Huyu ndiye daktari aliyejichoma sindano ya UKIMWI ili kuthibitisha kuwa UKIMWI ni uongo!

Huyu ndiye daktari aliyejichoma sindano ya UKIMWI ili kuthibitisha kuwa UKIMWI ni uongo!

Status
Not open for further replies.
Hivyo kwa lugha nyepesi ni VVU hakuna.!

Ila UKIMWI upo.! Yaani unaweza patikana kwa mtu mwenye matatizo ya kiafya ikiwemo magonjwa na lishe.!

Ngumu kumeza_ ila kwenye asilimia hii hoja kwangu imechukua 75% na zilizobaki ni kwenye ile ya kumezeshwa.

Na nikienda kuhakiki kwa mtu mmoja ninayemfahamu kwa karibu akinihakikishia kuwa wanachowapima watu ni antbody na kirusi hakipo

Izo 25% nafuta kabisa.Na nakuwa balozi wa kutangaza HIV hakuna chini chini
 
Everyone loves conspiracy. ...
Mkuu ARV hata siku moja haisababishi AIDS mimi nina mfano hai wa mtu aloyetumia dose ya PEP ambayo basically ni ARV na baada ya kuacha yuko flesh tu na huu ni mwaka wa 5..

Sasa mkuu usiwadanganye watu wasimeze ARV watakufa kifo kibaya cha ukimwi..wewe kama hutaki kumeza washauri ndugu zako uone balaa litakalowakuta siku wakipata HIV alafu wakaacha kumeza ARV
 
Umeshawahi kujiuliza ni kwanini hadi leo hakuna kipimo cha kupima uwepo wa 'VIRUSI VYA UKIMWI'? Badala yake tunapima uwepo wa 'ANTI-BODIES' ambazo mtu huzalisha mwilini hata akiwa anaumwa T.B au Malaria?
Mkuu una uhakika na unachokisema??
Kipimo cha kupima kipo sema bei yako ni kubwa ndio maana kipimo popular ni cha kucheki antibody ambacho kina specificity na sensitivity ya kutosha tu
 
Kwa conclusio yako nadhani wengi umetuacha na maswali maana unataka kutuambia ukimw haupo na endapo mtu akigundulika ana ukimwi basi ajitibu magonjwa nyemelez kisha atapona kabisa.
MKUU INGEKUWA RAHISI HVYO BASI TUSINGEZIKA WATU KILA SIKU
Nenda kaulize hao watu wamekufa kwa magonjwa gani exactly
 
Mkuu una uhakika na unachokisema??
Kipimo cha kupima kipo sema bei yako ni kubwa ndio maana kipimo popular ni cha kucheki antibody ambacho kina specificity na sensitivity ya kutosha tu
Hayo ni maneno ya huyo daktari hapo juu, anakwambia hakuna udhibitisho wowote kwamba virusi vya hiv vimewahi kukutwa kwenye mwil wa binadamu
 
Hayo ni maneno ya huyo daktari hapo juu, anakwambia hakuna udhibitisho wowote kwamba virusi vya hiv vimewahi kukutwa kwenye mwil wa binadamu
Mkuu mimi nina maneno ya vitabu zaidi ya 20 ambavyo vimeandikwa na madaktari wa pathology na microbiology ambao wanathibitisha HIV ipo...

Na kwa information yako tu kipimo kinaitwa PCR(polymerase chain reaction ) ambacho kina amplfy DNA za virus na kinaweza kudetect antigen za hiv na sio antibody tena...

Mkuu HIV zipo isingekuwa swala la ethics tu ningeomba tukutane nikuchome sindano yenye damu ya mtu mwenye HIV ili uje kuwapa mrejesho wadau baada ya muda...tatizo ni ethics
 
Nimewahi kusoma mada zake saaaaaaaaaaana ila sijawahi kuchangia, the guy anaongea the naked truth ila sababu timeshawekwa kwenye zone mbaya that's why tunampinga ila in reality there's nothing as UKIMWI
utakuwa unaupungufu wa ufahamu.....nakuomba siku moja tuonane theni nichukue damu ya mwenye virusi vya ukimwi nikuongezee kidogo halafu uangalie baada ya miezi kadhaa afya yako itakuwaje
 
HIV/AIDS au VVU/UKIMWI hauambukizwi kwa njia ya ngono/sex na HIV hasababishi ukimwi.Jitahidini kidogo ku stretch uwezo wenu,elimu ipo lakini mnairuka kwa makusudi.

