Huyu ndiye Kiongozi

Huyu ndiye Kiongozi

Haki ni muhimu sana Mkuu. Vunja nyumba za Wananchi ili kupitisha barabara au chochote kile, lakini walipwe fidia inayostahili. Tathmini ya nyumba zao ifanywe na wataalamu na walipwe hela nzuri kutokana na thamani ya nyumba zao kama ni milioni 50 au hata 100 badala ya kuwafanyia ukatili wa kutisha na kuwadhulumu mali yao ya miaka 45 au zaidi.
Ndio mkuu wangepaswa wafanye hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kwani waliochakachua rasimu ya Warioba ni chama kipi? Kama yeye haliungi mkono hilo kwanini akatoa kauli kwamba katiba mpya si kipaumbele chake?

Acha ujinga wewe? Yaani kitu hakiwezi kuhojiwa uraiani mpaka kihojiwe Bungeni? Ni sheria ipi hiyo inayozuia Wabunge kuihoji Serikali nje ya Bunge? Kitu kimetokea July Wabunge wa upinzani wasubiri miezi miwili ndiyo wakahoji Bungeni wa wapi wewe? Hebu tuwekee kifungu cha sheria ambacho hakiwaruhusu Wabunge kuhoji chochote kile nje ya Bunge.

Eti magazeti ya Tanzania yana tabia ya kuelemea upande mmoja! Na yake magazeti ya kufungia maandazi yanaegemea upande upi? Au hayastahili kuwemo katika magazeti ya Tanzania?

Hujui kwa nini Chadema kinaandamwa? Chadema kinaandamwa kwa sababu ni tishio kubwa kwa chama cha wahuni na mafisadi. Pamoja na propaganda chafu za wahuni na mafisadi wa CCM kwamba Chadema ni chama cha Wachagga na Wakristo lakini katika chaguzi zote kimeongeza idadi ya Wabunge katika mikoa mingi nchini.

Hivi unadhani Pole pole aliposema kama uchaguzi ukiwa huru na wa haki CCM ijiandae kukabidhi Ikulu alikuwa anamaanisha ni chama kipi kitaishinda CCM na kuingia Ikulu!? Tia akili kichwani achana na UZWAZWA.



Wewe umelewa Kenya na huyo Uhuru, hivi nini kilimpata Gado alipowachora hao kima Kenyatta, au juzi tuu yaliomkuta Robert Alai. Magazeti ya Tanzania yana tabia ya kuelemea upande mmoja wa kisiasa bila kufuata utaratibu au kanuni za kiundishi. Magazeti ya Kenya yanashindwa kufanya hivyo kwasababu yakiandika vibaya kundi fulani kabila lote la huko watakushambulia.

Sasa kushindwa kuhoji uchaguzi mahakamani na hayo yameletwa na Magufuli? Maana watu wengine mtamlaumu Magufuli hata mkikosa usingizi. Wewe umejaa mapemzi kwa Kenyatta, na unaimani kwamba anaheshimu katiba, nimekuuliza hapo nyuma mbona anapindua pindua sheria kwa mgongo wa bunge la upande mmoja huku wapinzani wakikosa nguvu ya kupinga?

Unauliza kwanini wapinzani wananyimwa haki yao, katika vyama 18, ni vingapi vina nyimwa hiyo haki? Jee huyo aliye hoji ndege, ameshindwa kutumia nafasi yake kama mbunge na kuhoji serikali bungeni kuliko kuhoji barabarani? Halafu unashangaa kwanini katika vyama 18 ni hicho tuu ndio kina andamwa. Si ndio huyo bwana aliyesimama bungeni ni kuvujisha siri zote za hii nchi huku akijuwa yuko bungeni na hakuna watakacho nifanya. Saa nyingine watu wamesoma lakini akili za kiungwana ni bure kabisa. Mnakibilia kusema watu wamehongwa, hiyo ni njia nyepesi mnatumia kujibu hoja za watu waliochoshwa na harakati zisizo zaa matumda.
 
Kwani waliochakachua rasimu ya Warioba ni chama kipi? Kama yeye haliungi mkono hilo kwanini akatoa kauli kwamba katiba mpya si kipaumbele chake?

Acha ujinga wewe? Yaani kitu hakiwezi kuhojiwa uraiani mpaka kihojiwe Bungeni? Ni sheria ipi hiyo inayozuia Wabunge kuihoji Serikali nje ya Bunge? Kitu kimetokea July Wabunge wa upinzani wasubiri miezi miwili ndiyo wakahoji Bungeni wa wapi wewe? Hebu tuwekee kifungu cha sheria ambacho hakiwaruhusu Wabunge kuhoji chochote kile nje ya Bunge.

Eti magazeti ya Tanzania yana tabia ya kuelemea upande mmoja! Na yake magazeti ya kufungia maandazi yanaegemea upande upi? Au hayastahili kuwemo katika magazeti ya Tanzania?

Hujui kwa nini Chadema kinaandamwa? Chadema kinaandamwa kwa sababu ni tishio kubwa kwa chama cha wahuni na mafisadi. Pamoja na propaganda chafu za wahuni na mafisadi wa CCM kwamba Chadema ni chama cha Wachagga na Wakristo lakini katika chaguzi zote kimeongeza idadi ya Wabunge katika mikoa mingi nchini.

Hivi unadhani Pole pole aliposema kama uchaguzi ukiwa huru na wa haki CCM ijiandae kukabidhi Ikulu alikuwa anamaanisha ni chama kipi kitaishinda CCM na kuingia Ikulu!? Tia akili kichwani achana na UZWAZWA.


Chadema sio tishio kwa kitu mtu yoyote, Chadema sio chama cha kigaidi (well ukiacha Red brigade).

Nilitegenea utaongea yenye mantiki lakini naona misuto ndio imeshika hatamu. Kwahiyo kura ya mtu mmoja imeweza kufanya nchi hii isiwe na katiba mpya. Katiba ambayo unasema imechakachuliwa na hapo hapo rais amesema hiyo katiba iliyochakachuliwa sio kipaumbele chake.

Anyway Chadema mmezoea kutatua matatizo yenu kwa mabavu, lakini kina Rungwe, Mbatia, Cheyo, Kabwe wapo tuu wanatinga siasa kama kawa.
 
FullSizeRender_6.jpg
 
Kwa akili yako ya KIZWAZWA, Kikwete kaamua kuja hadharani kuyasema haya, lakini ZWAZWA wewe Chadema si tishio. Sasa kama Chadema si tishio iweje Nduli dikteta uchwara aiogope katiba huru na tume huru ya uchaguzi? Kwanini akipige marufuku chama ambacho si tishio kisifanye shughuli zake za kihalali nchini hadi 2020? Tia akili kichwani acha kutoa povua zito!
FullSizeRender_6.jpg



Chadema sio tishio kwa kitu mtu yoyote, Chadema sio chama cha kigaidi (well ukiacha Red brigade).

Nilitegenea utaongea yenye mantiki lakini naona misuto ndio imeshika hatamu. Kwahiyo kura ya mtu mmoja imeweza kufanya nchi hii isiwe na katiba mpya. Katiba ambayo unasema imechakachuliwa na hapo hapo rais amesema hiyo katiba iliyochakachuliwa sio kipaumbele chake.

Anyway Chadema mmezoea kutatua matatizo yenu kwa mabavu, lakini kina Rungwe, Mbatia, Cheyo, Kabwe wapo tuu wanatinga siasa kama kawa.
 
Kwa akili yako ya KIZWAZWA, Kikwete kaamua kuja hadharani kuyasema haya, lakini ZWAZWA wewe Chadema si tishio. Sasa kama Chadema si tishio iweje Nduli dikteta uchwara aiogope katiba huru na tume huru ya uchaguzi? Kwanini akipige marufuku chama ambacho si tishio kisifanye shughuli zake za kihalali nchini hadi 2020? Tia akili kichwani acha kutoa povua zito!
FullSizeRender_6.jpg
Haha, yani huyu mliemwita dhahifu na mwaribifu wa rasimu ya katiba leo ndio shujaa. Mm hata Lowassa alikuwa adui leo ni shujaa, Nape vile vile, Sumaye, Kingunge pia. Naamini siku za usoni, Polepole na Magufuli watakuwa mashujaa.
 
Back
Top Bottom