Huyu ndiye kiongozi na mgombea tunayetegemea atumie 'Neoclassical economics' na adadavue 'Complex Economic Boost Projects' Kuondoa umasikini Tanzania

Huyu ndiye kiongozi na mgombea tunayetegemea atumie 'Neoclassical economics' na adadavue 'Complex Economic Boost Projects' Kuondoa umasikini Tanzania

Abraham Lincolnn

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2018
Posts
2,754
Reaction score
4,975
GkZqm57WoAA8A7Y.jpeg


Huyu ndiye kiongozi ambaye wananchi wa Huko Kilongosi Mtwara, Wanamtegemea atumie akili yake kuinua sekta ya Viwanda na Kutafuta masoko ndani na nje ya nchi ili wauze korosho zao

Huyu Ndiye Mgombea ambaye wanafunzi wanaokaa chini kwa kukosa madawati, Wanamtegemea achacharike kufanya transformed economics based on agriculture and handicrafts into economies based on large-scale industry, mechanized with manufacturing sector ili wapate madawati wasiketi chini.

Huyu ndiye mgombea tunayetegemea afanye technological advancements haswa katika ulimwengu huu wa AI, Ahangaikie ujenzi wa miundombinu ya kisasa ili kuboost uchumi,

Huyu ndiye kiongozi tunayetarajia asisitize na kuwekeza katika miundombinu na teknolojia, kukuza uvumbuzi na utafiti na maendeleo, kusaidia biashara ndogo na za kati (SMEs), kukuza wafanyakazi wenye ujuzi, kukuza biashara na ufikiaji wa masoko, kuunda mazingira mazuri ya udhibiti, na kuzingatiaatia industrial revolution v 4.0 kama vile uhandisi otomatiki na uchanganuzi wa data ili Tanzania iweze kukuza viwanda na kuinua uchumi wa nchi.

MUNGU IBARIKI TANZANIA

download (40).jpeg
 
"Tunataka kuona katika Taifa hili, vijana jeuri na wenye kujiamini, si vijana waoga, akina "ndiyo bwana mkubwa", vijana wanaohoji na kupiga vita mifumo ya jamii isiyoshabihiana na matakwa na matarajio ya jamii ya kitanzania. Tunataka vijana waasi dhidi ya mifumo kandamizi, ubwana na ufisadi katika Taifa"

Mwl J.K. Nyerere, Rais wa Kwanza wa Tanzania
 
Amesikika anasema 'Kuna watoto wawili, wamenishauri kuhusu Mchezo namm kua Kijumbe , mnaweza kuona kama uchekeshaji ila ukiitazama kwakweli inafaa, hasa ukizingatia huko nje misaada Kila siku wanakata".


Yaan anaona anaweza kuanziasha mchezo, na yeye akawa Kijumbe ,kwamba mwezi huu akapokea Ruto, mwezi ujao akapokea Kagame, mwezi ujao Burundi ,n.k


Kweli bana, nayeye akaona alibebe kama ukombozi !! 🤣

Lkn Mkuu jambo nililonalo uhakika, Watu walomzunguka , Kichwan ni weupe.
 
Wananchi watajiletea maendeleo wenyewe...iwe ni maendeleo ya kijamii au kiuchumi...na hilo litawezekana kupitia bidii ya kazi, ujuzi na ubunifu....Ni wananchi pia watakaoamua au kutengeneza mifumo na taasisi ( dola na sheria) za kuwezesha na kulinda matunda ya bidii zao....
 
Wanaposimama na kusema tunasikiliza kero, haya ndio ya kuwauliza Live
 
Unatafuta ban kwa Nguvu
Mzee Mgaya tulia. Huo nsdo uhuru wa maoni. Mbona mtoa mada kaongea mambo ya msingi tu?
View attachment 3245697

Huyu ndiye kiongozi ambaye wananchi wa Huko Kilongosi Mtwara, Wanamtegemea atumie akili yake kuinua sekta ya Viwanda na Kutafuta masoko ndani na nje ya nchi ili wauze korosho zao

Huyu Ndiye Mgombea ambaye wanafunzi wanaokaa chini kwa kukosa madawati, Wanamtegemea achacharike kufanya transformed economics based on agriculture and handicrafts into economies based on large-scale industry, mechanized with manufacturing sector ili wapate madawati wasiketi chini.

