Huyu ndiye daktari aliyejichoma sindano ya UKIMWI ili kuthibitisha kuwa UKIMWI ni uongo!

Huyu ndiye daktari aliyejichoma sindano ya UKIMWI ili kuthibitisha kuwa UKIMWI ni uongo!

Status
Not open for further replies.
Hizo taarifa zote hapo juu ni za uwongo....HIV ni habari nnyingine tusidanganye umma.ARV zimesaidia wengi sana nchi hizi zetu za kiafrica.
hatukataa kuwa zinasaidia ila unapaswa kujifunza namna zinafanya kazi then utakubaliana na wengi walochangia hapo awali
 
Ila hawa watu weupe sio wazuri kabisa, kuna kipindi aliekuwa rais wa marekan Bushi alikuja bongo akatoa vyandarua kama sikosei mia nne au laki nne hivi nikajiuliza sana hivi jamaa alishindwa kusaidia jinsi kupunguza au kuondoa kabisa mazalia ya mbu akaona atupe vyandarua wakati asalimia kubwa tunang'atwa na mbu nje ya kitanda, hawa jamaa wanatuona mapoyoyo
mkuu ni hivi wanatuweka katika mazingira ambayo yatatufanya na afya nusu ili tuweze kununua bidhaa zao ikiwa ni dawa, unafikiri ukiletewa dawa zakuangamiza mazalia na mbwu wote si watafunga viwanda vyao? kwahiyo hawatutatulii matatizo ili sisi tuwe soko lao la madawa we jiulize kwanini kwao hamna maleria
 
Hizo taarifa zote hapo juu ni za uwongo....HIV ni habari nnyingine tusidanganye umma.ARV zimesaidia wengi sana nchi hizi zetu za kiafrica.
Je, umeshawahi kujiuliza ni kwanini hadi leo hakuna kipimo cha uwepo 'virusi vya ukimwi'? Badala yake tunapima uwepo wa 'antibodies' ambazo mwili hazalisha ukiumwa magonjwa mbalimbali kama T.B, malaria nk.
 
mkuu ni hivi wanatuweka katika mazingira ambayo yatatufanya na afya nusu ili tuweze kununua bidhaa zao ikiwa ni dawa, unafikiri ukiletewa dawa zakuangamiza mazalia na mbwu wote si watafunga viwanda vyao? kwahiyo hawatutatulii matatizo ili sisi tuwe soko lao la madawa we jiulize kwanini kwao hamna maleria
Nasikia Africa hutumia dollar bilioni 30 kutibu malaria peke yake, kila mwaka, just imagine; kwa style hii hakuna atakaekupa chanjo ya malaria, ni dawa tu ili waendelee kufanya biashara.
 
Nasikia Africa hutumia dollar bilioni 30 kutibu malaria peke yake, kila mwaka, just imagine; kwa style hii hakuna atakaekupa chanjo ya malaria, ni dawa tu ili waendelee kufanya biashara.
wenzetu wanalenga parefu, kumbuka kunakipindi Nigerial walishawahi kukataa hi misaada wakidai inapunguza uwezo wa kupata watoto
 
HIV ni retrovirus.Retrovirus huyu amebambikiziwa jina hili la HIV ili aonekane ana sifa za kusababisha AIDS kitu ambacho si kweli.HIV is a political and commercial/business name,watu wawili tu wamekaa na kuamua apewe jina hilo bila hata single scientific proof/paper published kuthibitisha ukweli huo.Hakuna ugonjwa unaoitwa AIDS unaosababishwa na HIV.Najua hili ni jambo geni kwa wengi,ila ndio ukweli.

Nakaribisha mtu yeyote mwenye mashaka au anayepinga hili na hasa madaktari ndio target yangu maana wao wamelishwa sumu hii wakiwa masomoni.HIV free generation ni ile tu inayojua ukweli ulivyo.

Na ndio maana contradictions haziishi kuhusu ugonjwa huu feki.Karibuni kwenye mjadala ambao utakuondoa kwenye utumwa wa kifikra.
 
HIV ni retrovirus.Retrovirus huyu amebambikiziwa jina hili la HIV ili aonekane ana sifa za kusababisha AIDS kitu ambacho si kweli.HIV is a political and commercial/business name,watu wawili tu wamekaa na kuamua apewe jina hilo bila hata single scientific proof/paper published kuthibitisha ukweli huo.Hakuna ugonjwa unaoitwa AIDS unaosababishwa na HIV.Najua hili ni jambo geni kwa wengi,ila ndio ukweli.

Nakaribisha mtu yeyote mwenye mashaka au anayepinga hili na hasa madaktari ndio target yangu maana wao wamelishwa sumu hii wakiwa masomoni.HIV free generation ni ile tu inayojua ukweli ulivyo.

Na ndio maana contradictions haziishi kuhusu ugonjwa huu feki.Karibuni kwenye mjadala ambao utakuondoa kwenye utumwa wa kifikra.
Mkuu tutoe matongotongo
.hebu anza kutupa somo. Hapa nina pen na karatas kabsa
 
Mkuu tutoe matongotongo
.hebu anza kutupa somo. Hapa nina pen na karatas kabsa
1.Ukimwi hauambukizwi
2.Ukimwi hauambukizwi kwa njia ya ngono
3.HIV hawezi kusababisha ukimwi na hasababishi ukimwi kwa kuwa hana sifa ya kusababisha ukimwi.Nashauri tujitahidi kwenda nje ya mainstream kutafuta habari,mambo mengi tunayoyafahamu kwenye dunia hii hayapo kama tunavyoyaona au kuyasikia,na mambo yamewekwa hivyo kwa sababu maalum kabisa.Anayesikia haya kwa mara ya kwanza atadharau au kufunga milango yake ya fahamu,kufunga milango ya fahamu hakubadilishi ukweli kuwa uongo,ukweli utabaki palepale.
Ukielewa ukweli kuhusu jambo hili utakubaliana na mimi kwamba mtu yeyote anayeogopa HIV ni sawa na kuogopa kivuli chake mwenyewe.Kama una swali lolote ambalo unadhani lina utata kuwa huru kuuliza.Nimetimiza wajibu wangu kutoa dokezo,kama mtu ana dukuduku/swali awe huru kuniuliza.

Hebu gusa link hapo chini kwa kuanzia;

 
1.Ukimwi hauambukizwi
2.Ukimwi hauambukizwi kwa njia ya ngono
3.HIV hawezi kusababisha ukimwi na hasababishi ukimwi kwa kuwa hana sifa ya kusababisha ukimwi.Nashauri tujitahidi kwenda nje ya mainstream kutafuta habari,mambo mengi tunayoyafahamu kwenye dunia hii hayapo kama tunavyoyaona au kuyasikia,na mambo yamewekwa hivyo kwa sababu maalum kabisa.Anayesikia haya kwa mara ya kwanza atadharau au kufunga milango yake ya fahamu,kufunga milango ya fahamu hakubadilishi ukweli kuwa uongo,ukweli utabaki palepale.
Ukielewa ukweli kuhusu jambo hili utakubaliana na mimi kwamba mtu yeyote anayeogopa HIV ni sawa na kuogopa kivuli chake mwenyewe.Kama una swali lolote ambalo unadhani lina utata kuwa huru kuuliza.Nimetimiza wajibu wangu kutoa dokezo,kama mtu ana dukuduku/swali awe huru kuniuliza.

Hebu gusa link hapo chini kwa kuanzia;


Ok, naona umetoa tahadhar zaidi
Tunaomba utuambie kama tuambiwayo ni uongo je ukwel ni upi sasa..??
Binafs nakubaliana nawe kabsa kuwa tuambiwayo ni mengi ni geresha na tunafishwa siri nyng

Naomba pia unielekeze wap naweza pata taarifa hz, na nyngne za siri ambazo tunafishwa
 
HIV/AIDS ni feki kwa kuwa AIDS haisababishwi na HIV na HIV hana uwezo wa kusababisha AIDS na ndio maana kuna mikanganyiko mingi sana sasa,mara watu hukwambia "ni vigumu sana kupata HIV kwa kufanya ngono",ukweli ni kwamba HIV haambukizwi kwa njia ya ngono.Wengine husema "kuna watu wana HIV lakini hawadhuriki" watu hawa huitwa carrier,huu ni uongo pia,kila mtu hawezi kudhurika na HIV,hata wewe pia.Walichofanya hawa jamaa wamefanya utafiti ni contradiction gani inajitokeza kwenye uongo huu waliotulisha halafu wakatafutia majibu yake ili kuendelea kuwapa watu imani kwamba kweli VVU/Ukimwi upo na unaua ilihali kinachoua ni ARVs.
Vipimo vyake ni feki kwa sababu havipimi HIV mwenyewe kwa muonekano kama ilivyo kwenye baadhi ya magonjwa kama vile malaria,TB au Typhoid.Walikataa kutuia electronic microscope kwa kuwa wenyewe wanajua kwamba HIV ni feki,haonekani.Na ndio maana hadi leo hii muulize daktari yeyote ambaye unamwamini wewe ni kichwa kama kashawahi kumuona HIV hata kwa kutumia vyombo vyao katika maisha yake yote ya udaktari,atakwambia hajawahi kumwona,sasa kama hajawahi then nini tunachokiamini basi?Ile picha ya HIV kwenye vitabu vyao waliipata wapi?Vipimo hivi hupima kinga ya mwili dhidi ya protini fulani ambazo zinaaminika zinatoka kwa HIV lakini sio specific kwa HIV pekee,kuna mambo mengine ndani ya mwili huweza kuzalisha protini hizo na mtu akaonekana ana HIV kwa kutumia vipimo hivi(kumbuka bado kwamba HIV hasababishi ukimwi).Mojawapo ya mambo hayo ni magonjwa mbalimbali kama vile TB,hali ya mimba kwa wanawake pia husababisha kuzalishwa/kutolewa kwa protini hizo.Haya ninayoongea kamwambie daktari yeyote yule mwelewa hatapinga.
Ok, naona umetoa tahadhar zaidi
Tunaomba utuambie kama tuambiwayo ni uongo je ukwel ni upi sasa..??
Binafs nakubaliana nawe kabsa kuwa tuambiwayo ni mengi ni geresha na tunafishwa siri nyng

Naomba pia unielekeze wap naweza pata taarifa hz, na nyngne za siri ambazo tunafishwa
Bado nipo macho nasubiria majibu
 
Bado nipo macho nasubiria majibu

Kabla ya kutoa uthibitisho wangu,ninyi wenyewe wana JF mnatoa uthibitisho.Hakuna chanjo ya ukimwi.Hata mimi naweza kutembea na mtu anayetumia ARVs bila kinga mara nyingi na naweza pia kujikata na kujiwekea damu ya mtu huyo na siwezi kupata ukimwi/VVU.By nature,ugonjwa huu haupo,ila jamaa wametumia akili nyingi tu kudanganya watu,wametumia uongo wa kisayansi ili watu waamini kama kweli ugonjwa huu wa HIV/AIDS upo kitu ambacho si kweli.Watu wanajua kwamba AIDS inasababishwa na HIV hivyo mtu hupewa ARVs,kumbe ARVs baada ya muda fulani ndio husababisha AIDS,hili watu wamefumbwa,hawalijui.Na kama mtu yeyote anaumwa na hatumii ARVs basi lazima atakuwa na tatizo la msingi linamsumbua na akipewa dawa husika anapona kabisa na haitajia kula ARVs maisha yake yote hata kama ameonekana ana HIV
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom