Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,775
- 29,746
Kuna uzi flan umu wa dizaini hii alikwepoHuwa napenda Sana wanawake kama hao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna uzi flan umu wa dizaini hii alikwepoHuwa napenda Sana wanawake kama hao
View attachment 739483 Hashim Dogo ameacha muziki lakini bado watu wanamuhitaji tofaut na wasanii wengine wengi wapo kwenye game lakini hawana attention kama yeye, nimekutan naye msasani leo ustadhi Hashim hataki tena kufanya muziki yeye kwa Sasa amekuwa ustadhi swala tano
Hebu tuwekee hapa wimbo au video yake mmoja tuutadhimini kama unayosema yana ukweliNa wasanii wote wa hiphop afrika, halafu sina uhakika kama unauelewa hiphop ni nini hasa
Ngoja nikutaftieHebu tuwekee hapa wimbo au video yake mmoja tuutadhimini kama unayosema yana ukweli
Aaaaa!!!!!!! Kuwa na adabu wewe Alaaaa!!!!!!Bongo na Afrika as a whole HAKUNA wasanii wa Hip Hop, wale ni waigizaji tu.
Kwa anaejua Hip Hop ya Bongo, hawezi kukataa hili.Dogo kwa kila kitu alikuwa bora.Kuondoka kwake kwenye game kumefanya Hata kikosi ikose DiraView attachment 739483 Hashim Dogo ameacha muziki lakini bado watu wanamuhitaji tofaut na wasanii wengine wengi wapo kwenye game lakini hawana attention kama yeye, nimekutan naye msasani leo ustadhi Hashim hataki tena kufanya muziki yeye kwa Sasa amekuwa ustadhi swala tano
Kwa maana gani?Bongo na Afrika as a whole HAKUNA wasanii wa Hip Hop, wale ni waigizaji tu.
Haelewi anasema nini huyu..... MtemeAaaaa!!!!!!! Kuwa na adabu wewe Alaaaa!!!!!!
Kikosi wamepotea kabisaKwa anaejua Hip Hop ya Bongo, hawezi kukataa hili.Dogo kwa kila kitu alikuwa bora.Kuondoka kwake kwenye game kumefanya Hata kikosi ikose Dira
NI wa kupuuzwa tu huyoKikosi wamepotea kabisa
Abdul Miraj (Kali P) Mashallah, analingania dini siku hz. Kila alhamis anapatikana Markaz. Album yake ya 3 aliitoa studio, akaitia uvunguni, ili haina hata promo ya ngoma 1.Hata Nash MC nae Allah akimtia ilham time yoyote anaweza kutangaza kuacha mziki. Jamaa yuko pale msikitin Tungi swala tano, na ule udevu wake wakimuffi mashallah!
Usiseme hajui hapo unakosea mzeeHuyu jamaa anakuwa overrated sana. Watu wengi sana wanamuweka ktk legends Wa bongo hiphop ila ukiwauliza ni kwa nini wengi watakwambia jamaa alikuwa anaandika balaa ukiwadadisi zaidi wanakutajia wimbo mmoja tu "Tunasonga" kitu ambacho mi sionagi kitu cha ajabu alichoimba na huenda alibahatisha tu. Sema jamaa inaonyesha ana nyota Kali ya kupendwa hata kama hajui
Umeshangaa kwamba nafuatilia Hip hop au?Hahaa!!!! Samahan kama nitakuudhi hivi wewe ni me au ke
Ndicho nachomwambia huyu Braza,[emoji1] [emoji1] nope, sele hapana ila Dogo Hasheem anakua overrated sana cjaona cha maana alicho fanya Saigon anaweza kua bora kuliko Hasheem
Yap, wanawake wengi huwa hawapend vitu vya akili, wao taarab vigodoro na diamond, Sasa kumkuta mwanamke anamjua Hashim nadhani upo peke akoUmeshangaa kwamba nafuatilia Hip hop au?
Mwenyezi Mungu amfanyie wepesi katika mambo yake, sio jambo dogo hilo!Abdul Miraj (Kali P) Mashallah, analingania dini siku hz. Kila alhamis anapatikana Markaz. Album yake ya 3 aliitoa studio, akaitia uvunguni, ili haina hata promo ya ngoma 1.
Umezaliwa mwaka ganiMi ndio nashangaa kumuona leo.
Hapana Mkuu,Yap, wanawake wengi huwa hawapend vitu vya akili, wao taarab vigodoro na diamond, Sasa kumkuta mwanamke anamjua Hashim nadhani upo peke ako