HIV/AIDS is a mindset disease.Sijui kama nitaeleweka kwa kusema hivi.Yaani ugonjwa huu haupo kiuhalisia,kinachoua si HIV bali kinachoua ni ARVs kwa wale wanaozitumia.Hata kama mtu hatumii ARVs na amedhoofika wewe mpime tu utagundua kwamba lazima awe na ugonjwa fulani unaofahamika,aidha TB,Pneumonia,Cancer nk.

Watu wanadhani mimi nimekurupuka kwa siku moja tu na kuja kuandika yote haya,la hasha nimefuatilia na kufanya tafiti ya mambo haya kwa zaidi ya miaka 5.Watu wanachukulia kirahisi sana,hawagundui hata kwa nini mimi ninawaeleza haya,hawagundui hata kidogo upendo huu ninaouonesha kwao.
mkuu nimekufuatilia sana ila nimegundua kuwa ni mtu unayependa kufuatilia vitu na hiki ndo kitu pekee kbsaa kinachompa mwanadamu free mind out of the hidden truth...lakini naomba nikupe elimu kidogo juu ya ulichobase kuwa kinachomua mtu siyo HIV/ AIDS make kinachomuua mtu ni T.b ,cancer i dont know and so fourth...but naomba nikulize kitu..unahisi wagonjwa wote wanaopimwa na kukutwa na HIV ni lazima walikuwa na TB,?? au mtu yoyote anayepimwa HIV tayari alikuwa na pre existing other diseases..?? unafaham kuwa mtu akipata HIV hudhoofika kinga ya mwili na ndo mana virus kapewa jina hilo likimaainosha Human Immunodeficiency Virus( HIV),manake nini..ukimpata kirusi huyu atashambulia CD4 cells ambazo ndo zinaactivate immunity ya mwili..cd4 ni kmaa sensor wa kuamsha mwili uzalishe kinga ya mwili..kwa hiyo zikipungua mwili nao unashindwa kusense na kushindwa kuzalisha kinga ya mwili... sibase sana kukubali au kukupinga but nataka utambue kuwa kuna magonjwa ambayo hayana uwezo wa kuja mwilini kama kinga yako iko imara,TB unayoizungumza ww inakuja endapo mwili utapata upungufu wa kinga,fungal pia huja mwilini kama kinga imepungua,ukiachilia hiyo kitu ,cancer inakuja kivingine kabsaa haina uhusiano na kinga ya mwili...cancer inacheza na abnormal proliferation ya cell na inaweza pia ikatokea kwa mtu mwenye upungufu wa kinga... nitaeleza kidgo inakuwaje mtu anayetumia ARVs akiacha anaweza poteza maisha kwa haraka zaidi...ni hivii..unapogundulika kuwa una HIV mwilini mwako na ukaanza kutumia dawa means kwamba dawa zitapunguza uwezo wa kirusi kuzaliana kwnye mwili wako na zinamfanya vizuri aundergo domant situtaion ya kusizi kidgo lakini kumbuka yule virus ana DNA ambayo kazi yake ni kusense kama kuna decrese in molecular structure ya ARVs kwwnye damu..ikipungua tu kiwango cha dawa kwwnye damu basi virus anaibuka na kufanya a milion repeated multiplication na kufanya titre value yake kuwa kubwa kiwango cha kushindwa hata kinga ya mwili iliyopo na mtu hufariki muda mfupi sana ...kitu kingine kinachomua mtu wa HIV bada ya kuacha kunywa dawa ni IRIS( Immune reconstitution inflammatory syndrome (IRIS) (also known as immune recovery syndrome) ..hii hali hutokea kwa mgonjwa wa HIV anayetumia ARVs kwa muda flani ambapo kinga yake ya mwili huaza kurejea na kuanza kugundua baadhi ya magonjwa nyemelezi kama T.B ,ambayo mwanzoni mwili ulikuwa umeshindwa kuyagundua kwa kushindwa kutengeneza kinga dhidi yake kwa hiyo mwili unarudi kwa kasi kupingana na hali hiyo lakini kurudi kule kwa kas huambatana na kuvimba kwenye ubongo na homa kali kali snaa ambazo humfanya mtu apoteze maisha...ni kama vile mtoto mdgo anapokuwa anagombana na mtu mzima pale anakuwa anachezea vitasa bila kupinga lakini akitokea mtu mwingine akampa kichwa na kumtia moyo kuwa unaweza pigana na kweli dogo akajikuta anapata nguvu na kumpiga ngumi moja ya uso yulr jamaa manake yule jamaaa atapata hasira sana hata kama atakuwa alikuwa anampiga kidgo kidgo dogo sasa pale atamzibua moja tu na dgo atakufa kabsaa..ndo inavyotokea kwenye IRIS kwa mtu mwenye HIV on ARVs ....kwa hiyo usiseme kuwa HIV haipo ,it ia there kwa sababu kuna tafiti zimefanyoka juu ya baaadhi ya ARVs japo sio zote zipo salama kwa mfano kuna dawa moja inaitwa Pep ( Post exposure prophylaxis) ambayo anapewa daktari aliyejichoma sindano kwa bahati mbaya akiwa anamfanyia upasuaji mgonjwa yoyote mwenye HIV/AIDS ili asipate maambukizi na ile dawa wanapewa pia watu waliobakwa ili kuzuia maambukizi kama mtu alikuwa haeleweki sero status yake..kwa hiyo imefanyika study kubwa sana ya kufuatilia follow up kwa watumiaji wa dawa ile na kuona wapo salama kabsaa kama walitumia dozi kwa muda mwafaka na kwa dozi sahihi..leo hii tungetegemea kuona madaktari na manesi ndo wakiongoza kwa kuwa na HIV make kujichoma wao ni jambo la kawaida ila huwa wanawahi fasta kuanza kutumia PEP ndani ya masaaa 72 ,waliopotezea kunywa dawa hiyo soon after kujiplick idad ndgo sanaa imeonesha kuwa aaliadvance into HIV infection..sasa huoni kuwa kuna coincidence juu ya hiyo kitu....ni kweli kuna umanzi kibao juu ya kuwepo kwa ugonjwa huu but none of the rumanzi imeweka sawia ukweli...ukweli ni kwamba hata Wizara ya afya wanapata kibali cha kugawa dawa tu lakini ukweli unabaki kuwa ni siri lakini tujr kwenye point of posirivity kuwa kama Pep imesave maisha ya kuwa exposed to HIV what is its differece from the other ARVs ambazo watu wanaclaim kuwa ndo zinazoua..? point of contradiction here...but
 
