Huyu ndiye Jane Nyamsenda, DC mstaafu wa Sumbawanga

Huyu ndiye Jane Nyamsenda, DC mstaafu wa Sumbawanga

Kama kafanana na

images
 
Mhuni kama wahuni wengine1 Hatari sana tena sana. Huyu kweli anaongoza watu! Nchi hii Mungu aiangamize aiumbe upya na viumbe wapya
 
Dc mzuri Sana tatizo lake lipo kichwani hamna kitu

Sura sio issue. Sana maana hapa Tatizo watu vichwani hamna kitu empty mind
 
Lenie na Satoh Hirosh mnajifanya Hanania nq Safira sio?
Mmepatana kumsagia mzee wa hawavumi lkn wapo?🤣🤣🤣
Aah yule mzee sio bana, anawachuza wenzake wajione mastar kumbe hamna kitu😂😂

Kuanzia muonekano, na nyimbo zao ugolo mtupu
 
Hakuna mtu mnafiki Kama Yule ntangazaji wa ITV kipindi Cha hawavumi lakini wamo. Utamsikia mtangazaji anakuambia kula chuma hicho.

Ukisikiliza sasa hiyo ngoma aliyoitambulisha Kama chuma unabaki mdomo wazi na kuishia kusema kweli wanafiki wapo. Sijui nilitaka kusema nini,point imepotea kichwani.
Njoo na daktari wa mbavu chap! [emoji1787][emoji1787]
 
Hakuna mtu mnafiki Kama Yule ntangazaji wa ITV kipindi Cha hawavumi lakini wamo. Utamsikia mtangazaji anakuambia kula chuma hicho.

Ukisikiliza sasa hiyo ngoma aliyoitambulisha Kama chuma unabaki mdomo wazi na kuishia kusema kweli wanafiki wapo. Sijui nilitaka kusema nini,point imepotea kichwani.
Dahh we jamaa nimecheka sana baada ya kuvuta kumbukumbu ya mtangazaji nikioanisha na uzi wa DC.

Maisha bila unafiki hayaendi mkuu
 
Hakuna mtu mnafiki Kama Yule ntangazaji wa ITV kipindi Cha hawavumi lakini wamo. Utamsikia mtangazaji anakuambia kula chuma hicho.

Ukisikiliza sasa hiyo ngoma aliyoitambulisha Kama chuma unabaki mdomo wazi na kuishia kusema kweli wanafiki wapo. Sijui nilitaka kusema nini,point imepotea kichwani.
Huyu hapa bwana, sijui huwa anafikiria nini kusema hivyo
hqdefault.jpg
 
Back
Top Bottom