1. UKiMWi ni upungufu wa kinga mwilini. Na MTU yoyote anaye ugua maana yake alipata upungufu wa ndo maana ugonjwa ukamshambulia. Ushahidi ni wewe mwenyewe kama uliwahi kuugua ukatumia dawa ukapona.
2. Ngono hainezi UKIMWI. Na ukimwi hauambukizwi. Unapatikana kwa
- matumizi ya madawa kwa mda mrefu
- msongo wa mawazo
-lishe mbovu
- matumizi ya madawa ya kulevya
Katika swala la Botswana nenda kachunguze utakuta walikuwa wanakufa kwa ugonjwa unaojulikana ila akasingiziwa UKIMWI. Vile vile tunaambiwa kuwa virusi vya ukimwi vinaweza kukaa katika mwili wa binadamu kwa miaka mingi mpaka MTU uweze kuanza kuonyesha dalili. Sasa swali Je ni nini kilitokea huko Botwasana na hapa kwetu kagera watu wakaanza kufa tu ghafla baada tu ya kuambukizwa huo ukimwi. Kwanini virusi kwao vilianza kuwaua haraka kuliko watu wa sehemu nyingine?
3. Hiyo namba tatu ni uongo. Hakuna MTU anayekufa kwa ukimwi. Kila MTU anakufa kwa ugonjwa unaojulikana na kwenye tiba. Hao inawezekana wakawa wanakutwa na UKiMWi kwa sababu ya msongo wa mawazo maana hiyo ni sababu mojawapo ya UKIMWI. Ila unatakiwa ufanye utafiti ujue kwanin wanakufa ndo utapata majibu ya ukweli
4. Sasa hilo swala ndo unatakiwa ujishangae mwengewe kwa nini hiyo HIV/AIDS inashambukia weusi tu na sio weupe. Na uje na sababu za kitaalamu zinazofanya huo ugonjwa wenu ubague rangi ya ngozi. Na unipe mfano wa ugonjwa mwingine unoa UA weusi kwa wingi na weupe wasife
5.kila MTU anakufa kwa ugonjwa unaojulikana. hiyo HIV/AIDS inasingiziwa tu. Sisi Huduma zetu za kiafya ni duni ndo maana tunakufa sana na matatizo ya kiafya. Tunashindwa kutibu malaria. Hata kipindi pindu kinaua watu. Hao matajiri wanakufa kwa magonjwa yanayojulikana chunguza utaona.acha habari ya kusingizia virusi vya ukimwi
Umenisikitisha sana tena sana maana umejibu, porojo
Tulia uje na majibu, ya kiutafiti, na kisayansi, achen kukurupuka kusema ukimwi haupo, wakati mkiulizwa maswali, kama hayo niliokuuliza unajibu, porojo.
Nimekuuliza kama, kule Botswana na Kagera Bukoba walikufa kwa magonjwa mengine yataje hayo magonjwa mengne ambayo hayana tiba hadi, kuuwa watu kwa wing kiasi hicho... - unijibu, pia kwann sahv hatuoni, watu wakifa kwa mkupuo kama wa zama zile..
Pia kama unasema kinachotuuwa ni mawazo hapa naomba unijibu kwann mawazo yatuuwe sisi weusi na si weupe
Pia unijibu hv ni kwel huwa binadamu, hatunaga mawazo(stress) kabisa katika maisha yetu, hadi ukiambiwa una ukimw ndio, mawazo yanakuja..??
Hv, unajua kuwa Cancer haina dawa
Hv unajua Heipatites B,& C hazina dawa kabsa na zinauwa sana tu
Hv unajua Homa ya Ini haina dawa
Ila kwann watu wa magonjwa hawafi kwa mawazo, hadi, ukimwi, ndio msingizie wanakufa kwa mawazo..??
Your judging,this debate in a,very,low approach..