Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Andiko langu linajieleza lenyewe mbona.kuliko mama yako mzazi?
sawaAndiko langu linajieleza lenyewe mbona.
Ndio ndio,Mimi ni mkulima na sina njaa.
Basi na wewe limaNdio ndio,
Unalima JF!
Tundu Lisu ndiye kiongozi anayependwa na kukubalika na kila mtu, isipokuw amafisadi na watoto wao. huu ndio ukweli mchungu kwa wengi.Ndugu zangu Watanzania,
Kuna mwanadamu mmoja na Raia mmoja ambaye kwa sasa ndiye anayependwa , kukubalika,kuungwa mkono na mwenye ushawishi wa hali ya juu sana hapa Nchini.Ndiye Binadamu ambaye asipoonekana hata kwa siku moja tu hadharani watu wanaanza kumtafuta kama Pesa.Ni kiongozi ambaye anapendwa na watu wa makundi yote na mwenye kuheshimika sana hapa Nchini.
Huyu ndiye kiongozi na Mtu ambaye maneno yake tu huwafanya wagonjwa waliolazwa wodini na mahospitalini kupata tabasamu na nafuu na kujihisi wamepona wamuonapo mbele ya nyuso zao .ndiye kiongozi mwenye uwezo wa kuwapa faraja watu wenye majeraha mioyoni mwao.ndiye kiongozi ambaye kwa sasa ameteka mioyo ya mamilioni ya watanzania. Ndiye kiongozi pekee mwenye uwezo wa kuzungumza na kusikilizwa na kuaminika na kuaminiwa kwa jambo lolote lile.
Ndiye kiongozi ambaye amebeba matumaini na hatima ya maisha ya mamilioni ya watanzania mikononi mwake,ndiye kiongozi ambaye watu wote humtizama yeye kama nyota ya asubuhi kwa wavuvi.ndiye mtu ambaye watu wana imani ya kutimiza ndoto zao kupitia yeye.ndiye kiongozi ambaye amefanya mioyo na vifua vya watanzania kujawa na furaha ,amani, utulivu, matumaini na matarajio makubwa sana.
Anapendwa , kukubalika,kuungwa mkono ,kuaminika na kuwa na ushawishi Hapa Nchini kwa sababu Maisha yake hapa Duniani yamefanyika kuwa baraka kwa mamilioni ya watu .kwa sababu amegusa mioyo na Maisha ya mamilioni ya watanzania,kwa sababu ameleta tabasamu na matumaini kwa watu,kwa sababu ameleta nuru katikati ya Giza ya maisha ya watu,kwa sababu ameonyesha njia ya matumaini kwa watu waliokuwa wapo njia panda.kwa sababu amewezesha wengi kutimiza ndoto zao,kwa sababu kila uchao umekuwa bora kuliko jana kwa watanzania.
Huyu ni Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge.huyu ndiye mboni ya Taifa letu .ndiye aliyebeba na kushikilia furaha ya mamilioni ya watanzania.kwahakika Mama huyu jasiri , shupavu, imara, hodari na madhubuti ataendelea kuwa nguzo ya Amani ya Taifa letu kwa ulimi wake,matendo yake na uchapakazi wake utakuwa msingi wa ustawi wa Taifa letu na watanzania wote kwa ujumla wake.
Huyu Mama ni kama Maji tu usipoyanywa utayaoga tuuu utake usitake. Huwezi kumkwepa wala kumchafua wala kumpaka matope.Maana kibali alichopewa na Mungu kuongoza Taifa hili hakiwezi kunyang'anywa na Mwanadamu wala kuharibiwa na mtu mbele za watanzaniaView attachment 3160299View attachment 3160300
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kwenye chama chake tu kwenyewe hawamtaki na ndio maana hawamuungi mkono.si uliona hata michango yake ilivyokuwa inasua sua?Tundu Lisu ndiye kiongozi anayependwa na kukubalika na kila mtu, isipokuw amafisadi na watoto wao. huu ndio ukweli mchungu kwa wengi.
nakuhakikishia, tungekuwa fair, wakaweza polls electronic kila mtu apige kwa siri, Tundu Lisu anapendwa kuliko mwanasiasa yeyote yule. wapo hadi wanaccm hawatampigia samia kura.Kwenye chama chake tu kwenyewe hawamtaki na ndio maana hawamuungi mkono.si uliona hata michango yake ilivyokuwa inasua sua?
Nia na Dhamira yake njema imeliunganisha Taifa na kuifungua nchi kimataifa.Ndugu zangu Watanzania,
Kuna mwanadamu mmoja na Raia mmoja ambaye kwa sasa ndiye anayependwa , kukubalika,kuungwa mkono na mwenye ushawishi wa hali ya juu sana hapa Nchini.Ndiye Binadamu ambaye asipoonekana hata kwa siku moja tu hadharani watu wanaanza kumtafuta kama Pesa.Ni kiongozi ambaye anapendwa na watu wa makundi yote na mwenye kuheshimika sana hapa Nchini.
Huyu ndiye kiongozi na Mtu ambaye maneno yake tu huwafanya wagonjwa waliolazwa wodini na mahospitalini kupata tabasamu na nafuu na kujihisi wamepona wamuonapo mbele ya nyuso zao .ndiye kiongozi mwenye uwezo wa kuwapa faraja watu wenye majeraha mioyoni mwao.ndiye kiongozi ambaye kwa sasa ameteka mioyo ya mamilioni ya watanzania. Ndiye kiongozi pekee mwenye uwezo wa kuzungumza na kusikilizwa na kuaminika na kuaminiwa kwa jambo lolote lile.
Ndiye kiongozi ambaye amebeba matumaini na hatima ya maisha ya mamilioni ya watanzania mikononi mwake,ndiye kiongozi ambaye watu wote humtizama yeye kama nyota ya asubuhi kwa wavuvi.ndiye mtu ambaye watu wana imani ya kutimiza ndoto zao kupitia yeye.ndiye kiongozi ambaye amefanya mioyo na vifua vya watanzania kujawa na furaha ,amani, utulivu, matumaini na matarajio makubwa sana.
Anapendwa , kukubalika,kuungwa mkono ,kuaminika na kuwa na ushawishi Hapa Nchini kwa sababu Maisha yake hapa Duniani yamefanyika kuwa baraka kwa mamilioni ya watu .kwa sababu amegusa mioyo na Maisha ya mamilioni ya watanzania,kwa sababu ameleta tabasamu na matumaini kwa watu,kwa sababu ameleta nuru katikati ya Giza ya maisha ya watu,kwa sababu ameonyesha njia ya matumaini kwa watu waliokuwa wapo njia panda.kwa sababu amewezesha wengi kutimiza ndoto zao,kwa sababu kila uchao umekuwa bora kuliko jana kwa watanzania.
Huyu ni Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge.huyu ndiye mboni ya Taifa letu .ndiye aliyebeba na kushikilia furaha ya mamilioni ya watanzania.kwahakika Mama huyu jasiri , shupavu, imara, hodari na madhubuti ataendelea kuwa nguzo ya Amani ya Taifa letu kwa ulimi wake,matendo yake na uchapakazi wake utakuwa msingi wa ustawi wa Taifa letu na watanzania wote kwa ujumla wake.
Huyu Mama ni kama Maji tu usipoyanywa utayaoga tuuu utake usitake. Huwezi kumkwepa wala kumchafua wala kumpaka matope.Maana kibali alichopewa na Mungu kuongoza Taifa hili hakiwezi kunyang'anywa na Mwanadamu wala kuharibiwa na mtu mbele za watanzaniaView attachment 3160299View attachment 3160300
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hata kura zipigwe na kusimamiwa na tume kutoka Marekani bado Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan atapita na kushinda kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima.Rais Samia anapendwa na kukubalika kuliko hata pesa ya mmarekaninakuhakikishia, tungekuwa fair, wakaweza polls electronic kila mtu apige kwa siri, Tundu Lisu anapendwa kuliko mwanasiasa yeyote yule. wapo hadi wanaccm hawatampigia samia kura.
Yes,Tlaatlaah jentromen
Utashangaa CHADEMA wanachukia na kununa wakati wanajua ukweli kuwa Mama anapendwa kupita kiasi.Yes,
ukweli usemwe wazi bila kificho.
kuambiana ukweli ni jambo la maana sana kwa ustawi wa jamii yoyote iliyostaarabika gentleman.
Dr.Samia suluhu Hassan, kipenzi cha waTanzania anapendwa mno, anaaminika na anakubalika mno kitaifa na kimataifa kote ulimwenguni.Huu ni ukweli wa kizalendo zaidi 🐒
Uko wodi namba ngapi tuje kukupa poleHuyu ndiye kiongozi na Mtu ambaye maneno yake tu huwafanya wagonjwa waliolazwa wodini na mahospitalini kupata tabasamu na nafuu na kujihisi wamepona
Anzisha mizania(kura) ya maoni hapa jf tupime unachotuaminishaRais Samia ni kipenzi cha mamillioni ya watanzania.Huyu Mama anapendwa sijapata kuona wala kushuhudia.
wataisoma namba,hata wakinuna..Utashangaa CHADEMA wanachukia na kununa wakati wanajua ukweli kuwa Mama anapendwa kupita kiasi.
Amebakiza miezi 10 arudi KIZIMKAZI,Ndugu zangu Watanzania,
Kuna mwanadamu mmoja na Raia mmoja ambaye kwa sasa ndiye anayependwa , kukubalika,kuungwa mkono na mwenye ushawishi wa hali ya juu sana hapa Nchini.Ndiye Binadamu ambaye asipoonekana hata kwa siku moja tu hadharani watu wanaanza kumtafuta kama Pesa.Ni kiongozi ambaye anapendwa na watu wa makundi yote na mwenye kuheshimika sana hapa Nchini.
Huyu ndiye kiongozi na Mtu ambaye maneno yake tu huwafanya wagonjwa waliolazwa wodini na mahospitalini kupata tabasamu na nafuu na kujihisi wamepona wamuonapo mbele ya nyuso zao .ndiye kiongozi mwenye uwezo wa kuwapa faraja watu wenye majeraha mioyoni mwao.ndiye kiongozi ambaye kwa sasa ameteka mioyo ya mamilioni ya watanzania. Ndiye kiongozi pekee mwenye uwezo wa kuzungumza na kusikilizwa na kuaminika na kuaminiwa kwa jambo lolote lile.
Ndiye kiongozi ambaye amebeba matumaini na hatima ya maisha ya mamilioni ya watanzania mikononi mwake,ndiye kiongozi ambaye watu wote humtizama yeye kama nyota ya asubuhi kwa wavuvi.ndiye mtu ambaye watu wana imani ya kutimiza ndoto zao kupitia yeye.ndiye kiongozi ambaye amefanya mioyo na vifua vya watanzania kujawa na furaha ,amani, utulivu, matumaini na matarajio makubwa sana.
Anapendwa , kukubalika,kuungwa mkono ,kuaminika na kuwa na ushawishi Hapa Nchini kwa sababu Maisha yake hapa Duniani yamefanyika kuwa baraka kwa mamilioni ya watu .kwa sababu amegusa mioyo na Maisha ya mamilioni ya watanzania,kwa sababu ameleta tabasamu na matumaini kwa watu,kwa sababu ameleta nuru katikati ya Giza ya maisha ya watu,kwa sababu ameonyesha njia ya matumaini kwa watu waliokuwa wapo njia panda.kwa sababu amewezesha wengi kutimiza ndoto zao,kwa sababu kila uchao umekuwa bora kuliko jana kwa watanzania.
Huyu ni Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge.huyu ndiye mboni ya Taifa letu .ndiye aliyebeba na kushikilia furaha ya mamilioni ya watanzania.kwahakika Mama huyu jasiri , shupavu, imara, hodari na madhubuti ataendelea kuwa nguzo ya Amani ya Taifa letu kwa ulimi wake,matendo yake na uchapakazi wake utakuwa msingi wa ustawi wa Taifa letu na watanzania wote kwa ujumla wake.
Huyu Mama ni kama Maji tu usipoyanywa utayaoga tuuu utake usitake. Huwezi kumkwepa wala kumchafua wala kumpaka matope.Maana kibali alichopewa na Mungu kuongoza Taifa hili hakiwezi kunyang'anywa na Mwanadamu wala kuharibiwa na mtu mbele za watanzaniaView attachment 3160299View attachment 3160300
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Naam dogo ana mental health problem zamani MENTAL DISORDER 🤣🤣 siku hizi neno limepunguzwa makaliHivi Kwa Nini Sasa hivi Tanzania imeongezeka idadi ya wendawazimu?wataalamu wafanye utafiti ili kuliokoa taifa kujua chanzo Cha wendawazimu kuongezeka ili tuchukue hatua kuondoa hii hali
Boksi la kura linakuja mwakani.kwa hiyo utayaona matokeo yake .Anzisha mizania(kura) ya maoni hapa jf tupime unachotuaminisha