Huyu ndiye Jane Nyamsenda, DC mstaafu wa Sumbawanga

Huyu ndiye Jane Nyamsenda, DC mstaafu wa Sumbawanga

Dc mzuri Sana tatizo lake lipo kichwani hamna kitu

Sura sio issue. Sana maana hapa Tatizo watu vichwani hamna kitu empty mind
Mkuu, empty mind kivipi wakati ni Daktari wa Falsafa!! Si umeona gamba la PhD!😃
 
Kuna zile website ukiingia google kama unataka kujisajili sehemu ya gender kuna kipengele kimeandika
1.Female
2.Male
3.Other
Hii ya mwisho maana yake nini
Hiyo ya OTHER inamhusu huyu DC aisee!
 
JF bhana, hii wanajifanya hawaioni ili mradi tu wendelee kumsengenya na kumsimanga dada wa Watu,
Lakini pia kwa mujibu wa kabila lake la Kikurya haishangazi kua na muonekano huo.
JamiiForums-768896786.jpg
 
Mhuni kama wahuni wengine1 Hatari sana tena sana. Huyu kweli anaongoza watu! Nchi hii Mungu aiangamize aiumbe upya na viumbe wapya
Mkuu mbona kama umekata tamaa sasa kama watu hawatagadilika hadi unaomba gharika
Hatari na nusu
 
Mkuu mbona kama umekata tamaa sasa kama watu hawatagadilika hadi unaomba gharika
Hatari na nusu
sasa kama huyu niye anayetuongoza, basi hatuna maana duniani! Actually swa na lile jinamizi, hatupashwi as human beings kuwa treated hivi!
 
sasa kama huyu niye anayetuongoza, basi hatuna maana duniani! Actually swa na lile jinamizi, hatupashwi as human beings kuwa treated hivi!
Yani hata aliependekeza jina lahuyo msanii anatakiwa pia aliwe kichwa. Hiyo nidhihaka kwa Mh. Rais
 
..mbona anaonekana kama ni wale watu wa ule upinde wa rangirangi...[emoji41][emoji41]
 
Back
Top Bottom