Huyu ndiye daktari aliyejichoma sindano ya UKIMWI ili kuthibitisha kuwa UKIMWI ni uongo!

Huyu ndiye daktari aliyejichoma sindano ya UKIMWI ili kuthibitisha kuwa UKIMWI ni uongo!

Status
Not open for further replies.
mkuu nimekufuatilia sana ila nimegundua kuwa ni mtu unayependa kufuatilia vitu na hiki ndo kitu pekee kbsaa kinachompa mwanadamu free mind out of the hidden truth...lakini naomba nikupe elimu kidogo juu ya ulichobase kuwa kinachomua mtu siyo HIV/ AIDS make kinachomuua mtu ni T.b ,cancer i dont know and so fourth...but naomba nikulize kitu..unahisi wagonjwa wote wanaopimwa na kukutwa na HIV ni lazima walikuwa na TB,?? au mtu yoyote anayepimwa HIV tayari alikuwa na pre existing other diseases..?? unafaham kuwa mtu akipata HIV hudhoofika kinga ya mwili na ndo mana virus kapewa jina hilo likimaainosha Human Immunodeficiency Virus( HIV),manake nini..ukimpata kirusi huyu atashambulia CD4 cells ambazo ndo zinaactivate immunity ya mwili..cd4 ni kmaa sensor wa kuamsha mwili uzalishe kinga ya mwili..kwa hiyo zikipungua mwili nao unashindwa kusense na kushindwa kuzalisha kinga ya mwili... sibase sana kukubali au kukupinga but nataka utambue kuwa kuna magonjwa ambayo hayana uwezo wa kuja mwilini kama kinga yako iko imara,TB unayoizungumza ww inakuja endapo mwili utapata upungufu wa kinga,fungal pia huja mwilini kama kinga imepungua,ukiachilia hiyo kitu ,cancer inakuja kivingine kabsaa haina uhusiano na kinga ya mwili...cancer inacheza na abnormal proliferation ya cell na inaweza pia ikatokea kwa mtu mwenye upungufu wa kinga... nitaeleza kidgo inakuwaje mtu anayetumia ARVs akiacha anaweza poteza maisha kwa haraka zaidi...ni hivii..unapogundulika kuwa una HIV mwilini mwako na ukaanza kutumia dawa means kwamba dawa zitapunguza uwezo wa kirusi kuzaliana kwnye mwili wako na zinamfanya vizuri aundergo domant situtaion ya kusizi kidgo lakini kumbuka yule virus ana DNA ambayo kazi yake ni kusense kama kuna decrese in molecular structure ya ARVs kwwnye damu..ikipungua tu kiwango cha dawa kwwnye damu basi virus anaibuka na kufanya a milion repeated multiplication na kufanya titre value yake kuwa kubwa kiwango cha kushindwa hata kinga ya mwili iliyopo na mtu hufariki muda mfupi sana ...kitu kingine kinachomua mtu wa HIV bada ya kuacha kunywa dawa ni IRIS( Immune reconstitution inflammatory syndrome (IRIS) (also known as immune recovery syndrome) ..hii hali hutokea kwa mgonjwa wa HIV anayetumia ARVs kwa muda flani ambapo kinga yake ya mwili huaza kurejea na kuanza kugundua baadhi ya magonjwa nyemelezi kama T.B ,ambayo mwanzoni mwili ulikuwa umeshindwa kuyagundua kwa kushindwa kutengeneza kinga dhidi yake kwa hiyo mwili unarudi kwa kasi kupingana na hali hiyo lakini kurudi kule kwa kas huambatana na kuvimba kwenye ubongo na homa kali kali snaa ambazo humfanya mtu apoteze maisha...ni kama vile mtoto mdgo anapokuwa anagombana na mtu mzima pale anakuwa anachezea vitasa bila kupinga lakini akitokea mtu mwingine akampa kichwa na kumtia moyo kuwa unaweza pigana na kweli dogo akajikuta anapata nguvu na kumpiga ngumi moja ya uso yulr jamaa manake yule jamaaa atapata hasira sana hata kama atakuwa alikuwa anampiga kidgo kidgo dogo sasa pale atamzibua moja tu na dgo atakufa kabsaa..ndo inavyotokea kwenye IRIS kwa mtu mwenye HIV on ARVs ....kwa hiyo usiseme kuwa HIV haipo ,it ia there kwa sababu kuna tafiti zimefanyoka juu ya baaadhi ya ARVs japo sio zote zipo salama kwa mfano kuna dawa moja inaitwa Pep ( pre exposal prophylaxis) ambayo anapewa daktari aliyejichoma sindano kwa bahati mbaya akiwa anamfanyia upasuaji mgonjwa yoyote mwenye HIV/AIDS ili asipate maambukizi na ile dawa wanapewa pia watu waliobakwa ili kuzuia maambukizi kama mtu alikuwa haeleweki sero status yake..kwa hiyo imefanyika study kubwa sana ya kufuatilia follow up kwa watumiaji wa dawa ile na kuona wapo salama kabsaa kama walitumia dozi kwa muda mwafaka na kwa dozi sahihi..leo hii tungetegemea kuona madaktari na manesi ndo wakiongoza kwa kuwa na HIV make kujichoma wao ni jambo la kawaida ila huwa wanawahi fasta kuanza kutumia PEP ndani ya masaaa 72 ,waliopotezea kunywa dawa hiyo soon after kujiplick idad ndgo sanaa imeonesha kuwa aaliadvance into HIV infection..sasa huoni kuwa kuna coincidence juu ya hiyo kitu....ni kweli kuna umanzi kibao juu ya kuwepo kwa ugonjwa huu but none of the rumanzi imeweka sawia ukweli...ukweli ni kwamba hata Wizara ya afya wanapata kibali cha kugawa dawa tu lakini ukweli unabaki kuwa ni siri lakini tujr kwenye point of posirivity kuwa kama Pep imesave maisha ya kuwa exposed to HIV what is its differece from the other ARVs ambazo watu wanaclaim kuwa ndo zinazoua..? point of contradiction here...but
Umeeleza vizuri sana na mwenye akili na aelewe....ila nakuomba nikuongee hapo kwenye PEP....Hiyo ni Post Exposure Prophylaxis na si Pre Exposure Prophylaxis (Pre EP) hii ya pili ndo ile anapewa mtu kabla hajafanya tendo linaweza kuwa ktk hatari ya kupata maambukizi kwa mfano sex workers yaani madada powa au wauza miili yao kingono
 