Mkuu mimi nina maneno ya vitabu zaidi ya 20 ambavyo vimeandikwa na madaktari wa pathology na microbiology ambao wanathibitisha HIV ipo...

Na kwa information yako tu kipimo kinaitwa PCR(polymerase chain reaction ) ambacho kina amplfy DNA za virus na kinaweza kudetect antigen za hiv na sio antibody tena...

Mkuu HIV zipo isingekuwa swala la ethics tu ningeomba tukutane nikuchome sindano yenye damu ya mtu mwenye HIV ili uje kuwapa mrejesho wadau baada ya muda...tatizo ni ethics
Acha uongo nani kakwambia PCR inaonesha Real Picture ya HIV???


Unamfahamu mgunduzi wa PCR?? DR. MULLIS ? Ngoja tukuwekee video yake hapa akikana hiyo mashine haina uwezo wa kupima Hicho kirusi. Hakuna kifaa chocho au electronic microscope iliweza kuona HIV ukiweza kunionesha picha ya HIV leo nitatembea uchi Dar Nzima.


Nakuahidi hilo. Acheni kudanganya watu kwa Elimu zenu za HOAX
 
mkuu nimekufuatilia sana ila nimegundua kuwa ni mtu unayependa kufuatilia vitu na hiki ndo kitu pekee kbsaa kinachompa mwanadamu free mind out of the hidden truth...lakini naomba nikupe elimu kidogo juu ya ulichobase kuwa kinachomua mtu siyo HIV/ AIDS make kinachomuua mtu ni T.b ,cancer i dont know and so fourth...but naomba nikulize kitu..unahisi wagonjwa wote wanaopimwa na kukutwa na HIV ni lazima walikuwa na TB,?? au mtu yoyote anayepimwa HIV tayari alikuwa na pre existing other diseases..?? unafaham kuwa mtu akipata HIV hudhoofika kinga ya mwili na ndo mana virus kapewa jina hilo likimaainosha Human Immunodeficiency Virus( HIV),manake nini..ukimpata kirusi huyu atashambulia CD4 cells ambazo ndo zinaactivate immunity ya mwili..cd4 ni kmaa sensor wa kuamsha mwili uzalishe kinga ya mwili..kwa hiyo zikipungua mwili nao unashindwa kusense na kushindwa kuzalisha kinga ya mwili... sibase sana kukubali au kukupinga but nataka utambue kuwa kuna magonjwa ambayo hayana uwezo wa kuja mwilini kama kinga yako iko imara,TB unayoizungumza ww inakuja endapo mwili utapata upungufu wa kinga,fungal pia huja mwilini kama kinga imepungua,ukiachilia hiyo kitu ,cancer inakuja kivingine kabsaa haina uhusiano na kinga ya mwili...cancer inacheza na abnormal proliferation ya cell na inaweza pia ikatokea kwa mtu mwenye upungufu wa kinga... nitaeleza kidgo inakuwaje mtu anayetumia ARVs akiacha anaweza poteza maisha kwa haraka zaidi...ni hivii..unapogundulika kuwa una HIV mwilini mwako na ukaanza kutumia dawa means kwamba dawa zitapunguza uwezo wa kirusi kuzaliana kwnye mwili wako na zinamfanya vizuri aundergo domant situtaion ya kusizi kidgo lakini kumbuka yule virus ana DNA ambayo kazi yake ni kusense kama kuna decrese in molecular structure ya ARVs kwwnye damu..ikipungua tu kiwango cha dawa kwwnye damu basi