Huyu ndiye Jane Nyamsenda, DC mstaafu wa Sumbawanga

Huyu ndiye Jane Nyamsenda, DC mstaafu wa Sumbawanga

Kwenye ukweli lazima tuseme tu.....huyu hata physical appearance tu...hafai kuwa mkuu wa wilaya! Achilia mbali hata ubarmaid! Hana vigezo hii pisi ni kama beki 3 flani hivi!.

Sijui walimuokota wapi huyu!? Kisa kada lialia!...

Hivi vyeo vya kupeana...wana okokota okota tu.... hata visivyookoteka! Sasa vinaokoteka
 
Yule bwana haendi mbinguni kwa kweli.

Ningekuwa Mimi ndiyo mtangazaji wa kile kipindi ningekuwa napiga Sana miayo mixer usingizi.

Sijui wanawatoa wapi wale wasanii. Ila mkuu, x- DC si chuma lakini?
Huyo bro anakula pesa za hongo za underground.
Kweli ni mpambe sana....pesa haishindwi utasifiwa hata ukitoa hewa chafu...unaambia inanukia kuliko pafyum
 
Mungu nifundishe kunyamaza
IMG-20230310-WA0191.jpg
 
Back
Top Bottom