Huyu ndiye Jane Nyamsenda, DC mstaafu wa Sumbawanga

Huyu ndiye Jane Nyamsenda, DC mstaafu wa Sumbawanga

Vijana tunaotafuta maisha hatushindwi kumuoa
687C231B-708A-4123-97EF-4A38BDA5384F.jpeg
 
Uongozi sio Mashindano ya ulimbwende, tuheshimu hizo nafasi za uteuzi.
Jane yupo vizuri sana, anaishi maisha halisi na anatendea vema nafasi yake ya uongozi.
Nampongeza sana. Ni bahati mbaya tuu ametenguliwa lakini kitu cha kuzingatia ni kuwa yupo natural sana.
Zaidi sio kila mtu ni mbunifu/mtaalamu wa kuchagua mavazi. Someday atapata mshauri mzuri wa mavazi.

Naamini Mama Samia amemuandalia teuzi nyingine.

"Song - Usifurahi juu yangu" by Upendo Nkone.
Wewe ni great thinker- best comment ever God bless u
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Back
Top Bottom