Hata mafua ni kirusi sio bakteria ajabu watu hawaogopi mafua lakini wakisikia kirusi cha ukimwi wanaruka kama wameona chatu.
 
Chisaye.
Acha kupotosha watu.
Maoni yako unayathibitisha kwa utafiti wa Madaktari wachache sana ukilinganisha na maoni ya Madaktari wengi ambao wanathibitisha kuwa kirusi cha HIV kipo.
Huyo Tabu Mbeki na Museveni sio Madaktari, hawawezi kuaminika.
Wewe mwenyewe hujatueleza kama una taaluma ya udaktari au la, na umefuzu kwa kiwango gani ili angalao uweze kusikilizwa.

Unachotakiwa kufanya.

1. Andaa mada kuhusu wazo lako, halafu na anza kulitolea Presentation katika hatua za kiafya za kikanda na hata kitaifa ili wataalamu wa afya waliobobea wakusikilize na kukudadisi.

1. Wakati unaendelea na mchakato huo, nenda hospitari waambie Madaktari wakuchome damu ya mwathirika wa Ukimwi ili uweze kuuendeleza utafiti wako huo, maana utakapo jitibu hayo magonjwa nyemelezi na kupona Ukimwi basi utauthibitishia umma vizuri kwa ushahidi wako wewe mwenyewe.

Kwa sasa acha kudanganya watu kuhusu ugonjwa ambao wewe hujaugua.
Fanya nilivyokueleza hapo juu halafu utuletee mrejesho humu hapo baadae.
Kwa sasa acha utafiti na utabibu wa Madaktari ifanye kazi yake tukikusubiria wewe kutuletea mrejesho wa hayo niliyokuagiza kufanya.
Acha kupotosha watu kwa sasa.
 
HIV/AIDS ni feki kwa kuwa AIDS haisababishwi na HIV na HIV hana uwezo wa kusababisha AIDS na ndio maana kuna mikanganyiko mingi sana sasa,mara watu hukwambia "ni vigumu sana kupata HIV kwa kufanya ngono",ukweli ni kwamba HIV haambukizwi kwa njia ya ngono.Wengine husema "kuna watu wana HIV lakini hawadhuriki" watu hawa huitwa carrier,huu ni uongo pia,kila mtu hawezi kudhurika na HIV,hata wewe pia.Walichofanya hawa jamaa wamefanya utafiti ni contradiction gani inajitokeza kwenye uongo huu waliotulisha halafu wakatafutia majibu yake ili kuendelea kuwapa watu imani kwamba kweli VVU/Ukimwi upo na unaua ilihali kinachoua ni ARVs.
Vipimo vyake ni feki kwa sababu havipimi HIV mwenyewe kwa muonekano kama ilivyo kwenye baadhi ya magonjwa kama vile malaria,TB au Typhoid.Walikataa kutuia electronic microscope kwa kuwa wenyewe wanajua kwamba HIV ni feki,haonekani.Na ndio maana hadi leo hii muulize daktari yeyote ambaye unamwamini wewe ni kichwa kama kashawahi kumuona HIV hata kwa kutumia vyombo vyao katika maisha yake yote ya udaktari,atakwambia hajawahi kumwona,sasa kama hajawahi then nini tunachokiamini basi?Ile picha ya HIV kwenye vitabu vyao waliipata wapi?Vipimo hivi hupima kinga ya mwili dhidi ya protini fulani ambazo zinaaminika zinatoka kwa HIV lakini sio specific kwa HIV pekee,kuna mambo mengine ndani ya mwili huweza kuzalisha protini hizo na mtu akaonekana ana HIV kwa kutumia vipimo hivi(kumbuka bado kwamba HIV hasababishi ukimwi).Mojawapo ya mambo hayo ni magonjwa mbalimbali kama vile TB,hali ya mimba kwa wanawake pia husababisha kuzalishwa/kutolewa kwa protini hizo.Haya ninayoongea kamwambie daktari yeyote yule mwelewa hatapinga.
Huko Mwanga kilimanjaro wajawazito 975 eti wamekutwa na virusi vya Ukimwi, si kweli, wamekutwa na anti-bodies zinazowapa kinga dhidi ya magonjwa mbalimbali, ikiwemo hiyo Retro-virus! Kwanini waseme wamemkuta mtu nankirusi cha ukimwi wakati kirusi chenyewe hawajakiona per say, wameona tu anti-bodies ambazo hata mgonjwa wa T.B au mama mjamzito anaweza kuzalisha (pasipo uwepo wa huyo retro-virus aliebambikwa jina la H.I.V), lakini pia, magonjwa yote yanayohisishwa na ukimwi yalikuwepo kabla ya hiyo so called HIV, ila tu mtu ukiugua mfano T.B au Kuhara bila kuwa na antibodies dhidi ya huyo retrovirus hawaiti ukimwi, ila ukiugua hayo magonjwa huku ukiwa na antibodies/kinga dhidi ya huyo retrovirus ndio wanaita unaugua ukimwi! HOW CONVINIENT, pesa inatafutwa kwa nguvu sana na haya makampuni ya madawa.
 
Ok naendelea kukuelewa..
Ila hujanijibu kuwa kama ukimwi haupo, je nn kinapelekea mtu kufa na njia gani inaambukiza
Kabla hujajiumiza kichwa kwenye kufa hebu sema kirefu cha UKIMWI ni nini?? hapo ndio jibu lako lipo na je kwann baada ya kugundulika una UKIMWI unaambiwa ule balanced diet na kufanya mazoezi na kurelax mind yako?? kwann?
 
Umeeleza vizuri sana na mwenye akili na aelewe....ila nakuomba nikuongee hapo kwenye PEP....Hiyo ni Post Exposure Prophylaxis na si Pre Exposure Prophylaxis (Pre EP) hii ya pili ndo ile anapewa mtu kabla hajafanya tendo linaweza kuwa ktk hatari ya kupata maambukizi kwa mfano sex workers yaani madada powa au wauza miili yao kingono
yap nilimanisha post exposure prophylaxis...nahis ni writting error mkuu...nolimanisha vile tena ngoja nkapaedit..shukran
 
dunia ina siri nyingi sana na kila mtu anasema lake ila ukweli ukiwekwa wazi dunia haitakalika
 
Mtaalam, naomba nianzie hapa, unaposema watu hawafi kwa ukimwi bali wanakufa kwa magonjwa kama TB... upo sahihi kabisa na hamna daktari anayesema ukimwi unauwa..
Ukimwi unaandaa mazingira ya mtu kufa... kwa kukufanya kuwa dhaifu na kuweza kushambuliwa na magonjwa mengine mpaka kupelekea kifo.
Hivyo bhas... kauli ya kwamba ukimwi hauui, hamna anayepinga.

Swali langu linaanzia hapa, unapokuwa na ukimwi ambao kutokana na maneno yako huwa hausababishwi na kile kinachoitwa vvu ... ila ukimwi unapatikana kwa lishe mbovu.... je kama mtu akipata ukimwi na ugonjwa kama TB akapambana akatibu TB na akaamua kula vizurii... inamaanisha atakuwa hana ukimwi tena.. na ataendela na kuishi kama watu wengine? Na kama jibu ni ndio je ni kwanin watu ambao wanasemekana wana ukimwi akipata ugonjwa kama TB Akautibu na kuanza kula vizurii... kesho kutwa utasikia ana pneumonia...? Na ataishi hvyo akipambana na magonjwa nyemelezi mpaka kifo chake, maana yake ukimwi ukishaupata HAUPONI.
 
Chisaye.
Acha kupotosha watu.
Maoni yako unayathibitisha kwa utafiti wa Madaktari wachache sana ukilinganisha na maoni ya Madaktari wengi ambao wanathibitisha kuwa kirusi cha HIV kipo.
Huyo Tabu Mbeki na Museveni sio Madaktari, hawawezi kuaminika.
Wewe mwenyewe hujatueleza kama una taaluma ya udaktari au la, na umefuzu kwa kiwango gani ili angalao uweze kusikilizwa.

Unachotakiwa kufanya.

1. Andaa mada kuhusu wazo lako, halafu na anza kulitolea Presentation katika hatua za kiafya za kikanda na hata kitaifa ili wataalamu wa afya waliobobea wakusikilize na kukudadisi.

1. Wakati unaendelea na mchakato huo, nenda hospitari waambie Madaktari wakuchome damu ya mwathirika wa Ukimwi ili uweze kuuendeleza utafiti wako huo, maana utakapo jitibu hayo magonjwa nyemelezi na kupona Ukimwi basi utauthibitishia umma vizuri kwa ushahidi wako wewe mwenyewe.

Kwa sasa acha kudanganya watu kuhusu ugonjwa ambao wewe hujaugua.
Fanya nilivyokueleza hapo juu halafu utuletee mrejesho humu hapo baadae.
Kwa sasa acha utafiti na utabibu wa Madaktari ifanye kazi yake tukikusubiria wewe kutuletea mrejesho wa hayo niliyokuagiza kufanya.
Acha kupotosha watu kwa sasa.
Umeandika kama mlevi. Kama kodi zetu ndio zinatumika kusomesha madaktari wa akili kama zako basi bora hizo hela tuongeze dreamliner nyingine. How come daktari mwenye akili timamu ajithibitishie kuwa HIV yupo mpaka mtu ajidunge sindano. Dr deusberg alijidunga sindano mnayosema ina HIV na hakupata huyo HIV. Sijui hata kama unamjua huyo Dr. Halafu tunakaa kuwa hawa ndio watu tumewakabidhi mustakabali wa afya zetu.

Kwa taarifa yako taaluma haina mwenyewe. Kama umesoma Uhasibu haizuii mtu asifuatilie mambo ya kihasibu. Same onto health issues. Jenga hoja acha vitisho.


Tatizo ni kwamba Asilimia zaidi ya 98.3 ya madaktari wa Tanzania ni "Madaktari uchwara" waliolishwa upuuzi wa propaganda za kitengo cha Afya cha CIA. Someni nje ya hayo makaratasi ya wazungu muokoe Waafrika wenzenu. Thabo Mbeki ni Mmoja wa waafrika ambao wameshajua kilicho nyuma ya Hizi propanga na ndio sababu ya yeye kufanyiwa figisu na akapigwa chini.

Msikilize kidogo raisi wa zamani wa South Africa thabo mbeki kuhusu Huyo HIV



Mimi nakuomba usije hapa na makaratasi yako na kuanza kunijibu Kiuwanafunzi wanafunzi kwa kutumia notice za vitini.


Sasa Msikilize Dr Mulis mgunduzi PCR. Nina uhakika wa asilia 689964 hauna uwezo walau wa asilimia 0.3 kumzidi Dr Mulis mshindi wa tuzo ya Nobel. Mfuatilie huyu jamaa ujifunze vitu.
 
Mtaalam, naomba nianzie hapa, unaposema watu hawafi kwa ukimwi bali wanakufa kwa magonjwa kama TB... upo sahihi kabisa na hamna daktari anayesema ukimwi unauwa..
Ukimwi unaandaa mazingira ya mtu kufa... kwa kukufanya kuwa dhaifu na kuweza kushambuliwa na magonjwa mengine mpaka kupelekea kifo.
Hivyo bhas... kauli ya kwamba ukimwi hauui, hamna anayepinga.

Swali langu linaanzia hapa, unapokuwa na ukimwi ambao kutokana na maneno yako huwa hausababishwi na kile kinachoitwa vvu ... ila ukimwi unapatikana kwa lishe mbovu.... je kama mtu akipata ukimwi na ugonjwa kama TB akapambana akatibu TB na akaamua kula vizurii... inamaanisha atakuwa hana ukimwi tena.. na ataendela na kuishi kama watu wengine? Na kama jibu ni ndio je ni kwanin watu ambao wanasemekana wana ukimwi akipata ugonjwa kama TB Akautibu na kuanza kula vizurii... kesho kutwa utasikia ana pneumonia...? Na ataishi hvyo akipambana na magonjwa nyemelezi mpaka kifo chake, maana yake ukimwi ukishaupata HAUPONI.
Unaposema ukimwi ukiupata hauponi unamaanisha nini??


Hapo juu umeshasema Ukimwi unapatikana kwa lishe duni na ukila lishe ya maana unapona. Sasa kwa nini unauliza swali linalopingana na ulichoeleza wewe mwenywe.


Ndio maaana tunasema hili suala ni kutumia ubongi tu utaelewa kuwa bi propaganda.


Halafu Ukimwi Kila mtu anao hata wewe hapo. Na mimi pia sasa nini shida
 
Ok naendelea kukuelewa..
Ila hujanijibu kuwa kama ukimwi haupo, je nn kinapelekea mtu kufa na njia gani inaambukiza
Huyo daktari hapo mwisho mimi kanifumbua. UKIMWI kama unavyojieleza ni 'upungufu wa kinga mwilini' hili tatizo la upungufu wa kinga limekuwepo tangu enzi za 'Adam na Hawa' likisababishwa na vitu vingi kama ukosefu wa lishe bora na magonjwa mbali mbali ambayo yanaweza kupelekea kinga ya mwili kushuka, hivyo huwezi kusema 'Upungufu wa kinga mwilini (Ukimwi)haupo, UPO. Tatizo linakuja pale watu wanapohusisha kirusi kinachoitwa 'Retro-virus' / (HIV) na huo upungufu. Huyu Retro-virus anapoingia mwilini mwako, mwili wako huzalisha 'anti-bodies' maalum kwa ajili ya kupambana nae na kummaliza kabisa, na ndio maana hata ukijaribu kumpima physically kwenye damu ni ngumu sana kumuona kwani anakuwa amebaki mchache sana au wanakuwa wamemalizwa; na hapo tunasema mwili wako umeshatengeneza kinga dhidi yake (yaani una antibodies zake/ au tunaita vaccine/ kinga yake), hivyo hawezi kukudhuru tena. Sasa siku ukienda kupima 'Virusi vya ukimwi' hawatakupima virusi vya ukimwi, ni uongo, watakudanganya kwamba wamekupima hivyo virusi lakini ukweli ni kwamba watapima uwepo wa hizo antibodies/kinga dhidi ya huyo kirusi, wakigundua tu kwamba mwili wako una hiyo kinga/ antibodies basi watakwambia wewe 'una virusi vya ukimwi, WHICH IS NOT TRUE! EVEN YOU CAN SEET THAT NOW! Sasa kitakachokupa UKIMWI ni zile sumu, maana wanasema hayo madawa ya AZT na ARV ni HIGHLY TOXIC, na unatumia kwa miaka mingi na mara kwa mara, lazima tu utaugua ugonjwa wa INI na FIGO kwa kunywa hizo sumu, na eventually kinga ya mwili itashuka, na utakonda tu kwa mawazo, halafu ndio wanaita umekufa kwa UKIMWI, WAXENGE SANA WAZUNGU ***** ZAO!
 
