Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ttcl 1000 4Gb masaa 24. Speed full 4G. *148*30# 4. Bandika bandua. Kifurushi cha siku yaani masaa 24. Kuanzia saa 6 mpaka 12 asubuhi 1000 unapata 10gb. Muda wa kudownload series na muvi na kuupdate mashine.Tafuten lain ya ttcl 1500 gb2 ba 3000 gb4 kwa mwezi
NadhaniAlafu leo nyuzi zinazohusiana kwa namna moja au nyingine hiv/aids mbona nyingi sana humu? Kunani?
Leo ni siku ya UKIMWI hapa JFAlafu leo nyuzi zinazohusiana kwa namna moja au nyingine hiv/aids mbona nyingi sana humu? Kunani?
Umeshawahi kujiuliza ni kwanini hadi leo hakuna kipimo cha kupima uwepo wa 'VIRUSI VYA UKIMWI'? Badala yake tunapima uwepo wa 'ANTI-BODIES' ambazo mtu huzalisha mwilini hata akiwa anaumwa T.B au Malaria?Ngoma ipo. Ni halisi na kweli. ARV zona side effect zake, ni sawa. Huyu mbeki ni Psycho. Na sio Mwanasayansi
Hapana, huu ni mjadala na hakuna kitu conclusive hapa. Tujikinge kama kawaida.Hii thread nzuri inatupa kila sababu kutandaza miti bila uoga peku na kujiamini
Kufa utakufa tuu
Tandaza miti kwa kujiamini
Hapana, huu ni mjadala, na hakuna kitu conclusive hapa.Duh! Kwaiyo tuwashauri watu wasitumie ARV?
sawa GT nimekuelewa. Ila nondo zako na madini katika civil engineering nakukubaliHapana, huu ni mjadala na hakuna kitu conclusive hapa. Tujikinge kama kawaida.