Huyu ndiye Muigizaji Brian Deacon, aliyeigiza kama Yesu na anachokifanya kwa sasa katika Maisha

Sura ya Yesu Ili kuwepo toka karne za mwanzo kabisa za Ukristo.....

Infact huyo muigizaji ametafutwa ili ku-fit kwa sura ambayo ilikuwako karne na karne
Thibitisha ilo kama picha ya YESU ilikuwepo iliifadhiwa wapi ili nikienda Israel nikaifuatilie.
 
Kabisa...
 
Thibitisha ilo kama picha ya YESU ilikuwepo iliifadhiwa wapi ili nikienda Israel nikaifuatilie.
Wewe! Hiyo movie ya juzi tuu....Makanisa yana picha toka karne na karne...

Picha ya Yesu ya the last supper ya Dan vinci ipo tola mwaka 1515 ...jiulize...

Wewe acha utani bana
 
Na yule aliyetasfsiri kwa kiswahili aliweza sana jamani. Sijui ni nani na yuko wapi
 
Inasikitisha wasomi kutoa povu kwenye swala lililowazi kabisa. Hiyo ni movie iliyoigizwa kama KItabu cha Luka. Sasa siwaelewi kabisa yaani walitaka Yesu arudi kuja kuigiza?
 
Hii inajulikana hata mwanzo wa movie wamesema imeigizwa kama kitabu cha injili ya luka. Sasa wewe ndiyo haueleweki uliyeamini huyo ni Yesu
 
Wewe unafahamu yesu alikuwa akifanana vipi?
 
Yesu alizaliwa middle east na middle east hakuna asili ya wazungu, wazungu kwao ni europe...yesu yupo group moja na wayahudi wa asili(sio fake jews km netanyahu) pamoja na waarabu wa palestina, jordan, na lebanon
 
Inasikitisha wasomi kutoa povu kwenye swala lililowazi kabisa. Hiyo ni movie iliyoigizwa kama KItabu cha Luka. Sasa siwaelewi kabisa yaani walitaka Yesu arudi kuja kuigiza?
Ishu siyo movie ishu ni hyo picha ya hyo jamaa mnaitundika majumbani kwenu na kumuita yesu
 
Mkuu ivi unajua maana ya sanamu?
Soma kitabu cha kumbukumbu la Torati kitakusaidia inawezekana unaabudu bila kujua ukibisha nakuwekea ushahidi. Wakatoriki wanaabudu sanamu.
Soma Leviticus 26:1. Msifanye sanamu yoyote, wala msijisimamishie sanamu ya kuchonga, wala mnara, Jiwe lolote lililochorwa katika nchi yenu ili kulisujudia; kwa kuwa mimi ndimi bwana Mungu wenu.
 
Ishu siyo movie ishu ni hyo picha ya hyo jamaa mnaitundika majumbani kwenu na kumuita yesu
Mkuu tunapingwa na watu wanaoabudu picha za yule muigizaji wakimuita YESU, pole yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…