Lady Ra
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 879
- 991
Ha ha haaa,Mkuu kuwa swala tano huku unawauzia watu kitimoto ni sawa na kutaka kwenda mbinguni bila kufa
Nani anauza Kitimoto katika hawa Mkuu??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha haaa,Mkuu kuwa swala tano huku unawauzia watu kitimoto ni sawa na kutaka kwenda mbinguni bila kufa
Safiii, Jibu Zuri SanaUngejua Imam Abbas anavyomuheshimu Hashim usingeongea
Dah yaani amekuwa msafi sana katika imani kwa ile dhahir yakeNash MC alikua akifanya ile Hip hop Ngumu ambayo now days wanasema "haiuzi",
Bora aachane na Muziki atuswalishe tu Msikitini.
Kwani nash anauza kitimoto pale temeke????Mkuu kuwa swala tano huku unawauzia watu kitimoto ni sawa na kutaka kwenda mbinguni bila kufa
Hahaa!!!! Samahan kama nitakuudhi hivi wewe ni me au keNash MC alikua akifanya ile Hip hop Ngumu ambayo now days wanasema "haiuzi",
Bora aachane na Muziki atuswalishe tu Msikitini.
Kweli kabisaHashim Dogo Atabaki Kua na Heshima Kwenye Hii Game Tanzania
Si kweli au unataka ningemuweka afande seleOverrated MIC
...we ni demu kweli?Katika misingi mitano ya Hip hop, yaani Dj, Mc, Freestyle, Breaking dance & Graphit, Huyu jamaa alikua ni mwamba katika angle zipi zaidi?
Anafiti zote 5 kuliko yoyote Africa kiasi cha wewe kumuita kua ye ni Msanii bora wa Hip hop Africa?
[emoji1] [emoji1] nope, sele hapana ila Dogo Hasheem anakua overrated sana cjaona cha maana alicho fanya Saigon anaweza kua bora kuliko HasheemSi kweli au unataka ningemuweka afande sele
Hiyo uliyotaja sio misingi ya hiphop hizo ni nguzo afu pia freestyle sio nguzo ya hiphopKatika misingi mitano ya Hip hop, yaani Dj, Mc, Freestyle, Breaking dance & Graphit, Huyu jamaa alikua ni mwamba katika angle zipi zaidi?
Anafiti zote 5 kuliko yoyote Africa kiasi cha wewe kumuita kua ye ni Msanii bora wa Hip hop Africa?
Daaa!!!! Afu saigon naye kawa ustadhi tatizo saigon haweezi kurap kiswahili na wabongo wengi hawakielewi kingereza[emoji1] [emoji1] nope, sele hapana ila Dogo Hasheem anakua overrated sana cjaona cha maana alicho fanya Saigon anaweza kua bora kuliko Hasheem
Uchebe anauza kilevi morocoKwani nash anauza kitimoto pale temeke????
Sasa mkuu unaona kabisa lady aaaaf unauliza swali la ivo whyHahaa!!!! Samahan kama nitakuudhi hivi wewe ni me au ke
Nash huyu huyu????? Anauza kilevi gani???Uchebe anauza kilevi moroco
Kuna wengine wanawake fake identitySasa mkuu unaona kabisa lady aaaaf unauliza swali la ivo why
Kuna mdada flani nmesaau id yake pia yupo vzr kwe hip hop humu balaaKuna wengine wanawake fake identity
Huwa napenda Sana wanawake kama haoKuna mdada flani nmesaau id yake pia yupo vzr kwe hip hop humu balaa