Huyu ndiye Kiongozi

Huyu ndiye Kiongozi

Niliwahi kusema awali kuwa huyu wa kwetu anazidi kuharibika kwa sababu yapo mavuvuzela yamekaa kumsifia hata anapoharibu. Na kwa vile hajitambui yaani ushamba umetamalaki, basi anavimba kichwa kwa sifa hizo na kuona anafanya sawa. Lakini haya ya madeni na kamata kamata ya mali ndio akili inaweza kumrudia
Mkuu, ulikuwa sahihi kabisa, kuna watu wamemsifu hata kumuaminisha kwamba yeye ndio mzalendo pekee na mwenye kuipenda nchi kuliko raia yeyote, ni ujinga hakuna raia asiyeipenda nchi yake.
 
Kingine kikubwa ambacho hakipo kwa jirani yake ni kauli za kuheshimu mfumo wa sheria..

Kwa kauli aliyoitoa Uhuru inaonesha anaheshimu sana Mahakama, na ndivyo kiongozi anapaswa kuwa
 
Wabunge wengi walioshindwa kwenye uchaguzi walisahau mojawapo wa sababu za kuangushwa ni hili la wao kulazimisha mishara mikubwa.
 
Kumbuka wakenya wamemchagua tena baada ya kuwaambia raundi hii ATAKUWA kama Magufuli.
 
Hawa Watanzania nao wako hivyo. Kulia lia mara kwa mara kwamba gharama za maisha zimepanda hivyo waongezewe mishahara na marupurupu lakini hawasemi kitu kuhusu mishahara midogo ya raia.

Wabunge wengi walioshindwa kwenye uchaguzi walisahau mojawapo wa sababu za kuangushwa ni hili la wao kulazimisha mishara mikubwa.
 
Gni zamu ya wakenya sasa kina MK254 kupost huko kwao kuwa WaTz (bavicha) wanataka Uhuru awe rais wa Tz.
 
Issue sio kuhamia Kenya..
The matter here ni kwamba Tanzania inaongozwa ovyo..
Hilo wala halina mjadala..
Pogba amesambaratisha kila kilichokuwa walau kimesimama sasa kimelala..
Demokrasia, Uchumi, hali za wafanyakazi, investors wote hoi..
Kingunge alisema huyu ni nyapara wa Barabara Hakupaswa kuongoza Nchi.
Mtamfanya jamaa yetu aache hata kwenda nchi za jirani
 
Huyu jamaa amekulia ikulu, amemuona babake akiongoza, amekulia maisha ya kifahari, amekuzwa na amemuona na kujifunza uongozi pia kwa Moi ana exposure ya kutosha kwenye mambo ya uongozi unategemea aongoze kama mtu aliekulia kijijini ambaye muda wote anataka aonekane ni Raisi wakati tayari ni raisi.
umeandika point kubwa sana
 
sasa mambo ya hamia kenya ndio nini..jamaa amesema maoni yake mmeshaanza kumkashifu kana kwamba ana tamani kuwa mkenya...lol! wabongo tu
 
Back
Top Bottom