virus anaibuka na kufanya a milion repeated multiplication na kufanya titre value yake kuwa kubwa kiwango cha kushindwa hata kinga ya mwili iliyopo na mtu hufariki muda mfupi sana ...kitu kingine kinachomua mtu wa HIV bada ya kuacha kunywa dawa ni IRIS( Immune reconstitution inflammatory syndrome (IRIS) (also known as immune recovery syndrome) ..hii hali hutokea kwa mgonjwa wa HIV anayetumia ARVs kwa muda flani ambapo kinga yake ya mwili huaza kurejea na kuanza kugundua baadhi ya magonjwa nyemelezi kama T.B ,ambayo mwanzoni mwili ulikuwa umeshindwa kuyagundua kwa kushindwa kutengeneza kinga dhidi yake kwa hiyo mwili unarudi kwa kasi kupingana na hali hiyo lakini kurudi kule kwa kas huambatana na kuvimba kwenye ubongo na homa kali kali snaa ambazo humfanya mtu apoteze maisha...ni kama vile mtoto mdgo anapokuwa anagombana na mtu mzima pale anakuwa anachezea vitasa bila kupinga lakini akitokea mtu mwingine akampa kichwa na kumtia moyo kuwa unaweza pigana na kweli dogo akajikuta anapata nguvu na kumpiga ngumi moja ya uso yulr jamaa manake yule jamaaa atapata hasira sana hata kama atakuwa alikuwa anampiga kidgo kidgo dogo sasa pale atamzibua moja tu na dgo atakufa kabsaa..ndo inavyotokea kwenye IRIS kwa mtu mwenye HIV on ARVs ....kwa hiyo usiseme kuwa HIV haipo ,it ia there kwa sababu kuna tafiti zimefanyoka juu ya baaadhi ya ARVs japo sio zote zipo salama kwa mfano kuna dawa moja inaitwa Pep ( pre exposal prophylaxis) ambayo anapewa daktari aliyejichoma sindano kwa bahati mbaya akiwa anamfanyia upasuaji mgonjwa yoyote mwenye HIV/AIDS ili asipate maambukizi na ile dawa wanapewa pia watu waliobakwa ili kuzuia maambukizi kama mtu alikuwa haeleweki sero status yake..kwa hiyo imefanyika study kubwa sana ya kufuatilia follow up kwa watumiaji wa dawa ile na kuona wapo salama kabsaa kama walitumia dozi kwa muda mwafaka na kwa dozi sahihi..leo hii tungetegemea kuona madaktari na manesi ndo wakiongoza kwa kuwa na HIV make kujichoma wao ni jambo la kawaida ila huwa wanawahi fasta kuanza kutumia PEP ndani ya masaaa 72 ,waliopotezea kunywa dawa hiyo soon after kujiplick idad ndgo sanaa imeonesha kuwa aaliadvance into HIV infection..sasa huoni kuwa kuna coincidence juu ya hiyo kitu....ni kweli kuna umanzi kibao juu ya kuwepo kwa ugonjwa huu but none of the rumanzi imeweka sawia ukweli...ukweli ni kwamba hata Wizara ya afya wanapata kibali cha kugawa dawa tu lakini ukweli unabaki kuwa ni siri lakini tujr kwenye point of posirivity kuwa kama Pep imesave maisha ya kuwa exposed to HIV what is its differece from the other ARVs ambazo watu wanaclaim kuwa ndo zinazoua..? point of contradiction here...but
Nimesoma ulichoandika nimeishia kucheka [emoji1] [emoji1]
 
