewa tu.Nina maana hiyohiyo kwamba ARVs ndio husababisha vifo kwa wale wanaozitumia.Nifuatilie kwenye post zangu utanielewa tu mkuu.Watu husema,"mbona mtu anaumwa kabisa lakini akianza kutumia ARVs anakuwa safi".Wanaosema hivi bado hawajui ukweli,ngoja nikupe mfano;
Mara nyingi mtu aliyedhoofika halafu akakutwa na huyu HIV feki lazima atakuwa na ugonjwa maalum unaofahamika mfano TB.Mgonjwa huyu watampa ARVs pamoja na dawa za TB.Bila shaka atapona TB ataanza kunenepa huku watu wakijua kwamba ARVs ndizo zimemponya.Baada ya muda mrefu sana mtu huyu ataanza kuonesha dalili nyingine hata kama hana TB,kama vile nywele kuwa dhaifu,kupungua kilo/uzito,ngozi kuwa dhaifu au kutoka vipele,cancer,upungufu wa damu,ugonjwa wa ini,figo kushindwa kufanya kazi vizuri na hatimaye miguu kuvimba sehemu ya chini,tumbo kujaa,matatizo ya moyo nk.
Je,ushawahi kujiuliza kama mtu hana TB,hana malaria,hana typhoid nk,Je,magonjwa niliyotaja hapo juu yanasababishwa na nini?Kama yanasababishwa na HIV,Je,anasababishaje magonjwa haya?
1.HIV anasababishaje ugonjwa wa moyo?
2.HIV anasababishaje nywele kuwa dhaifu?
3.HIV anasababishaje kupungua kwa uzito?
4.HIV anasababishaje udhaifu wa ngozi na vipele/vidonda?
5.HIV anasababishaje cancer?
6.HIV anasababishaje upungufu wa damu?
7.HIV anasababishaje ini kushindwa kufanya kazi?
8.HIV anasababishaje figo kushindwa kufanya kazi?
Waliotudanganya hawawezi kuelezea ni kwa vipi HIV anaweza kusababisha matatizo ya hapo juu.Mimi nitakuelezea;
ARVs zinasababisha lactic acidosis kwenye damu hivyo damu inakuwa na tindikali/acid nyingi.Daktari yeyote yule hawezi kupinga maelezo haya,kama yupo aje hapa kupinga.
Sasa basi,damu inapokuwa na acid mwili unakumbwa na kila aina ya tatizo kwa kuwa damu haikuumbwa iwe na acid bali imeumbwa iwe na alkali/nyongo na kiwango thabiti cha nyongo kwenye damu kinatakiwa kiwe ni pH=7.365,kikiwa chini ya 7.3 tu matatizo yanaanza.
Nakupa faida hapa;Fuatilia wagonjwa wote wa cancer iwe ocean road au kokote kule,lazima pH ya damu zao iwe chini ya 7.365,lazima.Fahamu pia sumu yoyote ni acid by nature,hivyo acid kwenye damu maana yake ni sumu kwenye damu.Seli zote za damu zinazungukwa na acid,seli zikizungukwa na acid haziwezi kupumua kwa kuwa kwenye acid hamna oxygen ya kutosha,Je,unafahamu kitu kinachoitwa oxygen debt kwenye biology kinatokeaje?
Rahisi sana,ni muscles zinajaa lactic acid baada ya kufanya mazoezi kwa muda na hizo mtu hujisikia maumivu kesho yake anapoamka.Hii inatokea kwa kuwa seli zinakosa oxygen ya kutosha,baada ya muda damu inajibalance yenyewe na maumivu huondoka yenyewe.
Kama damu ina pH chini ya 7.365,ini,figo,moyo vyote haviwezi kufanya kazi vizuri.Mwili unapoteza madini kama vile calcium na magnesium ambayo ndio muhimu kwa contraction na relaxation ya heart muscles.Pia kupotea kwa calcium kunafanya mifupa iwe dhaifu na kuvunjika kwa urahisi.
Seli ni rahisi kuwa mutated au kufa na hii husababisha cancer na matatizo kama vile vipele kwenye ngozi au ngozi kuwa dhaifu.Kisukari pia hapa ni mahali pake.Bone marrow pia huathirika sana na acid hii hivyo hushindwa kuzalisha damu vizuri,na ndio maana huwa unasikia wagonjwa waliobobea kwenye matumizi ya ARVs huwa wanabadilisha damu mara kwa mara.
Ndugu yangu sayansi hii ni pana naweza kuandika kitabu,niishie hapa.Ili kuthibitisha kwamba ARVs zinasababisha lactic acidosis hebu ingia kwenye website hii ya wamarekani wenyewe ujisomee,sio mimi,hii ni ya wamarekani wenyewe,unaweza kujionea picha ya mwewe chini ya hiyo web ni ishara kwamba hiyo ni ya wamarekani.
Ingia kwenye web,soma sehemu ya WARNING;Wenyewe wanakwambia husababisha serious LIFE THREATENING side effects.
Tenofovir Disoproxil Fumarate (Viread) | Patient Version | AIDSinfo