Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
She or he?Who is s/he? View attachment 2545154
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
She or he?Who is s/he? View attachment 2545154
Hahaaaa!!!mzee ZOMBOKO"KULA CHUMA HIYOOOOHakuna mtu mnafiki Kama Yule ntangazaji wa ITV kipindi Cha hawavumi lakini wamo. Utamsikia mtangazaji anakuambia kula chuma hicho.
Ukisikiliza sasa hiyo ngoma aliyoitambulisha Kama chuma unabaki mdomo wazi na kuishia kusema kweli wanafiki wapo. Sijui nilitaka kusema nini,point imepotea kichwani.
BothHuyu ni Me au Ke?
Mi nahisi anakisagio cha asili kabisa.Hasagi huyu kweli?
Kweli daddyMungu nifundishe kunyamaza
Unamjua yule daah hahahaHakuna mtu mnafiki Kama Yule ntangazaji wa ITV kipindi Cha hawavumi lakini wamo. Utamsikia mtangazaji anakuambia kula chuma hicho.
Ukisikiliza sasa hiyo ngoma aliyoitambulisha Kama chuma unabaki mdomo wazi na kuishia kusema kweli wanafiki wapo. Sijui nilitaka kusema nini,point imepotea kichwani.
Na hawa ndiyo wenye chama chao yani.Du! Kweli CCM ina wenyewe!
Ukute mzee wa TRAB na TRAT anaenda uvinza kiroho safi kabisa.Hakika ccm ni chafu maana demu mchovu kama huyu analiwa na waziri au mkurugenzi fulani. CCM INANUKA!
Katika miji yooote hapa duniani ambayo ungeweza kuitumia kama mfano ukachagua Ngudu 😳😳😳Hajui pia kupangilia rangi za nguo anavaa kishamba sana !
Hata kina Lupita Nyongo au Oprah sio wazuri ila wanajua nini wavae !
Utasema yuko Ngudu -Mwanza.