Cybercrime
JF-Expert Member
- Feb 14, 2014
- 3,246
- 1,113
FungukaKama mtu aliweza kufunga ndoa na wanawwke wawili ndani ya siku mbili bila wao kujijua unategemea nini? Hao ndo watu wa aina yake.
Wewe kweli umemsikiliza Mange utumbo wake? Zitto anatuaibishaNaona unampaisha na wewe
wewe acha kelele za lumumba mwache KIMAMBI aseme anayoyajua ambayo wewe huyajui unategemea ummmbeeeyyaa!!!Unawezaje kuunga mkono Uzushi na Kauli za Mtu kama huyu? Au ndo tuseme matatizo yenu yanafanana? Ni aibu sana.
View attachment 395265
Mwachen Mange afunguke,huyu ni mwanamke jasiri sana na source ya info zake huzijui tuliaaaUnawezaje kuunga mkono Uzushi na Kauli za Mtu kama huyu? Au ndo tuseme matatizo yenu yanafanana? Ni aibu sana.
View attachment 395265
A negative publicity can be good..Naona unampaisha na wewe
Umeshamaliza kazi kachukue buku 7 huko lumumba usife njaa huyu Mange ndo kiboko yenu.Unawezaje kuunga mkono Uzushi na Kauli za Mtu kama huyu? Au ndo tuseme matatizo yenu yanafanana? Ni aibu sana.
View attachment 395265