Huyu ndiye daktari aliyejichoma sindano ya UKIMWI ili kuthibitisha kuwa UKIMWI ni uongo!

Huyu ndiye daktari aliyejichoma sindano ya UKIMWI ili kuthibitisha kuwa UKIMWI ni uongo!

Status
Not open for further replies.
Huyo daktari hapo mwisho mimi kanifumbua. UKIMWI kama unavyojieleza ni 'upungufu wa kinga mwilini' hili tatizo la upungufu wa kinga limekuwepo tangu enzi za 'Adam na Hawa' likisababishwa na vitu vingi kama ukosefu wa lishe bora na magonjwa mbali mbali ambayo yanaweza kupelekea kinga ya mwili kushuka, hivyo huwezi kusema 'Upungufu wa kinga mwilini (Ukimwi)haupo, UPO. Tatizo linakuja pale watu wanapohusisha kirusi kinachoitwa 'Retro-virus' / (HIV) na huo upungufu. Huyu Retro-virus anapoingia mwilini mwako, mwili wako huzalisha 'anti-bodies' maalum kwa ajili ya kupambana nae na kummaliza kabisa, na ndio maana hata ukijaribu kumpima physically kwenye damu ni ngumu sana kumuona kwani anakuwa amebaki mchache sana au wanakuwa wamemalizwa; na hapo tunasema mwili wako umeshatengeneza kinga dhidi yake (yaani una antibodies zake/ au tunaita vaccine/ kinga yake), hivyo hawezi kukudhuru tena. Sasa siku ukienda kupima 'Virusi vya ukimwi' hawatakupima virusi vya ukimwi, ni uongo, watakudanganya kwamba wamekupima hivyo virusi lakini ukweli ni kwamba watapima uwepo wa hizo antibodies/kinga dhidi ya huyo kirusi, wakigundua tu kwamba mwili wako una hiyo kinga/ antibodies basi watakwambia wewe 'una virusi vya ukimwi, WHICH IS NOT TRUE! EVEN YOU CAN SEET THAT NOW! Sasa kitakachokupa UKIMWI ni zile sumu, maana wanasema hayo madawa ya AZT na ARV ni HIGHLY TOXIC, na unatumia kwa miaka mingi na mara kwa mara, lazima tu utaugua ugonjwa wa INI na FIGO kwa kunywa hizo sumu, na eventually kinga ya mwili itashuka, na utakonda tu kwa mawazo, halafu ndio wanaita umekufa kwa UKIMWI, WAXENGE SANA WAZUNGU ***** ZAO!
Hahahahh
 
ARV hazijaja juzi.Fuatilia kwa makini.Kuna link imetumwa juu hapo kuna mengi unaweza jifunza
Hizo ARV unazosema ni za zamani, zilikuwepo Ulaya na Marekan
Huku kwetu zimekuja majuz tu hapa.
Sijui, umri wako, je unajua wangap walifarik, zama zile ARV hazijafika..?
 
Mkuu. Hakuna MTU aliiyekufa kwa UKIMWI, hata wao wenyewe wanaoneza propaganda za HIV/AIDS wanasema kabisa haiui ila mtu anakufa kwa magonjwa nyemelezi. Kwa hiyo kila mgonjwa wa hi wanayosema HIV/AIDS anakufa kwa ugonjwa Fulani ambao unajulikana. Inawezekana ikawa malaria, TB au mengineyo.
Naomba unijibu haya maswali..
1. JE UNA USHAHIDI WA WATU WALIOGUNDULIKA NA UKIMWI HALAFU WAKAJITIBU HAYO MAGOMJWA NYEMELEZ KISHA WAKAPONA..??

2. NMEKUULIZA KAMA NGONO HAIENEZ UKIMW NN INAENEZA TENA KWA KASI SANA.. Mfano ni Botswana waliisha watu ila baada ya kudhibiti ngono zembe basi ikaisha kama sio kupungua. Mifano ni mingi kuwa toka watu waache ngono zembe ndio rate ys vifo na wagonjwa ikapungua.