Acha uongo nani kakwambia PCR inaonesha Real Picture ya HIV???


Unamfahamu mgunduzi wa PCR?? DR. MULLIS ? Ngoja tukuwekee video yake hapa akikana hiyo mashine haina uwezo wa kupima Hicho kirusi. Hakuna kifaa chocho au electronic microscope iliweza kuona HIV ukiweza kunionesha picha ya HIV leo nitatembea uchi Dar Nzima.


Nakuahidi hilo. Acheni kudanganya watu kwa Elimu zenu za HOAX
Uwe unasoma kabla ya kuquote....hapo tatizo ni elimu yako sio yangu..
Mimi nimeandika PCR inaamplfy genetic material ya HIV kitu kinachafanya iwe detected tofauti na kipimo cha zamani kinachodetect antibody.

Sijaandika kuhusu kuona picha za virus
na kama elimu yako iko vizuri tusingekuwa tunabishana kuhusu kuona DNA au RNA za HIV
 
1.Ukimwi hauambukizwi
2.Ukimwi hauambukizwi kwa njia ya ngono
3.HIV hawezi kusababisha ukimwi na hasababishi ukimwi kwa kuwa hana sifa ya kusababisha ukimwi.Nashauri tujitahidi kwenda nje ya mainstream kutafuta habari,mambo mengi tunayoyafahamu kwenye dunia hii hayapo kama tunavyoyaona au kuyasikia,na mambo yamewekwa hivyo kwa sababu maalum kabisa.Anayesikia haya kwa mara ya kwanza atadharau au kufunga milango yake ya fahamu,kufunga milango ya fahamu hakubadilishi ukweli kuwa uongo,ukweli utabaki palepale.
Ukielewa ukweli kuhusu jambo hili utakubaliana na mimi kwamba mtu yeyote anayeogopa HIV ni sawa na kuogopa kivuli chake mwenyewe.Kama una swali lolote ambalo unadhani lina utata kuwa huru kuuliza.Nimetimiza wajibu wangu kutoa dokezo,kama mtu ana dukuduku/swali awe huru kuniuliza.

Hebu gusa link hapo chini kwa kuanzia;


Aiseee...., hii video imenilipua ubongo na moyo, yaani najisikia hasira sana kwa jinsi tulivyo kuwa brainwashed toka tuko darasa la kwanza, nimesikia hasira sana!
 
Ngoja nikwambie kitu hapa mkuu;Kuna vitu vya kusikia na vya kuona mwenyewe.Halafu vile vya kuona mwenyewe pia unaweza kuvielewa au usivielewe kulingana na upeo au elimu aliyonayo mtu.Watu wengi wanazungumza vitu vya kusikia zaidi,na wale walioona hawakuwa na uelewa au elimu ya kutosha kipindi ambacho wanaona hivyo vitu.

Mimi ninayezungumza hapa nimefanya tafiti nyingi za kisayansi.Siko hapa JF kuleta porojo kama wengine wanavyodhani,watu wamejikita zaidi kwenye upingaji lakini hawakujiandaa kuelewa.Kama mtu hakujiandaa kuelewa utamjua tu,na kamwe hawezi kuelewa hata ukimpatia evidence ya aina gani,mtu huyu atalazimisha umpe evidence si kwamba anataka kuelewa la hasha bali anataka ukwame,ukimpa evidence haisomi/haifuatilii na badala yake anatafuta mtego mwingine ili ukwame.Hii ndio tabia ya watu wengi humu JF,wamejiandaa kupinga na kuleta porojo zaidi badala ya kutoa hoja za kisayansi ili kupinga zile ninazotoa mimi.

