FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
- Thread starter
- #61
Usiwe kama mtu mwenye wazimu, wapi katika huu uzi nimekwambia ukajichome? Huu ni mjadala tu, hakuna kitu conclusive hapa..Ngoja nikajichome....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiwe kama mtu mwenye wazimu, wapi katika huu uzi nimekwambia ukajichome? Huu ni mjadala tu, hakuna kitu conclusive hapa..Ngoja nikajichome....
HeheheMitandao ya simu Mungu anawaona. Tsh 1000 napata MB200 na hii video ina MB146 ntaingalia vipi?
Mimi nataka kuconclude mwenyewe ninyi endelea kujadiliana.Usiwe kama mtu mwenye wazimu, wapi katika huu uzi nimekwambia ukajichome? Huu ni mjadala tu, hakuna kitu conclusive hapa..
aiseeWalimuua ili isije watu wakashangaa mbona kila akipima Ukimwi hakutwi nao na wala haumwi? Ili kufuta ushahidi wakammaliza, nahisi.
Nilipoteza Kaka zangu wawili wakubwa kisa huu upuuzi wa ukimwi,ndio nikaanza fanyia utafiti na asilimia kubwa zikabase kwenye biashara ya wafanyabiashara wakubwa wenye madawa... Siamini hadi kesho...kweli mkuu kitu kinachofanyika hapo ni kufanya biashara kwa kukufanya kuwa sugu/addicted kwahiyo ukashaanza kutumia tuu ujue imekuwa tabu na wenyewe wakiwa wanalijua hilo wanahamasisha upimaji zaidi kuliko uchukuaji wa hadhari
Exactly, nakumbuka nimewahi kufanya kazi shirika linalohusika na mambo ya hiv aids na wazungu nilikua nawaambia kabisa ukiamini hapa umekufa, wale wazungu hawakuwa wanajua kiswahili so nilowaokoa wengi tu kwa upuuzi wa hawa watu weupeHayo mashudu yanaweza yakampunguzia kinga kulingana na maelezo ya huyo daktari, na pia inawezekana alipima wakati anaugua labda T.B, hivyo antibodies zikawa nyingi, kumbuka, kipimo cha ukimwi hakipimi virusi vya ukimwi, bali vinapima viwango vya hizo chembe chembe ambazo mwili huzalisha unapokuwa unaumwa magonjwa mbalimbali
Hivi ni kwanini nguvu nyingi inatumika kushawishi watu wapime zaidi badala ya kuendelea kuwahimiza kujikinga?kweli mkuu kitu kinachofanyika hapo ni kufanya biashara kwa kukufanya kuwa sugu/addicted kwahiyo ukashaanza kutumia tuu ujue imekuwa tabu na wenyewe wakiwa wanalijua hilo wanahamasisha upimaji zaidi kuliko uchukuaji wa hadhari
Hivi dozi moja ya ARV ni shilingi ngapi? Na ni kampuni ipi hapa duniani/nchini waliokula hii tenda?Ukimwi ni Biashara za makampuni ya madawa
Ndio hapo sasa??? Kwanini nguvu nyingi isielekezwe kwenye kiwahimiza watu wale vyakula safi yaan balanced diet na kufanya mazoezi na kupata muda wa kupumzika vizuri??? They want to do business that's why they hid so many important information from us illiteratesHivi ni kwanini nguvu nyingi inatumika kushawishi watu wapime zaidi badala ya kuendelea kuwahimiza kujikinga?
Sawa, we conclude tuMimi nataka kuconclude mwenyewe ninyi endelea kujadiliana.
hahahaaMitandao ya simu Mungu anawaona. Tsh 1000 napata MB200 na hii video ina MB146 ntaingalia vipi?
mtihani sana "" haya mambo Deception alishAyapigia kelele mnoo humu ", laKini watu wakawa wanampinga" ..kinachomaliza watu ni TB.. nasio HIV+ kama ambavyo tunavyoaminishwaHivi ni kwanini nguvu nyingi inatumika kushawishi watu wapime zaidi badala ya kuendelea kuwahimiza kujikinga?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mitandao ya simu Mungu anawaona. Tsh 1000 napata MB200 na hii video ina MB146 ntaingalia vipi?
Wizara ya Afya ndo wanazinunua hizo mkuu, kwa bei sijajuaHivi dozi moja ya ARV ni shilingi ngapi? Na ni kampuni ipi hapa duniani/nchini waliokula hii tenda?
Aisee, this is huge business! Nani kala hii tenda ya kuisupply wizara?Wizara ya Afya ndo wanazinunua hizo mkuu, kwa bei sijajua
Ila vya kununua ni vingi sana kuanzia madawa mpk vifaa vya vipimo mbal mbali
maranyingi ukipima hata ka ulikuwa na matatizo au ugonjwa kinga za mwili zinaweza kuwa chini na ikiwa chini tuu tafsiri yake ni kuwa una HIV, ila hukimbilia kushauri watu kupima ka wana HIV waanze dawa mapema, na hapo ndipo watu huanza kuua na kujimaliza maana ukigusa ARV tuu unawa ka mtu aliye tumia madawa ya kulevya kwa muda yani ukiacha ndipo unakufa haraka tofauti na mtu ambaye alikuwa hajatumia. katika bei ni serikali ndiyo inanunua na kuwapatia wanachi, kama wachangiaji wengine walivyosema kinachoua ni magonjwa mengine kwahiyo ukitibiwa hayo na ukala vizuri ukafanya mazoezi na kupumzika ipasavyo utaishi miaka mingi kiasi kikubwa tofauti na hizidawa tupewazo maana dawa zikizidi mwilini zinajenga sumu taratibu mwisho tunakufa kibudu kutokana na simu kwenye ini na viungo vingine, yani ukiumwa kaugonjwa kadogo unapondoka maana mwili unakuwa na sumu nyingi zitokanazo na dawa hizoHivi ni kwanini nguvu nyingi inatumika kushawishi watu wapime zaidi badala ya kuendelea kuwahimiza kujikinga?
Hivi sasa kawa kama kachanganyikiwa afya yake haija rudi kama zamani sasa ndugu wengine wana sema karogwa.Hayo mashudu yanaweza yakampunguzia kinga kulingana na maelezo ya huyo daktari, na pia inawezekana alipima wakati anaugua labda T.B, hivyo antibodies zikawa nyingi, kumbuka, kipimo cha ukimwi hakipimi virusi vya ukimwi, bali vinapima viwango vya hizo chembe chembe ambazo mwili huzalisha unapokuwa unaumwa magonjwa mbalimbali
Exactly nusura nimpoteze Kaka yangu mwingine tuliletewa hivyo vipimo na Kaka yangu ambaye ni doctor kupima jamaa akaonekana anao, weeee akapagawa akakimbilia angaza akaambiwa hauna yaaani unaweza kufa hivi hivi ukijionamaranyingi ukipima hata ka ulikuwa na matatizo au ugonjwa kinga za mwili zinaweza kuwa chini na ikiwa chini tuu tafsiri yake ni kuwa una HIV, ila hukimbilia kushauri watu kupima ka wana HIV waanze dawa mapema, na hapo ndipo watu huanza kuua na kujimaliza maana ukigusa ARV tuu unawa ka mtu aliye tumia madawa ya kulevya kwa muda yani ukiacha ndipo unakufa haraka tofauti na mtu ambaye alikuwa hajatumia. katika bei ni serikali ndiyo inanunua na kuwapatia wanachi, kama wachangiaji wengine walivyosema kinachoua ni magonjwa mengine kwahiyo ukitibiwa hayo na ukala vizuri ukafanya mazoezi na kupumzika ipasavyo utaishi miaka mingi kiasi kikubwa tofauti na hizidawa tupewazo maana dawa zikizidi mwilini zinajenga sumu taratibu mwisho tunakufa kibudu kutokana na simu kwenye ini na viungo vingine, yani ukiumwa kaugonjwa kadogo unapondoka maana mwili unakuwa na sumu nyingi zitokanazo na dawa hizo