3. NIMEKUULIZA KAMA UKIMW HAUPO NA HAUAMBUKIZW KWA NGONO..IWEJE MTU ANAYEKUFA KWA UKIMWI AKIANDIKA LIST YA ALIOLALA NAO BASI SIKU SI NYNG NAO WANAKUFA

4. NIMEKUULIZA KAMA VIRUS HAVIPO IWEJE WATU WEUS PEKEE NDIO TUNASHAMBULIWA KWA KASI NA UGONJWA HUU HATA KAMA UPO MAREKANI/ULAYA.. as so long you are black basi ukiambukizwa unakufa. Weupe hawaadhirik kama sis

5. NIMEKUULIZA UKISEMA ISHU NI KINGA ZETU KUWA ZINAKUWA NDOGO KISA NUTRITION , HIVI HII INAUKWELI GANI WAKATI MAREKANI BLACK-AMERCAN WENYE PESA ZAO BADO WANAKUFA NA HATA HAPA KWETU TUSINGEZIKA MATAJIRI WENYE HELA ZA KUTOSHA ZA KUNUNUA HVYO VYAKULA
 
HIV/AIDS au VVU/UKIMWI hauambukizwi kwa njia ya ngono/sex na HIV hasababishi ukimwi.Jitahidini kidogo ku stretch uwezo wenu,elimu ipo lakini mnairuka kwa makusudi.

HIV/AIDS is a mindset disease.Sijui kama nitaeleweka kwa kusema hivi.Yaani ugonjwa huu haupo kiuhalisia,kinachoua si HIV bali kinachoua ni ARVs kwa wale wanaozitumia.Hata kama mtu hatumii ARVs na amedhoofika wewe mpime tu utagundua kwamba lazima awe na ugonjwa fulani unaofahamika,aidha TB,Pneumonia,Cancer nk.

Watu wanadhani mimi nimekurupuka kwa siku moja tu na kuja kuandika yote haya,la hasha nimefuatilia na kufanya tafiti ya mambo haya kwa zaidi ya miaka 5.Watu wanachukulia kirahisi sana,hawagundui hata kwa nini mimi ninawaeleza haya,hawagundui hata kidogo upendo huu ninaouonesha kwao.
Naomba unijibu, haya maswali hapa..
1. JE UNA USHAHIDI WA WATU WALIOGUNDULIKA NA UKIMWI HALAFU WAKAJITIBU HAYO MAGOMJWA NYEMELEZ KISHA WAKAPONA..??

2. NMEKUULIZA KAMA NGONO HAIENEZ UKIMW NN INAENEZA TENA KWA KASI SANA.. Mfano ni Botswana waliisha watu ila baada ya kudhibiti ngono zembe basi ikaisha kama sio kupungua. Mifano ni mingi kuwa toka watu waache ngono zembe ndio rate ys vifo na wagonjwa ikapungua.

3. NIMEKUULIZA KAMA UKIMW HAUPO NA HAUAMBUKIZW KWA NGONO..IWEJE MTU ANAYEKUFA KWA UKIMWI AKIANDIKA LIST YA ALIOLALA NAO BASI SIKU SI NYNG NAO WANAKUFA

4. NIMEKUULIZA KAMA VIRUS HAVIPO IWEJE WATU WEUS PEKEE NDIO TUNASHAMBULIWA KWA KASI NA UGONJWA HUU HATA KAMA UPO MAREKANI/ULAYA.. as so long you are black basi ukiambukizwa unakufa. Weupe hawaadhirik kama sis

5. NIMEKUULIZA UKISEMA ISHU NI KINGA ZETU KUWA ZINAKUWA NDOGO KISA NUTRITION , HIVI HII INAUKWELI GANI WAKATI MAREKANI BLACK-AMERCAN WENYE PESA ZAO BADO WANAKUFA NA HATA HAPA KWETU TUSINGEZIKA MATAJIRI WENYE HELA ZA KUTOSHA ZA KUNUNUA HVYO VYAKULA
 
Naomba unijibu haya maswali..
1. JE UNA USHAHIDI WA WATU WALIOGUNDULIKA NA UKIMWI HALAFU WAKAJITIBU HAYO MAGOMJWA NYEMELEZ KISHA WAKAPONA..??

2. NMEKUULIZA KAMA NGONO HAIENEZ UKIMW NN INAENEZA TENA KWA KASI SANA.. Mfano ni Botswana waliisha watu ila baada ya kudhibiti ngono zembe basi ikaisha kama sio kupungua. Mifano ni mingi kuwa toka watu waache ngono zembe ndio rate ys vifo na wagonjwa ikapungua.

3. NIMEKUULIZA KAMA UKIMW HAUPO NA HAUAMBUKIZW KWA NGONO..IWEJE MTU ANAYEKUFA KWA UKIMWI AKIANDIKA LIST YA ALIOLALA NAO BASI SIKU SI NYNG NAO WANAKUFA

4. NIMEKUULIZA KAMA VIRUS HAVIPO IWEJE WATU WEUS PEKEE NDIO TUNASHAMBULIWA KWA KASI NA UGONJWA HUU HATA KAMA UPO MAREKANI/ULAYA.. as so long you are black basi ukiambukizwa unakufa. Weupe hawaadhirik kama sis

5. NIMEKUULIZA UKISEMA ISHU NI KINGA ZETU KUWA ZINAKUWA NDOGO KISA NUTRITION , HIVI HII INAUKWELI GANI WAKATI MAREKANI BLACK-AMERCAN WENYE PESA ZAO BADO WANAKUFA NA HATA HAPA KWETU TUSINGEZIKA MATAJIRI WENYE HELA ZA KUTOSHA ZA KUNUNUA HVYO VYAKULA
1. UKiMWi ni upungufu wa kinga mwilini. Na MTU yoyote anaye ugua maana yake alipata upungufu wa ndo maana ugonjwa ukamshambulia. Ushahidi ni wewe mwenyewe kama uliwahi kuugua ukatumia dawa ukapona.
2. Ngono hainezi UKIMWI. Na ukimwi hauambukizwi. Unapatikana kwa
- matumizi ya madawa kwa mda mrefu
- msongo wa mawazo
-lishe mbovu
- matumizi ya madawa ya kulevya
Katika swala la Botswana nenda kachunguze utakuta walikuwa wanakufa kwa ugonjwa unaojulikana ila akasingiziwa UKIMWI. Vile vile tunaambiwa kuwa virusi vya ukimwi vinaweza kukaa katika mwili wa binadamu kwa miaka mingi mpaka MTU uweze kuanza kuonyesha dalili. Sasa swali Je ni nini kilitokea huko Botwasana na hapa kwetu kagera watu wakaanza kufa tu ghafla baada tu ya kuambukizwa huo ukimwi. Kwanini virusi kwao vilianza kuwaua haraka kuliko watu wa sehemu nyingine?
3. Hiyo namba tatu ni uongo. Hakuna MTU anayekufa kwa ukimwi. Kila MTU anakufa kwa ugonjwa unaojulikana na kwenye tiba. Hao inawezekana wakawa wanakutwa na UKiMWi kwa sababu ya msongo wa mawazo maana hiyo ni sababu mojawapo ya UKIMWI. Ila unatakiwa ufanye utafiti ujue kwanin wanakufa ndo utapata majibu ya ukweli
4. Sasa hilo swala ndo unatakiwa ujishangae mwengewe kwa nini hiyo HIV/AIDS inashambukia weusi tu na sio weupe. Na uje na sababu za kitaalamu zinazofanya huo ugonjwa wenu ubague rangi ya ngozi. Na unipe mfano wa ugonjwa mwingine unoa UA weusi kwa wingi na weupe wasife
5.kila MTU anakufa kwa ugonjwa unaojulikana. hiyo HIV/AIDS inasingiziwa tu. Sisi Huduma zetu za kiafya ni duni ndo maana tunakufa sana na matatizo ya kiafya. Tunashindwa kutibu malaria. Hata kipindi pindu kinaua watu. Hao matajiri wanakufa kwa magonjwa yanayojulikana chunguza utaona.acha habari ya kusingizia virusi vya ukimwi
 
Naomba unijibu haya maswali..
1. JE UNA USHAHIDI WA WATU WALIOGUNDULIKA NA UKIMWI HALAFU WAKAJITIBU HAYO MAGOMJWA NYEMELEZ KISHA WAKAPONA..??

2. NMEKUULIZA KAMA NGONO HAIENEZ UKIMW NN INAENEZA TENA KWA KASI SANA.. Mfano ni Botswana waliisha watu ila baada ya kudhibiti ngono zembe basi ikaisha kama sio kupungua. Mifano ni mingi kuwa toka watu waache ngono zembe ndio rate ys vifo na wagonjwa ikapungua.

3. NIMEKUULIZA KAMA UKIMW HAUPO NA HAUAMBUKIZW KWA NGONO..IWEJE MTU ANAYEKUFA KWA UKIMWI AKIANDIKA LIST YA ALIOLALA NAO BASI SIKU SI NYNG NAO WANAKUFA

4. NIMEKUULIZA KAMA VIRUS HAVIPO IWEJE WATU WEUS PEKEE NDIO TUNASHAMBULIWA KWA KASI NA UGONJWA HUU HATA KAMA UPO MAREKANI/ULAYA.. as so long you are black basi ukiambukizwa unakufa. Weupe hawaadhirik kama sis

5. NIMEKUULIZA UKISEMA ISHU NI KINGA ZETU KUWA ZINAKUWA NDOGO KISA NUTRITION , HIVI HII INAUKWELI GANI WAKATI MAREKANI BLACK-AMERCAN WENYE PESA ZAO BADO WANAKUFA NA HATA HAPA KWETU TUSINGEZIKA MATAJIRI WENYE HELA ZA KUTOSHA ZA KUNUNUA HVYO VYAKULA
Usidandie treni kwa mbele, hayo yote yameshajibiwa kwenye post za nyuma
 
1. UKiMWi ni upungufu wa kinga mwilini. Na MTU yoyote anaye ugua maana yake alipata upungufu wa ndo maana ugonjwa ukamshambulia. Ushahidi ni wewe mwenyewe kama uliwahi kuugua ukatumia dawa ukapona.
2. Ngono hainezi UKIMWI. Na ukimwi hauambukizwi. Unapatikana kwa
- matumizi ya madawa kwa mda mrefu
- msongo wa mawazo
-lishe mbovu
- matumizi ya madawa ya kulevya
Katika swala la Botswana nenda kachunguze utakuta walikuwa wanakufa kwa ugonjwa unaojulikana ila akasingiziwa UKIMWI. Vile vile tunaambiwa kuwa virusi vya ukimwi vinaweza kukaa katika mwili wa binadamu kwa miaka mingi mpaka MTU uweze kuanza kuonyesha dalili. Sasa swali Je ni nini kilitokea huko Botwasana na hapa kwetu kagera watu wakaanza kufa tu ghafla baada tu ya kuambukizwa huo ukimwi. Kwanini virusi kwao vilianza kuwaua haraka kuliko watu wa sehemu nyingine?
3. Hiyo namba tatu ni uongo. Hakuna MTU anayekufa kwa ukimwi. Kila MTU anakufa kwa ugonjwa unaojulikana na kwenye tiba. Hao inawezekana wakawa wanakutwa na UKiMWi kwa sababu ya msongo wa mawazo maana hiyo ni sababu mojawapo ya UKIMWI. Ila unatakiwa ufanye utafiti ujue kwanin wanakufa ndo utapata majibu ya ukweli
4. Sasa hilo swala ndo unatakiwa ujishangae mwengewe kwa nini hiyo HIV/AIDS inashambukia weusi tu na sio weupe. Na uje na sababu za kitaalamu zinazofanya huo ugonjwa wenu ubague rangi ya ngozi. Na unipe mfano wa ugonjwa mwingine unoa UA weusi kwa wingi na weupe wasife
5.kila MTU anakufa kwa ugonjwa unaojulikana. hiyo HIV/AIDS inasingiziwa tu. Sisi Huduma zetu za kiafya ni duni ndo maana tunakufa sana na matatizo ya kiafya. Tunashindwa kutibu malaria. Hata kipindi pindu kinaua watu. Hao matajiri wanakufa kwa magonjwa yanayojulikana chunguza utaona.acha habari ya kusingizia virusi vya ukimwi
Umenisikitisha sana tena sana maana umejibu, porojo
Tulia uje na majibu, ya kiutafiti, na kisayansi, achen kukurupuka kusema ukimwi haupo, wakati mkiulizwa maswali, kama hayo niliokuuliza unajibu, porojo.