Kumbuka ARV zimekuja majuzi tu, zaman hapo tulipoteza watu weng na walikufa kwa mateso meng ikiwa ni pamoja na kukonda sana

Tuambie nn kilikuwa kinawaua haraka vile
Kilichowaua ni T.B na magonjwa mengine ambayo huitwa nyemelezi ambayo hayakutibiwa, ila swali lamsingi la kujiuliza, ni nini kilishusha kinga yao ya mwili hadi wakawa wanaugua kirahisi? Maana wataalam husema CD4 hushuka, sasa nini zilishushizo CD4? Jibu ni hiyo hiyo T.B, kwani mtu unaweza kukonda na kuharisha endapo T.B isipotibiwa vizuri, na utakuta ametest Negative for HIV, ila kwakuwa umetest positive kila mtu anasubiri ufe tu na hakuna real effort kukutibu, (Placebo effect) ndio itakuua!
 
Hizi mbwembwe za UKIMWI haupo ni tamu sana kama huu ugonjwa haujagusa mtu wako wa karibu ila siku ukifika karibu yako ndio akili inakaa sawa acha kabisa narudi acha kabisaaa.
Well said!
 
Tusidanganyane wakuu HIV vinavyoleta UKIMWI kwa kiasi kikubwa vipo tena sana. Ukitaka kuthibitisha hilo nenda Sinza chapa Malaya 3-5 bila condom halafu subiria majibu yake
 
Tusidanganyane wakuu HIV vinavyoleta UKIMWI kwa kiasi kikubwa vipo tena sana. Ukitaka kuthibitisha hilo nenda Sinza chapa Malaya 3-5 bila condom halafu subiria majibu yake
Kuna Kaswende na magonjwa mengine mengi ya Ngono so condom inaweza zuia.


Kwahiyo unataka kutuambia kutumia kondomu ndio evidence HIV anasababisha AIDS.


[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji1] [emoji1] [emoji1]


Hii nchi ujinga ni mtaji sana
 
Umeandika kama mlevi. Kama kodi zetu ndio zinatumika kusomesha madaktari wa akili kama zako basi bora hizo hela tuongeze dreamliner nyingine. How come daktari mwenye akili timamu ajithibitishie kuwa HIV yupo mpaka mtu ajidunge sindano. Dr deusberg alijidunga sindano mnayosema ina HIV na hakupata huyo HIV. Sijui hata kama unamjua huyo Dr. Halafu tunakaa kuwa hawa ndio watu tumewakabidhi mustakabali wa afya zetu.

Kwa taarifa yako taaluma haina mwenyewe. Kama umesoma Uhasibu haizuii mtu asifuatilie mambo ya kihasibu. Same onto health issues. Jenga hoja acha vitisho.


Tatizo ni kwamba Asilimia zaidi ya 98.3 ya madaktari wa Tanzania ni "Madaktari uchwara" waliolishwa upuuzi wa propaganda za kitengo cha Afya cha CIA. Someni nje ya hayo makaratasi ya wazungu muokoe Waafrika wenzenu. Thabo Mbeki ni Mmoja wa waafrika ambao wameshajua kilicho nyuma ya Hizi propanga na ndio sababu ya yeye kufanyiwa figisu na akapigwa chini.

Msikilize kidogo raisi wa zamani wa South Africa thabo mbeki kuhusu Huyo HIV



Mimi nakuomba usije hapa na makaratasi yako na kuanza kunijibu Kiuwanafunzi wanafunzi kwa kutumia notice za vitini.


Sasa Msikilize Dr Mulis mgunduzi PCR. Nina uhakika wa asilia 689964 hauna uwezo walau wa asilimia 0.3 kumzidi Dr Mulis mshindi wa tuzo ya Nobel. Mfuatilie huyu jamaa ujifunze vitu.
Mimi sio Daktari naandika kama mchangiaji.

We zingatia tu maoni niliyowashauri.

Andaeni mada za wazo lenu hili na mliwasilishe kwenye mhadhala wa wataalamu waliobobea katika fani ya Afya ili muweze kuhojiwa kitaalamu.
Hii ni kwa faida yenu na ya sisi sote,
yaani mfanye Open Presentantion.

