Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
chuma 1hz icho, kikimaliza gear kinatoa mlio wa kipekee sanaSubir kwanza
Hakuna mtu mnafiki Kama Yule mtangazaji wa ITV kipindi Cha hawavumi lakini wamo. Utamsikia mtangazaji anakuambia kula chuma hicho.chuma 1hz icho, kikimaliza gear kinatoa mlio wa kipekee sana
Nakusemelea kwa mama akija kusoma huzi.Hizo picha utafikiri zimeeditiwa
nipe user name ya Bi Mkubwa nimtajie chawa wasaliti inboxMimi sijacheka msinisingizie.
Alafu mama wanasoma huu uzi.
Yaani yule mtangazaji ni moja kwa moja motoni kwa dhambi ya unafikiHakuna mtu mnafiki Kama Yule ntangazaji wa ITV kipindi Cha hawavumi lakini wamo. Utamsikia mtangazaji anakuambia kula chuma hicho.
Ukisikiliza sass hiyo ngoma aliyoitambulisha Kama chuma unabaki mdomo wazi na kuishia kusema kweli wanafiki wapo. Sijui nilitaka kusema nini,point imepoyea kichwani.
hahahaha nimecheka kinomaHakuna mtu mnafiki Kama Yule ntangazaji wa ITV kipindi Cha hawavumi lakini wamo. Utamsikia mtangazaji anakuambia kula chuma hicho.
Ukisikiliza sass hiyo ngoma aliyoitambulisha Kama chuma unabaki mdomo wazi na kuishia kusema kweli wanafiki wapo. Sijui nilitaka kusema nini,point imepoyea kichwani.