Huyu ndiye mgombea tunayetegemea afanye technological advancements haswa katika ulimwengu huu wa AI, Ahangaikie ujenzi wa miundombinu ya kisasa ili kuboost uchumi,

Huyu ndiye kiongozi tunayetarajia asisitize na kuwekeza katika miundombinu na teknolojia, kukuza uvumbuzi na utafiti na maendeleo, kusaidia biashara ndogo na za kati (SMEs), kukuza wafanyakazi wenye ujuzi, kukuza biashara na ufikiaji wa masoko, kuunda mazingira mazuri ya udhibiti, na kuzingatiaatia industrial revolution v 4.0 kama vile uhandisi otomatiki na uchanganuzi wa data ili Tanzania iweze kukuza viwanda na kuinua uchumi wa nchi.

MUNGU IBARIKI TANZANIA

View attachment 3245698
Una hoja usikilizwe.
 
Mshauri mkuu Prof. Palamagamba Kabudi,, matumizi ya sanaa na michezo kubeba agenda ya chama dola kongwe kubaki madarakani kwa kuprogamu upya uwezo wa kufikiri wa mtanzania :

Uteuzi wa kimkakati wa Profesa Palamagamba Kabudi, ni hatua nzito ya serikali kujipanga kushinda vita ya habari yaani propaganda.
1740255848227.jpeg

Picha : Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Palamagamba Kabudi PhD


Vyombo kama TBC, TBC radio, Habari Leo Daily News, Idara ya Maelezo vimekuwa vikisinzia kuitetea serikali ya awamu ya 6 kiasi ya kuwa vyombo vya mitandao ya kijamii vimeibuka washindi katika kuunda sura (ku shape ) ya yanayoendelea nchi huku vyombo vya umma vikikosa wasikilizaji, wasomaji na wachangiaji (comments) iwe katika lugha ya KiSwahili au Kiingereza

Hivyo hatua ya uteuzi wa leo ni kujaribu kurudisha mizania kuegemea upande wa serikali na chama tawala au angalau kuweka mzania sawa balanced kutoka hali ya sasa ambapo vyombo vya habari vya umma vya kieletroniki, radio, televisheni vimeshindwa vita hii ya habari information war

Soma Pia: Rais Samia afanya uteuzi: Masauni apigwa chini Wizara ya Mambo ya ndani, Kabudi apelekwa Wizara ya Habari na Michezo, Janabi kuwa mshauri wa Rais

Profesa Palamagamba Kabudi sasa kuendeleza propaganda :
Vita ya habari au information war ni zana muhimu kutetea uhalali wa maamuzi, matukio na mafanikio

USIPITWE TAZAMA KIPINDI AGENDA 2020 | MADA : FAIDA NA ATHARI ZA PROPAGANDA KWA TAIFA
  • White propaganda kutafuta heshima kupitia taarifa za kweli
  • Black propaganda chanzo hakitambuliki na pia taarifa siyo za kweli
  • Grey propaganda ipo katikati baina ya ukweli na uwongo

View: https://m.youtube.com/watch?v=OwLNl_fv_CY

Source : Star TV Habari
 
Amesikika anasema 'Kuna watoto wawili, wamenishauri kuhusu Mchezo namm kua Kijumbe , mnaweza kuona kama uchekeshaji ila ukiitazama kwakweli inafaa, hasa ukizingatia huko nje misaada Kila siku wanakata".


Yaan anaona anaweza kuanziasha mchezo, na yeye akawa Kijumbe ,kwamba mwezi huu akapokea Ruto, mwezi ujao akapokea Kagame, mwezi ujao Burundi ,n.k


Kweli bana, nayeye akaona alibebe kama ukombozi !! 🤣

Lkn Mkuu jambo nililonalo uhakika, Watu walomzunguka , Kichwan ni weupe.
Mkuu ni kweli hii kauli???!!???
 
Back
Top Bottom