G'taxi
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 6,625
- 8,639
Hakuna kitu kama hiki, hii ni chai, mimi dereva since 1996,nasema huu ni uongoKuna dereva wa basi la abood alitoka mwanza saa 1 asubuhi akafika morogoro saa 4 asubuh yaani alitumia masaa 4 tu. Ila alikamatwa chalinze