Pili ombeni mjidunge sindano yenye damu ya muathirika wa ukimwi ili mjifanyie utafiti ninyi wenyewe wenye uhakika zaidi kwenu.

Ndivyo nilivyo washauri.

Kuja kuusemea huku kwenye mitandao ambapo kuna watu wenye uwezo tofauti wa kudadisi na kuchukua hatua za tahadhari mnaweza kupotosha watu.

Au mnataka tuwaamini hukuhuku kwenye mitandao na tuanze kufanya ngono bila kinga ?
Tuanze kujiachia tu kwa hayo maneno yenu ya kwenye Jamii Forum ?

Tuambieni
 
Nimesoma uzi moja hadi mwingine na nimepata kitu hapa.
Dawa ni kutokupima Ukimwi ukiwa unaumwa. Na kama umepimwa unao basi usipanik

Kupima VVU/Ukimwi ni utumwa wa kiakili tu,ni ignorance ndio inasababisha mambo yote haya.Ukijua ukweli kuhusu ugonjwa huu feki utajicheka saaana.Yaani ni sawa na wewe mwenyewe katika umri huo wa utu uzima halafu unaogopa kivuli chako.
Ngoja nikupe dokezo dogo sana hapa;
-Najua unajua ya kwamba antibodies/kinga ya mwili ndio inatulinda dhidi ya magonjwa yote.
-Najua mpaka sasa unajua ya kwamba vipimo vya VVU vinapima antibodies/kinga dhidi ya VVU/HIV na havipimi mwonekano wa VVU/HIV.
-Najua unajua ya kwamba mtu akiwa HIV+ maana yake mwili wake umetoa antibodies dhidi ya HIV,na akiwa HIV- mwili hauna HIV.
-Najua unajua pia ya kwamba sayansi ya ufanyaji kazi wa antibodies ndio basis ya all vaccines,vaccines zote zimetengenezwa kufuata sayansi ya antibodies,na ndio maana leo hii unaamini ukipewa chanjo ya tetenus basi hutapata tetenus kamwe.

Sasa basi;umeshawahi kujiuliza ni kwa nini na kwa vipi ukipimwa HIV+(yaani mwili umetoa kinga dhidi ya HIV feki),watakwambia kwamba umeathirika na wasikwambie kwamba you are safe kwa sababu mwili wako umejibu mapigo ya HIV feki?
Hili swali kwamba kwa nini hizo antibodies haziwezi kukukinga wewe dhidi ya HIV feki hata waliotudanganya hawawezi kulijibu.Ni madaktari weusi tu wanaojifanya wako kimbelembele/wapambe na wanajifanya wanajua zaidi ya mabwana zao waliotudanganya ndio hujifanya kujibu swali hili.Ukitaka ugomvi wambie wakupe any scientific paper published,hawana.
Zaidi ya yote,HIV hasababishi AIDS,ukitaka ugomvi hapa tena waambie wakupe scientific proof kwamba HIV anasababisha AIDS.Wanaosema kwamba hasababishi AIDS wana scientific paper/proof published.
Science politics ni mbaya sana.
 
Umeandika kama mlevi. Kama kodi zetu ndio zinatumika kusomesha madaktari wa akili kama zako basi bora hizo hela tuongeze dreamliner nyingine. How come daktari mwenye akili timamu ajithibitishie kuwa HIV yupo mpaka mtu ajidunge sindano. Dr deusberg alijidunga sindano mnayosema ina HIV na hakupata huyo HIV. Sijui hata kama unamjua huyo Dr. Halafu tunakaa kuwa hawa ndio watu tumewakabidhi mustakabali wa afya zetu.

Kwa taarifa yako taaluma haina mwenyewe. Kama umesoma Uhasibu haizuii mtu asifuatilie mambo ya kihasibu. Same onto health issues. Jenga hoja acha vitisho.


Tatizo ni kwamba Asilimia zaidi ya 98.3 ya madaktari wa Tanzania ni "Madaktari uchwara" waliolishwa upuuzi wa propaganda za kitengo cha Afya cha CIA. Someni nje ya hayo makaratasi ya wazungu muokoe Waafrika wenzenu. Thabo Mbeki ni Mmoja wa waafrika ambao wameshajua kilicho nyuma ya Hizi propanga na ndio sababu ya yeye kufanyiwa figisu na akapigwa chini.

Msikilize kidogo raisi wa zamani wa South Africa thabo mbeki kuhusu Huyo HIV



Mimi nakuomba usije hapa na makaratasi yako na kuanza kunijibu Kiuwanafunzi wanafunzi kwa kutumia notice za vitini.


Sasa Msikilize Dr Mulis mgunduzi PCR. Nina uhakika wa asilia 689964 hauna uwezo walau wa asilimia 0.3 kumzidi Dr Mulis mshindi wa tuzo ya Nobel. Mfuatilie huyu jamaa ujifunze vitu.
napenda sana kujibu owa facts,naomba nikulize kitu what is HIV you are basing with? hivi una habari kuwa kuna namna tunavyoweza kumpima huyu mdudu mwilini...achilia mbali mtu kushuka CD4 count lakini pia kuna kipimo ambacho kinaweza kutupa majibu kama kinga ya mwili imepanda kufuatia HIV infection only...kipimo kama BIOLINE ni more sensitive to antibodies against infections including HIV,SPYPHYILIS,skin diseases like antiphospholipid syndrome,sytemic lupus erythematous,gonnorrhea,fungal infections as well as abnormal collagenous diseases...haya magonjwa yote kama mtu atakuwa nalo moja lazima bioline itasoma positive na ili tuweze kutofautisha kuwa hiyo positive ni ugonjwa upi sasa kati ya hivo vyotr ndo tunaconfirm kwa kutumia confirmation test ambayo kwa kaswende tunatumia treponema pallidum test kwa ajili ya kudetect pallidum antigens na kwa Tb tutatumia Sputum smear kudetect Tuberculous na kwa HIV tunapima kwa kutumia UNIGOLD ,unigold ndo kipimo kinachopima exactly hizo antobodies specific kwa HIV virus only...ndo maana tunasema Unigold ni standard HIV antibody test confirmer na ni more specific to HIV antibodies tu na siyo antibodies zingine...we have a lot of antibodie specifically the IgM and IgG ambazo ndo hiwa zinaraise against co- infection yoyote ile...kwa hiyo msipotoshe wati kwa sababu ya facts ndogo za kimtandao mlizonazo ,we can answer you with conclusive data ana analysis...ingependeza zaid mkataja na carrier zenu tujue tunabishana na watu wa namna gàni...Youtube isiwe source ya kuamini sana kumbuka it is the universal social hosting site ya takataka zote....real issues are hidden ...kama mafunzo ya jeshi yangekuwa yanapatikana mtandaoni sidhani kama watu wangeenda kusomea how to invade a criminal as well as a terorist lakin siri hizo zipo jeshini..ukitaka kujua ukweli be involved to the mission itself ndo utajua how things are but do not rely on the social networks...hivi unataka kunambia siri zote za mambo ya maabara ziwe zinaanikwa wazi mitandaoni for what ..!! unafikiri kujua ukweli ni kazi rahis kama unavofikilia ww...?? wanaojua ukweli wamekaa pembeni wanawachoro kwa antifacts mlizobase tena kwa kuleta facts from Youtube...?? kama unaamini youtube kama source ya informations zako kwann hakuna taarifa juu ya namna dawa zinavotengenezwa na ukiangalia kweli ukipata malaria unakunywa dawa na unapona kwann namna ya dawa zinazovotengenezwa haiwekwi youtube...are you seriuz men...?? yo re not seriuz at ol..you real base with informations from the social network ..?? real..hata kama najua social network ndo inaturahisishia info but ukae ukijua facebook,youtube,googgle and others zinahost only 4% of all the relity issues..na the 96% of all the truths watu wanapata from their respective field of study and from highky hidden sites,,unataka kusema kama mtu anahitaji kumjua HIV virus structure utamshauri akasome youtube..?? are you seriuz men..?? ndo mana kuna sehemu zake unapopata ukweli huo...lastly ,am very sory to tell you that ,few people have to know the truth so as to master others sasa its your time now to choose where to belong..kazana na youtube wakati youtube ishakuwa dample miaka 20 iliyopita...kwa taarifa yako labsa nikuambie ukweli ni kwamba magrup ya watu wenye kuujua ukweli wa kitu huunda forum maalumu ambazo lebgo linakuqa kupeana taarifa kipindi wanafanya mambo yao..unakuta watu wengine wapo canada,wwngine israel wwngine USA ,wengine Rusia and so fourth saaa wanaunda faorum kupeana taarifa na siri za mambo yao ambayo inakuwa kama grup la watsup...wakimaliza wanajitoa afu wanamua kulishare kwenye community hakafu mnadanganywa kuwa kuna uvumbuzi wa social network hosting site kumbe watu wameamua kulishare na kulibadilishia kazi huku wao washahama kitambo kwenye forum yenye mfumo mwingine...hii watsup unayotumia sasa hivi imeshatumika kwenye secret families and societies 20 years ago and wanaleft to those who study computer issues in relation to Information technlogy wanamodify na kuzihost socially through common network...kwenye kampuni ya microsoft ina vijana Ma IT wengi sana ambao kazi yao kubwa ni kupewa used site na kuzimodify na kuzihost playstore halafu wew unapload na kutumia ....lastly use much your silence to think more on how the world moves ...its true kuwa yajayo yanafurahisha lakini mimi nasema siyo yajayo tena coz we have yo dance with the tune of reality though its reality remain entangled.....kwa hiyo usipotoshe watu juu ya facts za kimtandao...kuhusu HIV virus kuna familia inayoitwa Rockerfeller ipo marekani na hiyo imejenga Underground laboratories huko Antactica bara ambalo tunaambiwa hakuna binadamu anayendaga kule but its not true...ni siri kubwa snaa..kule ndo wanaandaa hao active and inctive virus pamoja na live and attenuated vaccines kwa ajili ya human innoculation...virus wanaoandaliwa kule ni siri nzito....jifunze kugid inform under cover ndo mjue mengi siyo mnakuja na information za youtube ambazo youtube ishakuwa 2 generation information site hosting wakati watu wapo kwenye 6 generation information site hosting....natumia simu kuandika kama kuna sehemu kuna error ujue ni shida kutype but the messege is got to you..
 