Nimekuuliza kama, kule Botswana na Kagera Bukoba walikufa kwa magonjwa mengine yataje hayo magonjwa mengne ambayo hayana tiba hadi, kuuwa watu kwa wing kiasi hicho... - unijibu, pia kwann sahv hatuoni, watu wakifa kwa mkupuo kama wa zama zile..
Pia kama unasema kinachotuuwa ni mawazo hapa naomba unijibu kwann mawazo yatuuwe sisi weusi na si weupe
Pia unijibu hv ni kwel huwa binadamu, hatunaga mawazo(stress) kabisa katika maisha yetu, hadi ukiambiwa una ukimw ndio, mawazo yanakuja..??
Hv, unajua kuwa Cancer haina dawa
Hv unajua Heipatites B,& C hazina dawa kabsa na zinauwa sana tu
Hv unajua Homa ya Ini haina dawa
Ila kwann watu wa magonjwa hawafi kwa mawazo, hadi, ukimwi, ndio msingizie wanakufa kwa mawazo..??

Your judging,this debate in a,very,low approach..
 
Usidandie treni kwa mbele, hayo yote yameshajibiwa kwenye post za nyuma
Wewe ndio, unadandia. Mi nipo kwenye hii mada toka imeanza na
haya maswali, nimeyauliza ktk, post no.7 ila hakuna aliyeyajibu mmebaki, kuruka ruka tu.
Jibuni, haya maswali tena kiufasaha kwa kuzingatia tafiti. Acheni, kuaminisha watu, hakuna ukimwi, wakati, ushahid, hamna.
Soma post hapo, juu, niliyomuuliza Matthew.
Hasa swali la kwanza na la nne jibu, with scientific proof.. msirukeruke kuhadaa watu
 
Kabla ya kutoa uthibitisho wangu,ninyi wenyewe wana JF mnatoa uthibitisho.Hakuna chanjo ya ukimwi.Hata mimi naweza kutembea na mtu anayetumia ARVs bila kinga mara nyingi na naweza pia kujikata na kujiwekea damu ya mtu huyo na siwezi kupata ukimwi/VVU.By nature,ugonjwa huu haupo,ila jamaa wametumia akili nyingi tu kudanganya watu,wametumia uongo wa kisayansi ili watu waamini kama kweli ugonjwa huu wa HIV/AIDS upo kitu ambacho si kweli.Watu wanajua kwamba AIDS inasababishwa na HIV hivyo mtu hupewa ARVs,kumbe ARVs baada ya muda fulani ndio husababisha AIDS,hili watu wamefumbwa,hawalijui.Na kama mtu yeyote anaumwa na hatumii ARVs basi lazima atakuwa na tatizo la msingi linamsumbua na akipewa dawa husika anapona kabisa na haitajia kula ARVs maisha yake yote hata kama ameonekana ana HIV
Kuna siku nilikuwa nawaza pekee yangu
Nkasema huu ukimwi wanasema Mara kinga zimeshuka
Mara mwili unashambuliwa na magonjwa nyemelezi
Nkasema kwann basi
Wasimpatie mgonjwa dawa za kila gonjwa analoumwa kwa wakati huo?
Kama kifua tibu kifua
Kama malaria tibu
Km ana typhoid tibu nk
Huu ugonjwa wa kufikirisha sana
 
Wewe ndio, unadandia. Mi nipo kwenye hii mada toka imeanza na
haya maswali, nimeyauliza ktk, post no.7 ila hakuna aliyeyajibu mmebaki, kuruka ruka tu.
Jibuni, haya maswali tena kiufasaha kwa kuzingatia tafiti. Acheni, kuaminisha watu, hakuna ukimwi, wakati, ushahid, hamna.
Soma post hapo, juu, niliyomuuliza Matthew.
Hasa swali la kwanza na la nne jibu, with scientific proof.. msirukeruke kuhadaa watu
Nani aliesema hakuna Ukimwi? Ndio maana nakuambia unadandia treni kwa mbele. Ukimwi upo, ila tunachojadili hapa ni uwezekano wa ARV kusababisha Ukimwi na si Retro-Virus per say
 
Kuna siku moja nilienda hospitali,nilikuwa naumwa,kufika hospitali ambayo ni ya jeshi.nilikuwa ndogo kama miaka 17,baadae wakaniuliza maswali kibao.mojawapo ya maswali waliniuliza ni kama kilikuwa na mahusiano.
Wakasema wananipima HIV,Nikawaambia sawa.wakanipima ,Wakaniambia nina HIV,
yaani sikutilia manani kichwani.sijawahi kuwaza wala nini.nikakaaa ,mpaka leo nimepima zaidi ya mara 8,sijawahi kukutwa na HIV, Nikawa najiuliza sasa wale walinitisha labda ili niache mahusiano au.sijawahi kupata jibu mpaka leo.
Me mwenyewe naamini UKIMWI HAUPO.ila ukiamini utakufa kwa presha na magonjwa mengine...
 
Ni huu utaratibu wa kwenda hospitali unajisikia maralia au tumbo linauma wanakwambia tunakupima na ngoma sijui wameutoa wapi,wanadhan kupima ngoma ni kama unapima joto la mwili,nilishaenda pale palestina kadoctor ka kike kakaniletea hizo mambo nikakaangalia nikasema nakuja kuja kushtuka nilitokezea mtaani kwangu
[emoji23][emoji23]
 
Kuna siku moja nilienda hospitali,nilikuwa naumwa,kufika hospitali ambayo ni ya jeshi.nilikuwa ndogo kama miaka 17,baadae wakaniuliza maswali kibao.mojawapo ya maswali waliniuliza ni kama kilikuwa na mahusiano.
Wakasema wananipima HIV,Nikawaambia sawa.wakanipima ,Wakaniambia nina HIV,
yaani sikutilia manani kichwani.sijawahi kuwaza wala nini.nikakaaa ,mpaka leo nimepima zaidi ya mara 8,sijawahi kukutwa na HIV, Nikawa najiuliza sasa wale walinitisha labda ili niache mahusiano au.sijawahi kupata jibu mpaka leo.
Me mwenyewe naamini UKIMWI HAUPO.ila ukiamini utakufa kwa presha na magonjwa mengine...
Kwa mujibu wa Dr Biswaroop Roy, alipata kusema kwamba "VVU-UKIMWI, sio ugonjwa bali ni biashara ya hofu! "
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom