Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
-
- #301
AliponaHuyu Mfikemo kuna kipindi niko pale hotelini kwake nanenane nikasikia amepigwa mapanga na ndugu zake wakimtuhumu kuwaloga.
Ikabidi nihame haraka sana.
Sijui km alipona.
Du niliogopa sana.Alipona
Unaijua nyengo?Du niliogopa sana.
NaijuaUnaijua nyengo?
Kuna scania moja ilikuwa inaenda dodoma inatokea dar, gar linaitwa safar njema. Ilkuwa inaenda zaidi ya 160.Basi la abiria linaweza kwenda 160 au hata 150 tu?
Tumepoteza uhondo wa safari siku hiziUzuri wa injini nyuma mnakuwa comfortable na kelele ya gari haisikiki sana ile ya matema na kishwele zilikuwa 113 nadhani.
Gari zenyewe zilikuwa ngapi huko barabarani? Human setlements nazo zilikuwa chacheView attachment 2061851View attachment 2061854
Pichani ni GIRIKI mtu mwenye historia ya pekee kwenye tasnia ya udereva nchini.
Licha ya kukimbiza sana gari kwa miaka mingi, hakuwahi kupata ajali
Ajabu kweli badala ya kwenda mbele tunarudi nyuma.Tumepoteza uhondo wa safari siku hizi
hizo sasa ni soundKuna dereva wa basi la abood alitoka mwanza saa 1 asubuhi akafika morogoro saa 4 asubuh yaani alitumia masaa 4 tu. Ila alikamatwa chalinze
dar saa 12 mbeya saa 7 hakuna ukweli hapo tusidanganyaneView attachment 2061851View attachment 2061854
Pichani ni GIRIKI mtu mwenye historia ya pekee kwenye tasnia ya udereva nchini.
Licha ya kukimbiza sana gari kwa miaka mingi, hakuwahi kupata ajali
Zamani yalikuwa yanakwenda huo mwendo skuizi vts zumeingilia katiSure, huyu ndugu yangu ananiambia 120km/hr ni average, kwamba kuna muda basi litatembea hadi 160km/hr, nimeshangaa. Sikuwahi imagine kama basi la abiria linaweza kukimbia hata 140, let alone 160km/hr.
Punguza chai isiyo na viungoKuna dereva wa basi la abood alitoka mwanza saa 1 asubuhi akafika morogoro saa 4 asubuh yaani alitumia masaa 4 tu. Ila alikamatwa chalinze
Ila alikuwa anawasababishia wenzie ajaliView attachment 2061851View attachment 2061854
Pichani ni GIRIKI mtu mwenye historia ya pekee kwenye tasnia ya udereva nchini.
Licha ya kukimbiza sana gari kwa miaka mingi, hakuwahi kupata ajali
PyumbafyuuuuuuuKuna dereva wa basi la abood alitoka mwanza saa 1 asubuhi akafika morogoro saa 4 asubuh yaani alitumia masaa 4 tu. Ila alikamatwa chalinze
Ukijipendekeza inakula kwakoIla alikuwa anawasababishia wenzie ajali
Hii kamba mkuuKuna dereva wa basi la abood alitoka mwanza saa 1 asubuhi akafika morogoro saa 4 asubuh yaani alitumia masaa 4 tu. Ila alikamatwa chalinze
Sio kweli,umechanganya madesaHuyo Giriki si aliwahi kusababishwa ajali iliyoua sana mpakani mwa Ruvuma na Njombe?
Ajali ya Shabibu kama sikosei.Mpaka Leo eneo lile wameweka kumbukumbu ya ajali.
Hamna road ya kupita