Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 6,432
- 25,646
Huyu anaonekana anatumia kabisa kitu Cha kimbiji na Cha Arusha. Alafu anajikubali kishenzi.Mbona anaonekana kama comedy sana??alafu ni wachuga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu anaonekana anatumia kabisa kitu Cha kimbiji na Cha Arusha. Alafu anajikubali kishenzi.Mbona anaonekana kama comedy sana??alafu ni wachuga?
Unajua nimeziangalia kwa makini naona kama haziko real/editedNakusemelea kwa mama akija kusoma huzi.
DC mstaafuHuyu ndio DC aliyetumbuliwa jana na mamlaka za uteuzi. Hakika CCM tuna watu!!View attachment 2544974View attachment 2544975View attachment 2544976View attachment 2544979View attachment 2544981View attachment 2544984View attachment 2544986
Ndo huyu kiukweli ukweli ??Hizo picha utafikiri zimeeditiwa
Lenie na Satoh Hirosh mnajifanya Hanania nq Safira sio?Yaani yule mtangazaji ni moja kwa moja motoni kwa dhambi ya unafiki
Yule bwana haendi mbinguni kwa kweli.Lenie na Satoh Hirosh mnajifanya Hanania nq Safira sio?
Mmepatana kumsagia mzee wa hawavumi lkn wapo?🤣🤣🤣
Huyo bro anakula pesa za hongo za underground.Yule bwana haendi mbinguni kwa kweli.
Ningekuwa Mimi ndiyo mtangazaji wa kile kipindi ningekuwa napiga Sana miayo mixer usingizi.
Sijui wanawatoa wapi wale wasanii. Ila mkuu, x- DC si chuma lakini?
Kwa sababu ya meno au?Mbona anaonekana kama comedy sana??alafu ni wachuga?
Tomboy pita hukuu...Huyu ndio DC aliyetumbuliwa jana na mamlaka za uteuzi. Hakika CCM tuna watu!!View attachment 2544974View attachment 2544975View attachment 2544976View attachment 2544979View attachment 2544981View attachment 2544984View attachment 2544986
Mungu nifundishe kunyamaza
Haya matangazo kwenye hizi mada yatakuletea shida ujueSubir kwanza