kapyoko
JF-Expert Member
- May 10, 2022
- 1,365
- 2,134
[emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]Aiseee kuna binadamu [emoji38] nilijua nimemaliza kuona
na salute alikuwa anapigiwa mixer mjeda na ocd wote wanamsalutia......na kwenye kikao anakuwa mwenyekiti,bila yeye kikao hakiendeshwiMhuni kama wahuni wengine1 Hatari sana tena sana. Huyu kweli anaongoza watu! Nchi hii Mungu aiangamize aiumbe upya na viumbe wapya
Kanasagwa!Hasagi huyu kweli?
halafu ni zao la UdsmHuyu ndio DC aliyetumbuliwa jana na mamlaka za uteuzi. Hakika CCM tuna watu!!View attachment 2544974View attachment 2544975View attachment 2544976View attachment 2544979View attachment 2544981View attachment 2544984View attachment 2544986
Mungu nifundishe kunyamaza
Hiyo philosophy huwa inawafanya nini maana wengi waliosomea hiyo kitu kichwani nati zinakuwaga km zimelegea kidogoJF bhana, hii wanajifanya hawaioni ili mradi tu wendelee kumsengenya na kumsimanga dada wa Watu,
Lakini pia kwa mujibu wa kabila lake la Kikurya haishangazi kua na muonekano huo.
View attachment 2545636
Mama Samia atakuwa anamuandaa kuwa Rc Dar es SalaamUongozi sio Mashindano ya ulimbwende, tuheshimu hizo nafasi za uteuzi.
Jane yupo vizuri sana, anaishi maisha halisi na anatendea vema nafasi yake ya uongozi.
Nampongeza sana. Ni bahati mbaya tuu ametenguliwa lakini kitu cha kuzingatia ni kuwa yupo natural sana.
Zaidi sio kila mtu ni mbunifu/mtaalamu wa kuchagua mavazi. Someday atapata mshauri mzuri wa mavazi.
Naamini Mama Samia amemuandalia teuzi nyingine.
"Song - Usifurahi juu yangu" by Upendo Nkone.
Acha u-snitch Mzee...nipe user name ya Bi Mkubwa nimtajie chawa wasaliti inbox
Wewe jamaaa jinga Sana ujue nimechekaaa kulaHakuna mtu mnafiki Kama Yule ntangazaji wa ITV kipindi Cha hawavumi lakini wamo. Utamsikia mtangazaji anakuambia kula chuma hicho.
Ukisikiliza sasa hiyo ngoma aliyoitambulisha Kama chuma unabaki mdomo wazi na kuishia kusema kweli wanafiki wapo. Sijui nilitaka kusema nini,point imepotea kichwani.