Pumba tupu
Ukisoma post zangu vizuri utanielewa tu.Nina maana hiyohiyo kwamba ARVs ndio husababisha vifo kwa wale wanaozitumia.Nifuatilie kwenye post zangu utanielewa tu mkuu.Watu husema,"mbona mtu anaumwa kabisa lakini akianza kutumia ARVs anakuwa safi".Wanaosema hivi bado hawajui ukweli,ngoja nikupe mfano;

Mara nyingi mtu aliyedhoofika halafu akakutwa na huyu HIV feki lazima atakuwa na ugonjwa maalum unaofahamika mfano TB.Mgonjwa huyu watampa ARVs pamoja na dawa za TB.Bila shaka atapona TB ataanza kunenepa huku watu wakijua kwamba ARVs ndizo zimemponya.Baada ya muda mrefu sana mtu huyu ataanza kuonesha dalili nyingine hata kama hana TB,kama vile nywele kuwa dhaifu,kupungua kilo/uzito,ngozi kuwa dhaifu au kutoka vipele,cancer,upungufu wa damu,ugonjwa wa ini,figo kushindwa kufanya kazi vizuri na hatimaye miguu kuvimba sehemu ya chini,tumbo kujaa,matatizo ya moyo nk.
Je,ushawahi kujiuliza kama mtu hana TB,hana malaria,hana typhoid nk,Je,magonjwa niliyotaja hapo juu yanasababishwa na nini?Kama yanasababishwa na HIV,Je,anasababishaje magonjwa haya?

1.HIV anasababishaje ugonjwa wa moyo?
2.HIV anasababishaje nywele kuwa dhaifu?
3.HIV anasababishaje kupungua kwa uzito?
4.HIV anasababishaje udhaifu wa ngozi na vipele/vidonda?
5.HIV anasababishaje cancer?
6.HIV anasababishaje upungufu wa damu?
7.HIV anasababishaje ini kushindwa kufanya kazi?
8.HIV anasababishaje figo kushindwa kufanya kazi?

Waliotudanganya hawawezi kuelezea ni kwa vipi HIV anaweza kusababisha matatizo ya hapo juu.Mimi nitakuelezea;

ARVs zinasababisha lactic acidosis kwenye damu hivyo damu inakuwa na tindikali/acid nyingi.Daktari yeyote yule hawezi kupinga maelezo haya,kama yupo aje hapa kupinga.

Sasa basi,damu inapokuwa na acid mwili unakumbwa na kila aina ya tatizo kwa kuwa damu haikuumbwa iwe na acid bali imeumbwa iwe na alkali/nyongo na kiwango thabiti cha nyongo kwenye damu kinatakiwa kiwe ni pH=7.365,kikiwa chini ya 7.3 tu matatizo yanaanza.

Nakupa faida hapa;Fuatilia wagonjwa wote wa cancer iwe ocean road au kokote kule,lazima pH ya damu zao iwe chini ya 7.365,lazima.Fahamu pia sumu yoyote ni acid by nature,hivyo acid kwenye damu maana yake ni sumu kwenye damu.Seli zote za damu zinazungukwa na acid,seli zikizungukwa na acid haziwezi kupumua kwa kuwa kwenye acid hamna oxygen ya kutosha,Je,unafahamu kitu kinachoitwa oxygen debt kwenye biology kinatokeaje?

Rahisi sana,ni muscles zinajaa lactic acid baada ya kufanya mazoezi kwa muda na hizo mtu hujisikia maumivu kesho yake anapoamka.Hii inatokea kwa kuwa seli zinakosa oxygen ya kutosha,baada ya muda damu inajibalance yenyewe na maumivu huondoka yenyewe.

Kama damu ina pH chini ya 7.365,ini,figo,moyo vyote haviwezi kufanya kazi vizuri.Mwili unapoteza madini kama vile calcium na magnesium ambayo ndio muhimu kwa contraction na relaxation ya heart muscles.Pia kupotea kwa calcium kunafanya mifupa iwe dhaifu na kuvunjika kwa urahisi.

Seli ni rahisi kuwa mutated au kufa na hii husababisha cancer na matatizo kama vile vipele kwenye ngozi au ngozi kuwa dhaifu.Kisukari pia hapa ni mahali pake.Bone marrow pia huathirika sana na acid hii hivyo hushindwa kuzalisha damu vizuri,na ndio maana huwa unasikia wagonjwa waliobobea kwenye matumizi ya ARVs huwa wanabadilisha damu mara kwa mara.

Ndugu yangu sayansi hii ni pana naweza kuandika kitabu,niishie hapa.Ili kuthibitisha kwamba ARVs zinasababisha lactic acidosis hebu ingia kwenye website hii ya wamarekani wenyewe ujisomee,sio mimi,hii ni ya wamarekani wenyewe,unaweza kujionea picha ya mwewe chini ya hiyo web ni ishara kwamba hiyo ni ya wamarekani.

Ingia kwenye web,soma sehemu ya WARNING;Wenyewe wanakwambia husababisha serious LIFE THREATENING side effects.

Tenofovir Disoproxil Fumarate (Viread) | Patient Version | AIDSinfo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom