140kph wengi kabla ya tvs walikua wanakandamiza tuSure, huyu ndugu yangu ananiambia 120km/hr ni average, kwamba kuna muda basi litatembea hadi 160km/hr, nimeshangaa. Sikuwahi imagine kama basi la abiria linaweza kukimbia hata 140, let alone 160km/hr.
Daaah [emoji3][emoji3][emoji3]Mabasi ya zamani yalikuwa mechanical injector pump, , ungoverned , zinaweza fungua kupitiliza , Safina bus iliwahi pigwa tochi ikakutwa na speed 168, yan mshale wa speed unapita 120 unarudi hadi kwenye mark ya 10km/h, its called round the clock 10 star.
Acha ubishi usiokua na kichwa kwa bus speed 140 ni ya kawaida sana mzee...miaka ya 2015 kurudi nyuma watu walikua wanafuta sana visahani hivyo na hata hizo V8 Zilichapwa sana barabarani.Una uhakika na unachokiongea? Ulishawahi kuona msafara wa viongozi V8 zimeachiana nafasi zinavyopita kama upepo? Ile mara nyingi sana huwa ni 150. Imagine.
Hivi basi inaweza kukimbia zaidi ya magari ya msafara?, ulishawahi kupanda basi safari ndefu? Ikifikaga 120 tu, abiria wanazikimbia siti za nyuma! Basi la abiria likifika 140, abiria wote ndani wanakuwa majeruhi, maana mtagonga sana vichwa hadi mtaumia.
V8 zipi mkuu kama vx 1hdt tu yenye six inline cylinders basi haifuati tuongee uhalisia sio ushabiki.Acha ubishi usiokua na kichwa kwa bus speed 140 ni ya kawaida sana mzee...miaka ya 2015 kurudi nyuma watu walikua wanafuta sana visahani hivyo na hata hizo V8 Zilichapwa sana barabarani.
Sasa kuacha shule na kasi ya dereva vimekujaje, au umeamua kutuchanganyia madesa?
1HDT ina 150-170HP kama sikosei ndo asumbue Bus lenye 310-380HP tena ukutane na scania kama zile za feo labda mkangafu huo?V8 zipi mkuu kama vx 1hdt tu yenye six inline cylinders basi haifuati tuongee uhalisia sio ushabiki.
Uongo wa kitoto kabisa. Hata tukifuata maelezo yako tu saa 1 mpaka saa 4 sio masaa 4, ni 3.Kuna dereva wa basi la abood alitoka mwanza saa 1 asubuhi akafika morogoro saa 4 asubuh yaani alitumia masaa 4 tu. Ila alikamatwa chalinze
Mkuu wewe umeangalia kigezo cha HP pekee kupambanisha hizo gari..1HDT ina 150-170HP kama sikosei ndo asumbue Bus lenye 310-380HP tena ukutane na scania kama zile za feo labda mkangafu huo?
V8 ndo atasumbua basi ila dereva awe kichaa...
Mmmh! mkuu ukiangalia hp bila kuangalia hivyo vitu unavyolinganisha vipo class moja ama la unapotea.usije kuandika bulldozer nalo linakimbia kisa lina hp kubwa[emoji23]1HDT ina 150-170HP kama sikosei ndo asumbue Bus lenye 310-380HP tena ukutane na scania kama zile za feo labda mkangafu huo?
V8 ndo atasumbua basi ila dereva awe kichaa...
Dah!kazi kwelikweli.Mkuu wewe umeangalia kigezo cha HP pekee kupambanisha hizo gari..
Kwa hicho kigezo, hata HoWo haliwezi kusumbuliwa na 1HDT kwasababu tu lina 371hp!
Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
I doubt it, average maana yake atembee constant 120 kph bila kupunguza speed wala kusimama.View attachment 2061851View attachment 2061854
Pichani ni GIRIKI mtu mwenye historia ya pekee kwenye tasnia ya udereva nchini.
Licha ya kukimbiza sana gari kwa miaka mingi, hakuwahi kupata ajali
[emoji23][emoji23][emoji23]Kuna dereva wa basi la abood alitoka mwanza saa 1 asubuhi akafika morogoro saa 4 asubuh yaani alitumia masaa 4 tu. Ila alikamatwa chalinze
Huyu Mfikemo kuna kipindi niko pale hotelini kwake nanenane nikasikia amepigwa mapanga na ndugu zake wakimtuhumu kuwaloga.Njelii kwenye Duka la Mfikemo ha ha ha!
Gari ndogo inatakiwa iwe na hp 400 ili ifike 200mph na pikipiki iwe na 200hp ifike speed ya 200mph,unadhani ni kwa nini?Mmmh! mkuu ukiangalia hp bila kuangalia hivyo vitu unavyolinganisha vipo class moja ama la unapotea.usije kuandika bulldozer nalo linakimbia kisa lina hp kubwa[emoji23]
Bora nichukiwe tukikutana na trafiki namwambia hali halisiabiria walibid wakaushe tu