Huyu ndiye kiongozi na mgombea tunayetegemea atumie 'Neoclassical economics' na adadavue 'Complex Economic Boost Projects' Kuondoa umasikini Tanzania

Huyu ndiye kiongozi na mgombea tunayetegemea atumie 'Neoclassical economics' na adadavue 'Complex Economic Boost Projects' Kuondoa umasikini Tanzania

"Tunataka kuona katika Taifa hili, vijana jeuri na wenye kujiamini, si vijana waoga, akina "ndiyo bwana mkubwa", vijana wanaohoji na kupiga vita mifumo ya jamii isiyoshabihiana na matakwa na matarajio ya jamii ya kitanzania. Tunataka vijana waasi dhidi ya mifumo kandamizi, ubwana na ufisadi katika Taifa"

Mwl J.K. Nyerere, Rais wa Kwanza wa Tanzania
Kuna ndugu zangu walimu wamemaliza vyuo hawan ajira ikiwa serikali Yao inatumia vibaya vinavyokusanywa, na migandamizo katika ukusanyaj Yani buashara ndogo macertificate na maleseni kibao yote pesa. Muamze kumtumia ualimi wenu kuelimisha udhalimi wa fisiemu
 
"Tunataka kuona katika Taifa hili, vijana jeuri na wenye kujiamini, si vijana waoga, akina "ndiyo bwana mkubwa", vijana wanaohoji na kupiga vita mifumo ya jamii isiyoshabihiana na matakwa na matarajio ya jamii ya kitanzania. Tunataka vijana waasi dhidi ya mifumo kandamizi, ubwana na ufisadi katika Taifa"

Mwl J.K. Nyerere, Rais wa Kwanza wa Tanzania
Mmwisho wa siku ni vijana wa Kenya ndiyo walio ielewa kauli Mwl Jk Nyerere, hapa kwetu vijana wanaimba Samia anaupiga mwingi. Wana wachamba Roma na Ney wa mitego kisa hawaimbi "anaupiga mwingi"
 
Mama mitano tena..

Acha na mimi nitafute umaarufu huko kwenye mavichekesho.
 
"Tunataka kuona katika Taifa hili, vijana jeuri na wenye kujiamini, si vijana waoga, akina "ndiyo bwana mkubwa", vijana wanaohoji na kupiga vita mifumo ya jamii isiyoshabihiana na matakwa na matarajio ya jamii ya kitanzania. Tunataka vijana waasi dhidi ya mifumo kandamizi, ubwana na ufisadi katika Taifa"

Mwl J.K. Nyerere, Rais wa Kwanza wa Tanzania
Vijana wa Sasa wamegeuzwa machawa na ushabiki wa kupitiliza wa Simba na Yanga. Ukiwakosa huko, unawakuta kwa diamond na zuchu na visungura.
 
Kiongozi anahangaika na mambo ambayo hata hayana/ yana impact ndogo sana kwa uchumi wa nchi as long as inampa mileage kisiasa! Mambo ya ajabu sana.
 
View attachment 3245697

Huyu ndiye kiongozi ambaye wananchi wa Huko Kilongosi Mtwara, Wanamtegemea atumie akili yake kuinua sekta ya Viwanda na Kutafuta masoko ndani na nje ya nchi ili wauze korosho zao

Huyu Ndiye Mgombea ambaye wanafunzi wanaokaa chini kwa kukosa madawati, Wanamtegemea achacharike kufanya transformed economics based on agriculture and handicrafts into economies based on large-scale industry, mechanized with manufacturing sector ili wapate madawati wasiketi chini.

Huyu ndiye mgombea tunayetegemea afanye technological advancements haswa katika ulimwengu huu wa AI, Ahangaikie ujenzi wa miundombinu ya kisasa ili kuboost uchumi,

Huyu ndiye kiongozi tunayetarajia asisitize na kuwekeza katika miundombinu na teknolojia, kukuza uvumbuzi na utafiti na maendeleo, kusaidia biashara ndogo na za kati (SMEs), kukuza wafanyakazi wenye ujuzi, kukuza biashara na ufikiaji wa masoko, kuunda mazingira mazuri ya udhibiti, na kuzingatiaatia industrial revolution v 4.0 kama vile uhandisi otomatiki na uchanganuzi wa data ili Tanzania iweze kukuza viwanda na kuinua uchumi wa nchi.

MUNGU IBARIKI TANZANIA

View attachment 3245698
😡
 
Tukio zima zinapigwa nyimbo za CCM za Kampeni wakati hata muda wa kampeni kisheria haujafika.

Alafu kuna mijitu inasema eti inaenda kushiriki uchaguzi! Nchi hii ina laana na vichekesho sana.
Sijajua Hofu ya Mama inatoka wapi kiasi hiki
 
View attachment 3245697

Huyu ndiye kiongozi ambaye wananchi wa Huko Kilongosi Mtwara, Wanamtegemea atumie akili yake kuinua sekta ya Viwanda na Kutafuta masoko ndani na nje ya nchi ili wauze korosho zao

Huyu Ndiye Mgombea ambaye wanafunzi wanaokaa chini kwa kukosa madawati, Wanamtegemea achacharike kufanya transformed economics based on agriculture and handicrafts into economies based on large-scale industry, mechanized with manufacturing sector ili wapate madawati wasiketi chini.

Huyu ndiye mgombea tunayetegemea afanye technological advancements haswa katika ulimwengu huu wa AI, Ahangaikie ujenzi wa miundombinu ya kisasa ili kuboost uchumi,

Huyu ndiye kiongozi tunayetarajia asisitize na kuwekeza katika miundombinu na teknolojia, kukuza uvumbuzi na utafiti na maendeleo, kusaidia biashara ndogo na za kati (SMEs), kukuza wafanyakazi wenye ujuzi, kukuza biashara na ufikiaji wa masoko, kuunda mazingira mazuri ya udhibiti, na kuzingatiaatia industrial revolution v 4.0 kama vile uhandisi otomatiki na uchanganuzi wa data ili Tanzania iweze kukuza viwanda na kuinua uchumi wa nchi.

MUNGU IBARIKI TANZANIA

View attachment 3245698
Tuliuziwa mbuzi kwenye gunia
 
Sema huyu mama ana muda mwingi sana wa kupoteza.
Hana kazi inayomfanya afikiri Ndio maana ana muda wa kwenda kwenye comedy!
Dunia inapitia mambo mengi ambayo yataathiri uchumi wa nchi haswa haswa sera mpya za marekani kuhusu Africa! Huu ndio wakati wa nchi kutafakari jinsi ya kukabiliana na sera mpya za tariff za marekani
na jinsi zitakavyoathiri biashara ya exports zetu ; na kuangalia wapi tufanye adjustments kwenye budget yetu kupunguza makali ya maisha kwa wananchi!
Marekani Wamefuta misaada mingi kwa nchi za nje, serikali yetu tegemezi imejipanga vipi kuziba Miamya ilioachwa kwa Shirika la USAID kufutwa?
Ningeshauri serikali kupunguza matumizi yake ya anasa Kama vile safari zisizokuwa za lazima . Pia kununua magari pale inapokuwa ni lazima badala ya kununua magari ili mradi fedha zimetengwa bila kuangalia uhitaji.
 
Back
Top Bottom