Jibu lako hili hapa chini;
Miaka ya 1990 ARVs zilikuwa zimeshagundulika ila zilikuwa bado hazijafika kwa wingi Tanzania.ARVs(AZT) zilianza kutumika kwa mara ya kwanza Marekani mwaka 1987,hivyo nakubaliana na wewe kwamba wengi walikuwa hawatumii ARVs Tanzania lakini walikuwa wanakufa kwa magonjwa.Swali linakuja,Je,walikuwa wanakufa kwa magonjwa gani?

Kumbuka kwamba(kama ulikuwa na akili timamu miaka ya 1990) hali ya uchumi kwa upande wa huduma za kijamii ilikuwa mbaya sana kipindi kile hasa huduma za kiafya.

Magonjwa yaliyoongoza kwa kuuwa watu yalikuwa ni malaria na TB,malaria ikishika namba moja.Vipimo vilikuwa duni na madawa pia yalikuwa adimu.Na ndio maana hata ukiangalia takwimu za wagonjwa wa TB zilikuwa zinashuka kuanzia mwaka 1990 kuja juu kwa kadri huduma za kiafya zilivyoboreshwa.Watu walikufa kwa TB na malaria na si HIV.Kama mtu ana uthibitisho kuonesha kwamba HIV/AIDS ndio iliua watu wengi kipindi kile basi alete hapa jukwaani.Maana kuna mambo ya kusikia bila kuona na ukweli.

Kuhusu malaria,unaweza usiamini kwa kuwa haikudhoofisha watu.Lakini TB ilikuwa inatisha ndugu yangu.Si unajua TB iliyokomaa ikoje?Sasa changanya na tatizo la upatikanaji wa huduma za kiafya kipindi kile yaani madawa na vipimo.Hivyo wagonjwa wengi wa TB walishindwa kupata huduma za vipimo na dawa kwa sababu mbalimbali zikiwemo uelewa,umbali wa kufika vituo vya afya vipimo duni na madawa.

Mgonjwa wa TB aliyekosa kabisa huduma huwezi kumuangalia mara mbili.Sasa ukichanganya na kasumba tuliyomezeshwa ya HIV/AIDS jinsi tulivyotangaziwa na vyombo vya habari kipindi hicho redio ni moja,basi kila kitu kinachotangazwa tunakiamini,hivyo tukasahau kabisa kama dalili za TB ndio zilezile dalili za HIV/AIDS tulizoambiwa;
-Kukonda sana
-kupungua uzito
-kuishiwa nguvu
-homa za mara kwa mara
-Kutapika au kuharisha kutegemeana na aina ya TB(GI TB)
-Kukohoa mara kwa mara nk.

Lakini watu bado wanafunga milango yao ya fahamu kujifanya hawajui kama hizi dalili mtu mwenye TB pia anakuwa nazo eti kwa sababu redio imetangaza kwamba hizi ni dalili za VVU/Ukimwi.Silaumu sana kwa maana elimu na uelewa pia kipindi kile vilikuwa chini sana.

Hakuna mgonjwa yeyote wa TB ambaye nywele zake zilinyonyoka kipindi kile kabla ya ARVs hazijaanza kutumika.Kama mtu ana evidence alete hapa.Baada ya ARVs kuanza kutumika ndio ikaongezeka dalili nyingine ya kunyonyoka nywele au nywele kuwa dhaifu.Pia baada ya ARVs kuanza kutumika,zikaongezeka dalili nyingine kama vile;
-Ugonjwa wa moyo
-Matatizo ya figo
-matatizo ya ini
-tumbo kujaa
-miguu kuvimba
-Upungufu wa damu
-Cancer/saratani

Hayo matatizo niliyotaja hapo juu,hamna hata tatizo moja linalosababishwa na HIV.Kama mtu anapinga alete ushahidi.

Nywele kunyonyoka ni dalili mojawapo ya mtu anayetumia ARVs.ARVs na dawa za chemotherapy zinafanana kwa kuwa na common component.Mgonjwa wa cancer pia akitumia chemotherapy hunyonyoka nywele.Kama mtu anapinga hili pia,aje na evidence.

