Huyu Ndiye Mange Kimambi ambaye uzushi wake unaungwa mkono na Kiongozi Mkuu Wa Chama. Ni aibu!

Status
Not open for further replies.
Heresy is another word for freedom of thought.
 
Zitto hajaunga mkono, amejenga hisia kuwa uwepo tu fununu ni picha mbaya kwa taasisi ya urais
 
Zitto ameshikwa na butwaa pale ambapo ofisi ya makamu wa rais imemjibu Mange,ingekua ni inshu ambayo ni ndogo Zitto alitegemea ofisi ya makamu wa raisi ingepuuzia lakini kwa kitendo cha kujibu alichoandika Mange kimemdhihirishia Zitto kuwa kuna kitu ndani ya taasisi ya uraisi.
 
Hata mimi inanifanya niamini hivyo.
 
If its true Mzushi, I'd rather be Mzushi kuliko mnafiki CCM.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…