miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
[emoji23][emoji23][emoji23] punguza ukorofi Witty.Ila huyu kazidi mweeh
Nahisi hata akienda chooni anatype uzi[emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23] punguza ukorofi Witty.Ila huyu kazidi mweeh
Nahisi hata akienda chooni anatype uzi[emoji16]
Nimemmis na mm huyu memberAna chura?
Demi yupo mkuuDemis nae haonekani, au ndio kashapata ubatizo mpya [emoji23]
Kahama JF lakiniDemi yupo mkuu
Hapana sema nahisi alichange idKahama JF lakini
Mbon[emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu mdada ana maneno ya shombo achaNa CreditAnalyst pia
Tatizo mna mkorofishaHuyu mdada ana maneno ya shombo acha
😀😀JamaniIla huyu kazidi mweeh
Nahisi hata akienda chooni anatype uzi[emoji16]
Mkuu nitampataje huyu dada ana ofa kutoka kwangu?Dada emmyta yumo sana JF, tena anachangia kama kawaida, ila kiukweli ni moja kati ya mdada nimpendae ndani na nje ya JF, ni mstaarabu haswa, haboi wala hana mambo ya kijinga.
Popote ulipo dada emmyta, BIG UP SANA
Infratory soldierIfikee mahali jf founders wawalipe waanzisha threads maarufu. Could be a source of income for some...
Hata kama ni mama mdogo hakuna ubaya akipata lunch, ikiwezekana na wewe pia Baba mdogo uwepo kwenye lunchTambua kwamba uliyemtaja hapo juu ni mama yako mdogo. Hivyo naomba umuoneshe heshima zote huyo mama yako. Natumai tumeelwana kijana wangu.
Ni kweli neno ustaarabu sio universal, wengine kuruhusu ndoa za jinsia moja ndio ustaarabu!Nini maana ya Ustaarabu? Coz kila jamii,kila taifa na kila familia hua zina ustaarabu wake na kila mmoja huona ustaarabu wake ni bora zaidi kuliko ustaarabu wa mwingine.
[emoji23]Ana chura?
[emoji23][emoji23][emoji23]Ila jf jamn