Watu walikuwa wanadhoofika kabla hata kutangazwa kwa HIV mwaka 1984,yaani miaka ya 1970 na kabla ya hapo,walikuwa wana dalili zote za TB nilizozitaja na watu wa kipindi hicho walikuwa wanaona kwa macho yao.Lakini baada ya kutangazwa kwa HIV,watu wamesahau kabisa kama kuna ugonjwa unaitwa TB na una dalili kama za HIV/AIDS tulizoambiwa/kudanganywa,ama kweli ujinga ni mbaya sana.

Angalizo;
Watu wanaangalia tu upande mmoja,lakini hawajui pia kwamba asilimia ya 97%(WHO data) ya watu waliopimwa wakakutwa na huyu HIV feki katika bara la Afrika hawana AIDS.Asilimia 3% ya walio na huyu HIV feki ndio wana AIDS.Na AIDS waliyonayo inalezeka kisayansi wameipataje,lakini haikusababishwa na huyu HIV feki.

Nikianza kutoa list ya maswali ya kutatanisha kuhusu HIV/AIDS sitamaliza,lakini siko hapa kwa ajili hiyo bali nipo hapa ili kuwaelewesha watu.Lakini kuna watu wamejikita kupinga tu na kuuliza maswali ya mitego ambayo wao wanadhani hayajibiki,kumbe yana majibu rahisi sana.Wanataka wajibiwe,lakini wakijibiwa hawasomi,na wakisoma wanasoma kwa bias,yaani wanasoma huku wakiwa na mlengo wa kupinga.Siwezi kupoteza muda wangu kujadiliana na watu kama hao.

Fahamu pia sasa hivi katika NGO zinazoshughulikia masuala ya HIV/AIDS kuna kitengo kinachohusiana na cervical cancer kwa wanawake.Sasa umeshawahi kujiuliza kwa nini wameweka kitengo hicho ndani ya NGO hizo?

Jibu ni rahisi sana;Ni kwa sababu wanawake wengi wanaotumia ARVs kwa muda mrefu mwishowe hupata cervical cancer,cancer hii haisababishwi na HIV la hasha,husababishwa na matumizi ya ARVs.Dawa za uzazi wa mpango pia husababisha cancer,lakini hapa nazungumzia specifically ARVs.
Je,unajua pia kwa nini mama wajawazito sasa hivi kuna sheria lazima wapimwe HIV?Jibu ni rahisi sana;Hawa jamaa si kwamba wanatupenda saaaana la hasha,bali wanatafuta wateja kinguvu,wanajua kwamba mama wajawazito ni rahisi sana kukutwa HIV+ kutokana na trick waliyoiweka kwenye vipimo vya HIV.Mama wajawazito wana uwezekano mkubwa wa kutoa protein ambazo zinafanana kabisa na zile zinazokuwa targeted na vipimo vyao ambazo hufanya mwili wa mama mjamzito ku generate antibodies dhidi ya hizo protein.Antibodies hizi zikionekana ndizo zinazofanya vipimo vioneshe kwamba mtu ni HIV+.Lakini kuna muda protein hizi zinatoweka kama hali iliyosababisha zitokee ikitoweka.Na ndio maana mtu anaweza kuwa HIV+ leo halafu siku nyingine akapima akawa HIV-.

Hivyo basi,mtu kuwa HIV+ is not a big deal,ni usanii tu wa vipimo.Ila mtu anayetumia ARVs kwa muda mrefu huwa mara nyingi anaonekana HIV+ kutokana na sayansi ya dawa zilivyo.Yaani ndugu yangu haya mambo ni mengi sana na ni mazito,inahitaji utulie sana,huwezi kutulia kama una attitude ya kupinga.

Mtu mwenye attitude ya kupinga hawezi kupata kitu hapa,atarukaruka tu huku na kule.Na ndio maana hawa jamaa pamoja na kwamba nawachukia,lakini hapa wametumia sayansi kubwa sana kudanganya watu.Na kwa jamii hii ya watu ninayoiona humu JF,wataishia kuongozwa kama ng'ombe malishoni,waombe tu wasipimwe HIV+,watajuta,kwa kuwa hawatajua la kufanya ili kujitetea.Na lazima ARVs ziwaue watu kama hawa.
somo zuri sana umetishaa
 
Wana twambia hivi sasa ukipima Tu unaanza kula mashudu. Itakuwa kuna kitu hapa. Kinacho shangaza Nina ndugu kaugua sana kupima anao. Kurudia baadae hana ila kaambiwa asiache kula mashudu
[emoji23][emoji23][emoji23]
Eti mashudu hahaha
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom