Huyu ndiye daktari aliyejichoma sindano ya UKIMWI ili kuthibitisha kuwa UKIMWI ni uongo!

Huyu ndiye daktari aliyejichoma sindano ya UKIMWI ili kuthibitisha kuwa UKIMWI ni uongo!

Status
Not open for further replies.
Daima nimekua nawaambia watu there is nothing as UKIMWI, this is a modern brain masturbation kuwahadaa the least developed countries... At first niliamini but after researching nikabaini hamna kitu kama hicho and once umetumia ARV tu you're dead
 
Umeshawahi kujiuliza ni kwanini hadi leo hakuna kipimo cha kupima uwepo wa 'VIRUSI VYA UKIMWI'? Badala yake tunapima uwepo wa 'ANTI-BODIES' ambazo mtu huzalisha mwilini hata akiwa anaumwa T.B au Malaria?
Mkuu hii mada ya VVU ni pana kuliko baadhi ya members wanavyoichukulia. Inataka utulivu wa akili na tafakuri ya kina ili mtu aruhusu jambo jipya liingie kwenye ufahamu wake tofauti na alivyoaminishwa miaka na miaka.

Iko mada ilipandishwa toka mwaka 2013 moja ya wachangiaji maridadi kabisa ni bwana deception. Kwenye mada hiyo kuna mengi ya kujifunza kuhusu VVU, endapo mtu atapata muda apitie link hapo chini. Apate mambo mapya.

Inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

 
Very true! But HIV/AIDS weakens your body immune and leave it free for even fungus to kill you!
kweli mkuu kitu kinachofanyika hapo ni kufanya biashara kwa kukufanya kuwa sugu/addicted kwahiyo ukashaanza kutumia tuu ujue imekuwa tabu na wenyewe wakiwa wanalijua hilo wanahamasisha upimaji zaidi kuliko uchukuaji wa hadhari
 
Wana twambia hivi sasa ukipima Tu unaanza kula mashudu. Itakuwa kuna kitu hapa. Kinacho shangaza Nina ndugu kaugua sana kupima anao. Kurudia baadae hana ila kaambiwa asiache kula mashudu
Hayo mashudu yanaweza yakampunguzia kinga kulingana na maelezo ya huyo daktari, na pia inawezekana alipima wakati anaugua labda T.B, hivyo antibodies zikawa nyingi, kumbuka, kipimo cha ukimwi hakipimi virusi vya ukimwi, bali vinapima viwango vya hizo chembe chembe ambazo mwili huzalisha unapokuwa unaumwa magonjwa mbalimbali
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom