Huyu ndiye daktari aliyejichoma sindano ya UKIMWI ili kuthibitisha kuwa UKIMWI ni uongo!

Huyu ndiye daktari aliyejichoma sindano ya UKIMWI ili kuthibitisha kuwa UKIMWI ni uongo!

Status
Not open for further replies.
Exactly nusura nimpoteze Kaka yangu mwingine tuliletewa hivyo vipimo na Kaka yangu ambaye ni doctor kupima jamaa akaonekana anao, weeee akapagawa akakimbilia angaza akaambiwa hauna yaaani unaweza kufa hivi hivi ukijiona
Kuna mtu alinambia wakikuona una wenge sana wanakwambia huna hata kama unao
 
Hivi dozi moja ya ARV ni shilingi ngapi? Na ni kampuni ipi hapa duniani/nchini waliokula hii tenda?

Mkuu Dozi moja ya mwezi ya ARV ni 300,000 Tzs (hii ni record ya mwaka 2017), kale kakopo kamoja anakopewa mgonjwa. kwa Tz Marekani ndio wana sponsor hizo dawa.
 
Hizo taarifa zote hapo juu ni za uwongo....HIV ni habari nnyingine tusidanganye umma.ARV zimesaidia wengi sana nchi hizi zetu za kiafrica.

Toa fact Mkuu acha porojo, lea maelezo yaliyo jitosheleza sio unaongea Umbea tu, lete Fact na sababu za kueleweka watu tupate maarifa.
 
Kwa conclusio yako nadhani wengi umetuacha na maswali maana unataka kutuambia ukimw haupo na endapo mtu akigundulika ana ukimwi basi ajitibu magonjwa nyemelez kisha atapona kabisa.
MKUU INGEKUWA RAHISI HVYO BASI TUSINGEZIKA WATU KILA SIKU
nashukuru unavomuuliza maswali ambayo ndio hata mimi ninahitaji kujua lakini inavoonekana amekariri kwa kusoma sehemu,
mbona mwanandoa akitoka nje ya ndoa na kutembea na mwenye ukimwi akirudi ndani ya ndoa humwambukiza mwenzake? na baada ya muda hufa wote hadi yule aliechepuka na mmoja wa wanandoa hao?

asitake kudanganya uma hapa
 
Muone mwenyewe





The challenge...



Follow up...

Swali: Je ni kweli anachosema huyo daktari kwamba baada ya Thambo Mbeki aliyekuwa rais wa pili wa Afrika kusini kushtukia kwamba ARV ndizo zinaleta upungufu kwenye kinga ya mwili, na ukishaanza tu kutumia, ukiacha unaumwa hadi kufa, alizipiga marufuku, na hapo ndipo makampuni yanayotajirika kuuza hayo madawa yakaungana na kumpindua?

THABO MBEKI ANAONGEA ALIPOKUA RAIS



Kwenye Video inayofuata hapo chinj, Mbeki anasema kwamba, ugomvi wake na makampuni ya madawa ulikuwa ni mmoja tu, nao ni juu ya 'Upungufu wa kinga mwilini' jinsi unavyompata mtu, yeye anasema ili mtu asipate huo upungufu inabidi mtu ale vizuri, afanye mazoezi na atbiwe ugonjwa wowote alionao hadi upone kabisa, iwe T.B, iwe kuhara, iwe infection au chochote kile; lakini makampuni yalimwambia watu wasifanye hivyo, wapewe ARV; ambazo daktari wetu hapo juu anaamini ndizo hupunguza kinga in the first place, na ukishazitumia, ukiacha utaumwa hadi kufa. Na kwakuwa daktari hapo juu anasema vile vipimo vya 'HIV' havipimi virusi vya ukimwi, bali vinapima chembechembe ambazo mwili huzalisha pale unapokuwa unaumwa magonjwa mbalimbali kama kifua kikuu, kuhara nk., hivyo ukipima HIV ukiwa mgonjwa, kuna uwezekano ukapata 'false positive', ambayo itasababisha daktari wako akupe ARV ambazo ndizo zitapinguza kinga na kuwatajirisha makampuni ya madawa. Mjadala uendelee.


=====================================

Hii video inayofuata ina dakika 25 tu, lakini its priceless, angalia yote kabisa, kwa utaratibu na umakini, nakuapia hutaamini utakachokiona, trust me...!


===============================
Pakua na usome kitabu chake hiki BURE!

================================
UPDATE: 30/07/2018 TANZANIA FOODS & DRUGS AUTHORITY LEO IMETANGAZA UZINDUZI WA MRADI WA KUKAGUA MADHARA YA DAWA MBALIMBALI ZINAZOTUMIKA NCHINI.
------- JE ARV ZIMO?
Mkuu nakiomba hcho kitabu pls daudjarden@gmail.com
 
Nimewahi kusoma mada zake saaaaaaaaaaana ila sijawahi kuchangia, the guy anaongea the naked truth ila sababu timeshawekwa kwenye zone mbaya that's why tunampinga ila in reality there's nothing as UKIMWI
Anaitwa nani!?? Huko Facebook!?
 
Kuna siku moja nilienda hospitali,nilikuwa naumwa,kufika hospitali ambayo ni ya jeshi.nilikuwa ndogo kama miaka 17,baadae wakaniuliza maswali kibao.mojawapo ya maswali waliniuliza ni kama kilikuwa na mahusiano.
Wakasema wananipima HIV,Nikawaambia sawa.wakanipima ,Wakaniambia nina HIV,
yaani sikutilia manani kichwani.sijawahi kuwaza wala nini.nikakaaa ,mpaka leo nimepima zaidi ya mara 8,sijawahi kukutwa na HIV, Nikawa najiuliza sasa wale walinitisha labda ili niache mahusiano au.sijawahi kupata jibu mpaka leo.
Me mwenyewe naamini UKIMWI HAUPO.ila ukiamini utakufa kwa presha na magonjwa mengine...
Mmmmh!! Ya kweli haya?
 
Kwa kiasi fulani nakubaliana na wewe japo mimi najihusisha na sekta ya afya ipo hivi mwaka 2011 nilienda na kaka yangu temeke alikua na hali mbaya sana kupima aligundulika na TB na HIV hatukuamink tukapima hospital kadhaa majibu yakwa vilevile.sasa wakasema wataanza kutibu TB then ndo waje HIV kuzuia asilete madhara zaidi.
Kweli alitumia dawa za TB baada ya mda fulani akaanza kuwa sawa mpaka kupona..baada ya kupona akatakiwa kupewa ARVs bro alikataa kata kata na hakawa hatumii,,Mwaka 2013 mkewe akapata ujauzito na akajifungua mtoto nilifatilia kadi yake ya clinic alikua salama na mtoto hadi leo yuko salama na yeye mwenyewe ana afya na mkewe pia na hadi leo nikimuuliza anakwambia yeye ana amini ukimwi ni stori na atakufa kwa kingine sio ukimwi.Baba yangu mara kadhaa alikua ana mwita kumlazimisha mwisho wa siku ameona na yeye stori tu.

2014 Shangazi yangu na yeye alipata TB na kuambiwa ana HIV sasa wakati yupo hospital kuna dada mmoja akamwambia kama ataambiwa ana HIV asitumie zile dawa maana hata yeye aliaambiwa hivyo na hakutumia dawa na yuko fresh.akarudi home akasema na Mzee akamwambia afuatishe mfano wa kaka,mpaka leo yupo mzima wa afya na hatumii.

2005 Baba yangu mdogo aligundulika na HIV yeye na wake zake wawili.wakaanza kutumia dawa ilipofika 2006 aliaanza kuugua kuaharisha nk 23 august 2006 akafariki.
Mwaka unaofuata akafuatia mwanawe wa mwisho.
2008 mkewe mkubwa na yeye akaanza kuugua hatimaye akafariki.lakini mke mdogo yupo mpaka leo na anatumia dawa na mzima wa afya.

Nb:nimetoa ushuhuda wangu ili kuangalia huu ugonjwa unavyochanganya lakini kila mmoja kwa nafasi yake inapaswa asipuuze aweke 50/50 kisha afanye uchunguzi ajiridhishe japo kwa upande wangu naamini ukimwi upo ila kuhusu HIV bado kuna mkanganyiko kwangu..maana wanasema kuna mtu mwingime ana kaa hadi miaka 10 ndo anauaguani kitu ambacho hakiingii akilini maana tunaambiwa HIV anaua kinga za mwili na ni hatari sana,sasa kipindi chote hicho mtu awe salama wakati Malaria tu ndani ya wiki unapata habari
Ya kweli haya?
 
Wazungu wameona sasa awarrness na ugonjwa huu imeanza kukua kwa waafrika,wanajaribu kuuwasha moto upya
 
Nimewahi kusoma mada zake saaaaaaaaaaana ila sijawahi kuchangia, the guy anaongea the naked truth ila sababu timeshawekwa kwenye zone mbaya that's why tunampinga ila in reality there's nothing as UKIMWI
Mkuu anaitwa nani nataka kumfollow
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom